special forces!

special forces!

unataka
kuniambia wale TISS
wanao mlinda jk sio makomandoo?sitaki kuamini hilo..nijuavyo mimi hakuna
kiongozi mkuu wa taifa lolote lile hapa duniani ambae halindwi na
makomandoo.

JK analindwa na TISS wengi, sasa sijui unamaanisha yule Kanali anayekaa
nyuma yake?... Kama ni yule Kanali, basi si komandoo.
Ila umeshaona Obama ana jamaa amesimama nyuma anamlinda asianguke?
NO.....
Okay, turudi kwenye mada. Komandoo wa Ngerengere usimfananishe na US
SEALs. Never!!! Usifananishe wale wapuuzi wanaokula ugali na maharage na
professional SEALs....
 
JK analindwa na TISS wengi, sasa sijui unamaanisha yule Kanali anayekaa
nyuma yake?... Kama ni yule Kanali, basi si komandoo.
Ila umeshaona Obama ana jamaa amesimama nyuma anamlinda asianguke?
NO.....
Okay, turudi kwenye mada. Komandoo wa Ngerengere usimfananishe na US
SEALs. Never!!! Usifananishe wale wapuuzi wanaokula ugali na maharage na
professional SEALs....

wacha dharau mkuu,wale jamaa wanaokua wamemzingira jk huku wamevaa suti nyeusi ni hatari sana..most of them wamekua trained israel,cuba,usa na egypt kwa kazi hyo..na hata hao wa ngerengere sio wa kubeza,wako vizuri sana,ukitaka kujua mziki wao wachokoze tu.
 
JK analindwa na TISS wengi, sasa sijui unamaanisha yule Kanali anayekaa
nyuma yake?... Kama ni yule Kanali, basi si komandoo.
Ila umeshaona Obama ana jamaa amesimama nyuma anamlinda asianguke?
NO.....
Okay, turudi kwenye mada. Komandoo wa Ngerengere usimfananishe na US
SEALs. Never!!!
Usifananishe wale wapuuzi wanaokula ugali na maharage na
professional SEALs....
Kijana usiropoke vitu ambavyo huvifahamu.
 
Special forces Tanzania zipo. Tatizo watanzania wengi ni wavivu kutafuta Facts.Kama ungekuwa umetembelea banda la JWTZ kwenye maonyesho ya sabasaba 2012,kilikuwepo kitengo kinachoelezea special forces ya JWTZ wanapatikanaje,mazoezi yao kazi zao na mambo mbalimbali wanayofanya. Nilipata kuongea nao. Afisa mmoja alisema wao kiujuzi na mafunzo wapo sawa karibia dunia nzima. Hii ina maana komandoo wa TZ ana ujuzi sawa na komandoo wa US,China,France,Russia etc. Hii ni kwa sababu makomandoo karibia wote wanafundishwa mbinu za SEAL's. Komandoo lazima afundishwe upambanaji toka angani,nchi kavu ikiwamo msituni na majini. Wengi wa makomandoo sare zao huwa zina alama ya bawa la ndege kifuani kushoto. Alisema ki uwezo makomandoo wanne tu wanauwezo wa kushambulia na kuharibu kijiji kizima kinacholindwa na jeshi.Alisema mafunzo mengi ya komandoo wa TZ waliyapata Russia,China,Israel,Cuba na Canada na miaka ya karibuni wengine wameyapata US.Alifafanua kiujuzi makomandoo karibu wote wanafanana ila wanazidiana technics ndogondogo na sare watakazovaa. Aidha alisema wakati wa mafunzo huwa kuna kadhaa ambao huwa wanakufa.Alitufafanulia mengi zaidi ya haya lakini mwisho alikataa kabisa kutueleza kwa sasa TZ wapo wangapi na kambi zao zipo wapi. Mwezi wa saba tembelea banda la JWTZ pale sabasaba -Dar utapata mengi zaidi ya haya ikiwemo ulinzi wetu wa anga na majini unafanyikaje kwa kutumia mitambo ya kisasa!. Utaelezwa historia nzima ya Jeshi letu la JWTZ na pia utaona Mama Maria Nyerere alipokuwa akichukua mafunzo ya mgambo,usije ukamdharau unapomuona sasa!


