Hizi wazovaa leo za kawaida sema Napenda zile za kiasili yao!Kali?
Mtamtoa roho maza wawatu lol! Awamu hii analo mbona!Sio kirahisi hivyo.
Damu za watu wasiokuwa na hatia zilimwagika sana
Sioni kama inawasaidiaDefensive game
Hatari mpira hauvukiHapo kati, Nijeria ana viungo watatu walioko vizuri.
Umeme unakatwa tu hapo.
waarabu wanacheza kimbinu wao wanakuacha ucheze ila ukifanya kosa wana kuadhibuTunisia wasipokuwa makini wanaweza pigwa kitu muda sio mrefu.
kama hawa wajingaHii wamezidiwa
Caf baada ya kuona mashabiki hawaingii, wakaamua kufungulia mmbwaNi mahali gani Afrika viwanja vinaweza kujaa hivi
Niliuona mapema huo upumbavu kiasi niliamua kuangalia el classico ya 2009.Mechi ya kipumbavu toka mashindano kuanza
Huwa najiuliza hivi kinachoitwa bench la ufundi maana yake nini? Huyu alionesha ubovu tangu dakika ya kwanza ila hakutolewa. Timu ilipaswa ifanyiwe sub za mapema kwa kuwaingiza kina Morrice na damu nyingine changa, wameachwa kina msuva ambao washajiishia, ila the so called bench la ufundi lipo tu.Haji mnoga Hana speed na akili ya mpira