Loy MX
JF-Expert Member
- Mar 26, 2012
- 1,253
- 313
I salute md25,wwe ni noma umetoa darasa lakutosha kuhusu mambo ya special force.Hivi bongo hamuijui nni?md25 ni kweli ssi bongo ni full usani kila mahali kuanzia kwenye elimu mpaka kwenye vyombo vya ulinzi ni bomu2
Kifupi Tz hatuko kwenye level za kuwa na special forces kwa kuwa kiteknolojia bado tuko chini sana kuwa train hawa jamaa inahitaji fungu la kutosha sana. So ukiangalia kwa bongo tuna rank za kawaida tu kama ambavyo majeshi yanatakiwa kuwa nayo.