100% hapa bongo hakuna hao SEALs (Sio navy seals). kwa nini nasema hivyo. unapozungumzia SEALs solders, hao ni makomando/experts in Marines, Air and Land. wanaweza kupigana kwa hali yoyote ile. Pia, SEALs wengi wanachukuliwa wengine wakiwa even below 18s, wanaandaliwa muda mrefu hadi hufikia huo u-commando (SEALs). SEALs wengine wanachaguliwa tokea wakiwa wadogo kabisa, "wanatengenezwa" kwa special assignments, kwa mfano kumlinda US president. Pia, kutokana na ugumu wa majukumu yao au uhitaji wa majukumu ya SEALs wengi wanawai kustafu from active combat duties. pia wanakuwa na nidhamu ya hali ya juu. Sasa turudi hapa tz. (1) Kuna mapungufu mengi wakati wa kuchagua vijana kwenda jeshini. (2) Wengi wa vijana wanaokwenda jeshini utasikia, mkubwa flan alimsaidia kupata jeshi. (3) Kamlete zimekuwa nyingi sana. Mwisho hawa itatupasa tutambue commandos wanaandaliwa, ni kama tunavyosema ili uwe na timu bora ya taifa, lazima vijana uwaanda kwa muda mrefu, sasa hili swala lipo hata huko....
 
dogo habari hazitafutwi hivyo kwakutuuzia habari mbovu ili upate nzuri kajifunze mbinu za kukusanya habari kesho utakuja uliza mkakati ulivyo wa kumng'o joyce banda na kuweka rc mkoa wa malawi
Dogo kauliza kingine wewe unajibu kingine tena kwa kebehi,learn to attack point and not people.
 
Mkuu kama kitu haukijui sio lazima ukielezee. Na kama uki coment kitu basi hakikisha ni fact na si habari za kijiwe cha muuza kahawa! Sio mbaya ukitafuta info kwanza ndipo uje hapa. Hapa tunaelimisha na na kutaarifiana na si kudanganyana na ku kebehiana!
Kwa kukusaidia kidogo upate mwanga wa hizi special forces,just google 'Shayetet 13'
JK analindwa na TISS wengi, sasa sijui unamaanisha yule Kanali anayekaa
nyuma yake?... Kama ni yule Kanali, basi si komandoo.
Ila umeshaona Obama ana jamaa amesimama nyuma anamlinda asianguke?
NO.....
Okay, turudi kwenye mada. Komandoo wa Ngerengere usimfananishe na US
SEALs. Never!!! Usifananishe wale wapuuzi wanaokula ugali na maharage na
professional SEALs....
 
Mkuu kama kitu haukijui sio
lazima ukielezee. Na kama uki coment kitu basi hakikisha ni fact na si
habari za kijiwe cha muuza kahawa! Sio mbaya ukitafuta info kwanza ndipo
uje hapa. Hapa tunaelimisha na na kutaarifiana na si kudanganyana na ku
kebehiana!
Kwa kukusaidia kidogo upate mwanga wa hizi special forces,just google
'Shayetet 13'



Mkuu wale Special Force wenu wa Ngerengere wanaojua kuvunja tofari kwa kichwa, kusema wanakula Ugali maharage ni kashfa au kebehi?
Kuwa au kuunda kitengo na kukiita Special Forces, si kana kwamba hao jamaa wanaweza kufanya wafanyacho special forces.
Ngoja nikupe mfano labda utanielewa: PT kuna kitengo cha forensics kinachotakiwa au kinachopaswa kufanya kazi kama ile waliyofanya FBI zanzibar. Lakini umeona kilichotokea baada ya yule padri kuuli? JK aliwaita FBI kuja kufanya ile forensics ambayo PT wana kitengo chake.
Point hapa ni kwamba kuwa na kitengo ukakiita "special force" na capability ya hicho kitengo ni swala lingine.... take it.
 
Kijana usiropoke vitu ambavyo huvifahamu.

