Saaana yaani!!Dakika 1 nyo
Umeona eeh.
Senegal wametuheshimisha sana
Hakuna cha embarrass, Mambo mengine yanaumiza mkuu.Senegal wangekutana na rungu la FIFA. This is embarrassing kwa Africa nzima.
Hawajapoteza wamekosa kabisa kama ingekuwa fair play asingeaim kwenye goal mkuuWamefanya makusudi!
Kwani upumbavu wao unadhani haujulikani?!
Si unaona wenyewe walivyokuwa wanahangaika kuwarudisha wachezaji wa Senegal uwanjani?
Na upumbavu wao dunia nzima wanauona.
Wameamua kupoteza ili kujifanya wanaleta fairness.
Ndo wamekosa hivyo😃😃HV wakikosa itakuaje