Special thread: Kampeni ya kumsaka Roma nchi nzima kila sehemu

Special thread: Kampeni ya kumsaka Roma nchi nzima kila sehemu

Japan kunalikuwa kuna kikundi kinaitwa Yakuza Mob,kilikuwa kinadhuru watu.Wananchi waliandamana na kupiga Kelele kuitaka serikali ikiangamize,serikali ikaliangamiza.Ni wakati wa wananchi kupiga Kelele ili serikali iangamize haya makundi yanateka watu.Tukiacha hali hii iendelee ipo Mimi na wewe tunawezapotea kwenye mazingira Kama haya.
 
Asiyejua muhimu wa Roma ktk ufikisha ujumbe kwa jamii ni nani. Kwa hiyo wakijitokeza mashabiki wake kwa ajili ya kumtafuta ni haki yao.
 
si bora huo muda wa kwenda kutafuta mtu aliyeamua kujipoteza mwenyewe uutumie Walau kwenye shughuli za kilimo,tena na masika hii?
Akili zako zimehamia matkon ee?
Nyie maccm mnalaana mbaya sana mjue!
 
Kama Simu Yake Inaita Kwanini Polisi Wasiitafute Sehemu Ilipo?

Kama Kuna Watu Wanaofanya Kazi Kwenye Mashirika ya Simu Wenye Uwezo Wa Kuitazama Simu Inaita Kutoka Sehemu Gani Wanaweza Kusaidia

Unaweza kutafuta mdomo wako ulipo?
 
Ndio maana polisi wakiuwawa na majambazi watu hufurahia kwani yako kwa ajili ya kulinda interests za CCM shenz. Mkiua kila mtu mtatawala nini sasa
Wewe endelea kufurahia polisi wakuawa na majambazi lkn iko siku na wewe hayo majambazi yatakufanya hivyohivyo tu ndiyo utajua chuki zako hazina maana.Ukiona mtu anafurahia mambo kama wewe basi si ajabu naye akawa ni jambazi
 
Na wa ben saanane je mbona hamkutumia nguvu kama hizi?
Ben saa nane kwani watu walikaa kimya?
Sasa kama mamlaka husika ambazo ndizo zenye mbinu zimekaa kimya ulitaka waliopo kule mrere, wampateje!
Vitu vingine acha kuingiza ubashite, leo kwake kesho litahamia kwako, halafu utashangaa hupati msaada wowote wakati ulichekelea ya wenzio!
 
Kama Simu Yake Inaita Kwanini Polisi Wasiitafute Sehemu Ilipo?

Kama Kuna Watu Wanaofanya Kazi Kwenye Mashirika ya Simu Wenye Uwezo Wa Kuitazama Simu Inaita Kutoka Sehemu Gani Wanaweza Kusaidia

Simu itakua inaitia kutoka wapi/ hata kama ni msituni si itajulikana tu leteni mawazo, Basata and Tanzania missing him very much naupenda mwimbo wa Marehemu Alyaah unaitwa Missing you
 
Hawakupiga kelele kama hizi wala kutaka kujihusika binafsi kama mnavyofanya kwa roma. Wewe unaejiona jinias likikupata lolote utalia na familia yako hata ukileta huku utaishia kupata pole za kinafiki

Wenye uchungu na roma ni familia yake hao ndio wanaomtafuta kimya kimya bila kelele kama zenu hamsaidii kitu
Ben saa nane kwani watu walikaa kimya?
Sasa kama mamlaka husika ambazo ndizo zenye mbinu zimekaa kimya ulitaka waliopo kule mrere, wampateje!
Vitu vingine acha kuingiza ubashite, leo kwake kesho litahamia kwako, halafu utashangaa hupati msaada wowote wakati ulichekelea ya wenzio!
 
Mfano kawekwa kwenye safe house ambayo haipo kwenye public domain tutampataje ?

Vyovyote vile huu uhuni una mwisho wake na mwisho wake sio mzuri
 
MIE NAMKUBALI SANA ZITTO KWA JINSI ALIVYOJIGANGA NDIO MAANA HAWAMCHEZEI,ZITTO ALIWAHI KUSEMA MTU YEYOTE AMBAYE ATAPELEKEA KIFO CHAKE AU KIFO CHAKE KITATOKANA NA MKONO WA MTU BASI HUYO MTU HATA PANYA HATASALIA NYUMBANI KWAO....NINGESHAURI FAMILIA YA BEN IENDE KIGOMA KULE MWISHO WA RELI WAFANYE KAFARA HAKI YA NANI WALIOHUSIKA NA UPOTEVU WA BEN HABAKI HATA MMOJA WOTE WATAPUKUTIKA....KIGOMA/CONGO KUNA KIDONO UKICHANJIWA HATA RISASI HAIPITI....WAO WANAMAJESHI LAKINI HAWA DAWA YAO NI NDUMBA TU NI KUWATEKETEZA KWA STYLE HIYO,FAMILIA YA BEN NENDENI KIGOMA WALIOMTEKA BEN WATATEKETEA MMOJA BADALA YA MMOJA HAMTA AMINI AISEE MSIWACHEKEE HAWA KINA BASHITE NA TRUMPRAPA.
 
Kila mtu anajua mhusika wa sakata hili ni nani
 
Hawakupiga kelele kama hizi wala kutaka kujihusika binafsi kama mnavyofanya kwa roma. Wewe unaejiona jinias likikupata lolote utalia na familia yako hata ukileta huku utaishia kupata pole za kinafiki

Wenye uchungu na roma ni familia yake hao ndio wanaomtafuta kimya kimya bila kelele kama zenu hamsaidii kitu
Inaonekana una mihemko ya kibashite!
Suala la Benn lilpigiwa sana kelele, wenye mamlaka wakakaa kimya hatimae wakasema wanafunga jalada!...
Ulitaka atafutwe kwa style gani??
...anyway je ulitaka basi roma wakae kimya?
 
Mfano kawekwa kwenye safe house ambayo haipo kwenye public domain tutampataje ?

Vyovyote vile huu uhuni una mwisho wake na mwisho wake sio mzuri
Hata homo tutasaka tu. Si ndani ya Tz
 
Back
Top Bottom