Mkuu. hakuna mtu aliyeropoka hapo. Hivi kwa akili timamu unaweza kufananisha wale wanajeshi wa ngerengere na US solders? Never!!!
 
Mkuu. hakuna mtu aliyeropoka hapo. Hivi kwa akili timamu unaweza kufananisha wale wanajeshi wa ngerengere na US solders? Never!!!

kimafunzo wako sawa,wanazidiana tu kwenye vifaa.
 
kimafunzo wako sawa,wanazidiana tu kwenye vifaa.

Mkuu unajua unachoandika? Sasa kama kifaa/vifaa huna, je unajifunza vipi? Kama vifaa vya mafunzo huna, huwezi kuwa mjuzi wa kutumia ivyo vifaa, hutaweza.

Ndio maana, mwaka jana tuliishia kuua Pilot wetu ambaye alikuwa ni mwanajeshi, kwa kumlazimisha kurusha ndege ambayo ni mbovu na ni unserviceable....
 
Narudia kukuelimisha. FBI au CIA si special forces za US,tafuta facts vizuri!. Kuna tofauti kati ya hao special forces na inteligence agencies kwenye nchi zote,wasioelewa hapa TZ wanalinganisha special forces na TISS,deadly wrong!. Nikiwasumbua kidogo ki uelewa,wengi mnajua Israel wanaofanya operation za kijasusi ni MOSSAD,si hao, ni Shayetet 13 na idara myingine mbili baada ya kupata well feeded facts from intels!. Hao MOSSAD ni kama TISS hapa Bongo,. The same in US,usidhani kila operation wanafanya FBI na CIA!,. Kuita FBI TZ si kwamba TZ inteligence imeshindwa,ni nature na aina ya kazi. Special forces huwa zinaingia sehemu ambayo inteligence imeshafamya kazi siku nyingi mkuu!

Mkuu wale Special Force wenu wa Ngerengere wanaojua kuvunja tofari kwa kichwa, kusema wanakula Ugali maharage ni kashfa au kebehi?
Kuwa au kuunda kitengo na kukiita Special Forces, si kana kwamba hao jamaa wanaweza kufanya wafanyacho special forces.
Ngoja nikupe mfano labda utanielewa: PT kuna kitengo cha forensics kinachotakiwa au kinachopaswa kufanya kazi kama ile waliyofanya FBI zanzibar. Lakini umeona kilichotokea baada ya yule padri kuuli? JK aliwaita FBI kuja kufanya ile forensics ambayo PT wana kitengo chake.
Point hapa ni kwamba kuwa na kitengo ukakiita "special force" na capability ya hicho kitengo ni swala lingine.... take it.
 
Narudia kukuelimisha. FBI au
CIA si special forces za US,tafuta facts vizuri!. Kuna tofauti kati ya
hao special forces na inteligence agencies kwenye nchi zote,wasioelewa
hapa TZ wanalinganisha special forces na TISS,deadly wrong!.
Nikiwasumbua kidogo ki uelewa,wengi mnajua Israel wanaofanya operation
za kijasusi ni MOSSAD,si hao, ni Shayetet 13 na idara myingine mbili
baada ya kupata well feeded facts from intels!. Hao MOSSAD ni kama TISS
hapa Bongo,. The same in US,usidhani kila operation wanafanya FBI na
CIA!,. Kuita FBI TZ si kwamba TZ inteligence imeshindwa,ni nature na
aina ya kazi. Special forces huwa zinaingia sehemu ambayo inteligence
imeshafamya kazi siku nyingi mkuu!



