Special Thread: African Cup of Nations (AFCON) 2025 - Morocco

Special Thread: African Cup of Nations (AFCON) 2025 - Morocco

Mbona kama kapiga maksudi?
Wamefanya makusudi!

Kwani upumbavu wao unadhani haujulikani?!

Si unaona wenyewe walivyokuwa wanahangaika kuwarudisha wachezaji wa Senegal uwanjani?

Na upumbavu wao dunia nzima wanauona.

Wameamua kupoteza ili kujifanya wanaleta fairness.
 
Na sasa hivi watacheza kihekima.

Na refa lazima ajirudi. Akifanya maujinga mengine atajaharibia kibarua chake.
 
SOKA letu kivyetuvyetu!😀

Simu zimepigwa busara itumike kuua soo!!

Mendy na Diaz wamekutanishwa chamber, kipa asihame kati na mpigaji apige kati hapohapo!😀

Diaz hapigagi hivyo
 
Back
Top Bottom