Inatakiwa Mungu atupe Lewandowski wa bongo haiwezekani kukosa magori ya wazi tena ya wazi nachoka mimi nachokaNisikilize mimi.
Tumelaaniwa!!!
Kwenye miundombinu sawa ila kwenye mashabiki bado sanaHaya mashindano ya endelee tu kufanyika Afrika Kaskazini.
Mashabiki wa kutosha viwanjani hawa jamaa wanapenda mpira kweli na vipato vyao inaonekana kwa wengi vipo juu.
Miundombinu bora.
Ubora ni mwingi kila mahali I wish hata Afcon nyingine wa host Morocco au timu yoyote ya Afrika ya Kaskazini
Ni mahali gani Afrika viwanja vinaweza kujaa hiviKwenye miundombinu sawa ila kwenye mashabiki bado sana
Subiri nione mbinu zao ila wameandamwa sanaWaarabu wana mbinu