Sijasema FBI au CIA ndio "SFs". Kila military agencies ina "SFs" ya aina ya kukidhi mahitaji yake, mahitaji ya uanzishwaji wa hiyo Military agency.
Pia narudia kukueleza kuwa, kua na SFs si kwamba hiyo unit inaweza kutekeleza majukumu yake, kama hawana, Skills, Tech, Finance, Hard & Software, wataweza vipi kutekeleza majukumu yake au yao?
Ni mara ngapi majanga yanatoke, units ambazo ni "Special Rescue Units", zikipigiwa simu zinasema "Hatuna mafuta"... au wakija utasikia "hatuna maji"...
Establishment ya special units within the army ni swala moja, ishu ya msingi je hizo units ziko "OPERATIONAL"???
Okay, turudi ishu ya ZNZ. Swala la kuita other agency ije ikufanyie upelelezi ndani ya nchi yako ni AIBU na inaonyeshe jinsi jeshi lako lilivyo IRRELEVANT... Usije ukakaa na ukaona kitu kama kile ni "JAMBO LA KAWAIDA" HAPANA. Hule ni udhaifu mkubwa sana, Je, jeshi la polisi haliwezi kufanya ile kazi? haliaminiki? hawaaminiani? etc...
 
Mkuu,kwenye upelelezi wowote Duniani a,bao unahisi utaenda njw ya mipaka ya nchi yako ni lazima u shirikiane na vyombo vya usalama unavyo viamini vya nje ya mipaka ya nchi yako. Huu si udhaifu!. Mfano,mhalifu akiua mtu hapa TZ na kisha akakimbilia Nairobi tu,hauwezi kumkamata mpaka mshirikiane na watu wa usalama wa Nairobi. Unafahamu watuhumiwa wa bomu la ndege la Lockbies,wale wa Libya,walipatikanaje?,unafahamu waliohusika september 11 kule US walipatikanaje? Unadhani ni US pekee ndio waliwapata? Nope!, Hata hao wanaokulinda toka Ngerengere ukiwa umelala na familia yako,sitaki nikufafanulie mengi kwani naona ni mvivu wa kutafuta habari!, bali pia sumbua kidogo kichwa kwenye ufahamu wa haya mambo!UIwezo wa hao unaowazarau wa Ngerengere,haupimwi kwa kukaa nyuma ya keyboard na kuandika,bali kwenye battlefield. Ningekushauri kama umli na vigezo unaruhusu,toka kidogo ulipo,jiunge JKT ili iwe easy access to JWTZ ili upate hayo mafunzo


Sijasema FBI au CIA ndio "SFs". Kila military agencies ina "SFs" ya aina ya kukidhi mahitaji yake, mahitaji ya uanzishwaji wa hiyo Military agency.
Pia narudia kukueleza kuwa, kua na SFs si kwamba hiyo unit inaweza kutekeleza majukumu yake, kama hawana, Skills, Tech, Finance, Hard & Software, wataweza vipi kutekeleza majukumu yake au yao?
Ni mara ngapi majanga yanatoke, units ambazo ni "Special Rescue Units", zikipigiwa simu zinasema "Hatuna mafuta"... au wakija utasikia "hatuna maji"...
Establishment ya special units within the army ni swala moja, ishu ya msingi je hizo units ziko "OPERATIONAL"???
Okay, turudi ishu ya ZNZ. Swala la kuita other agency ije ikufanyie upelelezi ndani ya nchi yako ni AIBU na inaonyeshe jinsi jeshi lako lilivyo IRRELEVANT... Usije ukakaa na ukaona kitu kama kile ni "JAMBO LA KAWAIDA" HAPANA. Hule ni udhaifu mkubwa sana, Je, jeshi la polisi haliwezi kufanya ile kazi? haliaminiki? hawaaminiani? etc...
 
Mkuu unajua unachoandika? Sasa kama kifaa/vifaa huna, je unajifunza vipi? Kama vifaa vya mafunzo huna, huwezi kuwa mjuzi wa kutumia ivyo vifaa, hutaweza.

Ndio maana, mwaka jana tuliishia kuua Pilot wetu ambaye alikuwa ni mwanajeshi, kwa kumlazimisha kurusha ndege ambayo ni mbovu na ni unserviceable....

anyway..all in all,hao hao unao wadharau,their tireless works wanazozifanya ndio zinakufanya na wewe leo hii upate muda kwa kukaa nyuma ya pc yako na kutype hayo madharau yako.
 
