mansakankanmusa
JF-Expert Member
- Sep 30, 2010
- 4,163
- 787
What kind of a person are u?GOT imekupoteza interest??? shida wapi???
mkuu nielekeze kupata hd muonekano mzur. mtu mwenye series zake nitalipa gharama kidogo
What kind of a person are u?GOT imekupoteza interest??? shida wapi???
To all fans of Game of Thrones....tukutane humu kudiscuss this greatest series of all time. Power games, sex, politics etc...could it get better? Targaryens, Lannisters, Martells, Starks, Baratheons, Tyrells etc...like a wheel....
Kama bado hujaanza kuiangalia aisee you dont know what you're missing!
Ila Theon naye alikuwa kaanza ufala kuwageuka kina Stark.hivi yule jamaa anaemtesa theon greyjoy na kumbadilisha jina hafi?
huyu jamaa mshenzi nowma. kifo chake kiwe kikubwa
Ila Theon naye alikuwa kaanza ufala kuwageuka kina Stark.
Halafu huyo jamaa unayemsema alimbaka Sansa Stark.
Yaani huyo jamaa kifo chake kiwe slow and painful......i wanna enjoy it!
hata mimi nimesikitika kifo cha lord commender john snow, jamaa amekataa mpaka kusex, yuko very unique. isitoshe kimetokea kifo chake wakati rafiki yake samuel tarly hayupo
Lord kamanda hajafa.
Hili suala bado kitendawili maana hata Baba mtu na mwanaye Rob vifo vyao vilikuwa hivi hivi vya masihara....in GoT anything can happen ndugu
Theon hakuwageuka kina Stark bali alicheza mchezo ionekane kama amewasaliti but yeye ndiye aliyepanga kufake kifo cha Bran on purpose , kumbuka yeye ndiye the last greyjoy na Eddard Stark alimuadapt so amekuwa nimwanafamilia ya
Stark family ndio the most hunted people in westerous esp those in first line to be king, Stark ndio wanaonekana wana nguvu sana kihistoria bila wao baratheon wasinge tawala
Ndio maana Little finger ameamua kumtrade Sansa kwa Boltons coz wao ndio kings of North
Kile kitendo cha theon kuwasaliti stark kitaonekana cha maana sana huko mbele coz yeye ndio aliyeplan kuwapeleka kwa three eyed raven
Umeona trela ya season 6?
Sijaona ila nilijaribu kufatilia nkaona Jon snow alikuwepo location nikaona labda alienda kumalizia scene yake ya mwisho ya mazishi yake kama ilivyokuwa kwa tywin lannister katika season 5
Lord kamanda hajafa.
Ila Theon naye alikuwa kaanza ufala kuwageuka kina Stark.
Halafu huyo jamaa unayemsema alimbaka Sansa Stark.
Yaani huyo jamaa kifo chake kiwe slow and painful......i wanna enjoy it!
theon hakuwa na jinsi kutokana na yale mateso, sijui nani ataiokoa hii familia, nimekua na mategemeo watafanikiwa kutoroka na kwenda kujiunga na john snow, lakini john snow wenyewe hatujaelewa mpaka sasa
episode ya mwisho nlioiyona mimi ndio ilikua kifo chake, na alichomwa zaidi ya mara moja
One for John snow...Sigil for house targaryen is a three headed dragon. There are three dragons. One for daenerys targaryen, who will ride the other two dragons??
Could be and remember only targaryans can ride dragons. If so that means Jon snow is not a stark as most people believeOne for John snow...