Special thread: Vikaragosi vya Masoud Kipanya

Special thread: Vikaragosi vya Masoud Kipanya

Hapo unaweza shangaa hata kipanya mwenyewe hajui alichotaka kuportray. Amejikuta tu anachora. Msimkuze sana kana kwamba ana akili. Huyo ni zero brain nimesoma naye o level ni bonge la kilaza.
Una matatizo gani wewe...mbona unakimbiakimbia ovyo? Muache Ki-panya atumie talent yake kuelimisha na kuburudisha...Kwani wewe uliyekuwa una akili sana darasani una effect gani kwa taifa muda huu??
 
Hapo unaweza shangaa hata kipanya mwenyewe hajui alichotaka kuportray. Amejikuta tu anachora. Msimkuze sana kana kwamba ana akili. Huyo ni zero brain nimesoma naye o level ni bonge la kilaza.

Experience inaonyesha kuwa wengi wa wanaokubalika kuwa ni vipanga Tanzania (kwa kufaulu mitihani na kupata alama za juu) ni vilaza wa elimu halisi (transferring theory into practice). He may have been struggling in class yes, but he has proved his worth.
 
Wanaupenda upinzani lakini hawana budi kwenda CCM maana mti ndio umeshaelemea huko
 
Hapo unaweza shangaa hata kipanya mwenyewe hajui alichotaka kuportray. Amejikuta tu anachora. Msimkuze sana kana kwamba ana akili. Huyo ni zero brain nimesoma naye o level ni bonge la kilaza.
Wewe vipi,maana mmesoma shule moja.Nadhani ni Negative 100 brain
 
Hapo unaweza shangaa hata kipanya mwenyewe hajui alichotaka kuportray. Amejikuta tu anachora. Msimkuze sana kana kwamba ana akili. Huyo ni zero brain nimesoma naye o level ni bonge la kilaza.
Ugeneous haupimwi kwa good performance ya kumezeshwa darasani wewe hapo ambae ulikuwa sio kilaza una kipi kikubwa kumshinda KP
 
Hapo unaweza shangaa hata kipanya mwenyewe hajui alichotaka kuportray. Amejikuta tu anachora. Msimkuze sana kana kwamba ana akili. Huyo ni zero brain nimesoma naye o level ni bonge la kilaza.
We kweli ni mpenda kukimbikimbia.Hata Albert eistein darasan alikuwa mtupu.Lakn alikuja kuwa great scientist darasan uwa wanafaulu wenye uwezo wa kukalili tu.Na sio wote wanao feli hawana akili wengine hawataki kukalili ndio maana wanafeli
 
Ana dive hukametanguliza kichwa chini, kuzamia kichwa kichwa ndiko huku,hajui huko chini atakutana na jabali la namna gani,mara Pah! Ubongo nje!
Duh! Wewe ndiyo zoba wakutupwa inaelekea kichwa chako ni chakufugia nywele tu.
 
Hapo unaweza shangaa hata kipanya mwenyewe hajui alichotaka kuportray. Amejikuta tu anachora. Msimkuze sana kana kwamba ana akili. Huyo ni zero brain nimesoma naye o level ni bonge la kilaza.
Big pole kwako! Hebu tumjadili kwenye fani yake ambayo hata hiyo shule haikumsaidia kufikia hapo alipo tusijadili alikuwa nani kwa masomo ya jumla baadae utuoneshe huo uziro wake kwenye sanaa yake
 
Hapo unaweza shangaa hata kipanya mwenyewe hajui alichotaka kuportray. Amejikuta tu anachora. Msimkuze sana kana kwamba ana akili. Huyo ni zero brain nimesoma naye o level ni bonge la kilaza.
Jamaa wewe ni Bogus sijawahii Onaa...!! haa ha ha...Akili zako kiuwezo humfiki hata Robo kipanyaa hicho ni kipajii uachee wivu wa kimamaa
 
Ukilaza wake upo wapi mkuu. Unaweza ukawa educated sana lakini sio kuwa mwenye knowledge. Ipo tofauti hapo.
Masoud alikuwa kilaza kwenye mfumo huu wa education, lakini very intelligent kwenye life skills.
Hapo unaweza shangaa hata kipanya mwenyewe hajui alichotaka kuportray. Amejikuta tu anachora. Msimkuze sana kana kwamba ana akili. Huyo ni zero brain nimesoma naye o level ni bonge la kilaza.
 
Back
Top Bottom