Utakuwa unaangalia marudio weweNilikuwa nawaonea huruma Botswana but hawapo kinyonge aisee.wazee wazima wanateseka hapa
BalaaMungu baba Muumba mbingu na nchi, kwa niaba ya wanyonge wa Danganyika, tunakuomba hii timu inayoitwa ya taifa wakati ni ya sisiemu ifungwe magoli ya kutosha ili taifa hili liendelee kutrend kwa mabaya tu.
Sisi wanaanchi hatuna cha kutufurahisha zaidi staz kucharazwa idadi kubwa ya magoli.
Amen.
Akomae tu.. ila maunivu yako pale paleNaona Bacca anakomaa na Osimhen vilivyo
Atakula red leo.Naona Bacca anakomaa na Osimhen vilivyo