Mkuu,kwenye upelelezi wowote
Duniani a,bao unahisi utaenda njw ya mipaka ya nchi yako ni lazima u
shirikiane na vyombo vya usalama unavyo viamini vya nje ya mipaka ya
nchi yako. Huu si udhaifu!. Mfano,mhalifu akiua mtu hapa TZ na kisha
akakimbilia Nairobi tu,hauwezi kumkamata mpaka mshirikiane na watu wa
usalama wa Nairobi. Unafahamu watuhumiwa wa bomu la ndege la
Lockbies,wale wa Libya,walipatikanaje?,unafahamu waliohusika september
11 kule US walipatikanaje? Unadhani ni US pekee ndio waliwapata? Nope!,
Hata hao wanaokulinda toka Ngerengere ukiwa umelala na familia
yako,sitaki nikufafanulie mengi kwani naona ni mvivu wa kutafuta
habari!, bali pia sumbua kidogo kichwa kwenye ufahamu wa haya
mambo!UIwezo wa hao unaowazarau wa Ngerengere,haupimwi kwa kukaa nyuma
ya keyboard na kuandika,bali kwenye battlefield. Ningekushauri kama
umli na vigezo unaruhusu,toka kidogo ulipo,jiunge JKT ili iwe easy
access to JWTZ ili upate hayo mafunzo

Nilijua utakuja au utaanza kuzungumzia ishu ya "Lockbies" au Sept 11. Ishu kama hizo LAZIMA mashirika mbalimbali ya kijasusi/upelelezi yahusike, kwa sababu ni raia wa nchi mbalimbali waliokufa au waliokutwa na hiyo calamity.

Je, ulisikia ile shooting ya shule ya awali kule US, kuna wapelelezi kutoka France/German au UK wameenda kuchunguza? That was Homeland ishu, NOT INTERPOL ishu.

Uhalifu wa kimataifa ni LAZIMA mataifa yenye interest na huo uhalifu yatausika. Je, kuuawa kwa padri kule ZNZ ni uhalifu wa kimataifa, je ni Interpol case?? NO!...
Kwa uelewa wako, hata ukisikia kesho JK amewaita FBI kuja kuchunguza kuporomoka kwa lile ghorofa pale kariakoo, utasema amefanya sahihi TU...
turudi kwenye mada. Hapa TZ, hizo SFs, kweli zipo, lakini zipo JUST for the case of only establishment requirements, LAKINI sio operational...
Ndio maana hii leo tunaona kikosi cha Polisi-trafick, baada ya kufanya kazi zao, wanaingilia kazi za TRA (kukagua road Licence)...
 
anyway..all in all,hao hao
unao wadharau,their tireless works wanazozifanya ndio zinakufanya na
wewe leo hii upate muda kwa kukaa nyuma ya pc yako na kutype hayo
madharau yako.



Mkuu mimi binafsi siwadharau, take that point. Pia, hawa watu kwenye hizo special units, They dont do their jobs, kwa ili napingana na wewe.

(1) Kama wangekuwa wanafanya kazi zao, je wangeiba zile 150mil pale Kariakoo??
(2) Je, wangekuwa wanaua wananchi hovyo. Ndugu zetu wameuliwa sana na hawa FFU au wale askari "Tigo" ambao wote hao ni Special Units za PT.
(3) Je, wangekuwa wanakamata madawa ya kulevya alafu wanawasilisha Sukari au unga???
(4) Je, kile kitengo cha PT-Uhamiaji, ambacho kinaruhusu wasomali kila kukicha wanaingia hapa nchini free, unawasemaje?

Mkuu, mimi nakaa nyuma ya PC au kwenye simu yangu, kwa NEEMA YA MUNGU, lakini sio hao wapuuzii ambao unaamini wanatulinda... NEVER...
 
Kama hauwadharau nashukuru mkuu. Bali kumbuka soku zote Tanzania kuna vijana,wazalendo,walio tayali kulinda nchi yao kwa gharama zozote. Usichanganye kazi za ulinzi za mipaka ya nchi na ulinzi wa ndani wa nchi wa wezi wa kuku mkuu!

Mkuu mimi binafsi siwadharau, take that point. Pia, hawa watu kwenye hizo special units, They dont do their jobs, kwa ili napingana na wewe.

(1) Kama wangekuwa wanafanya kazi zao, je wangeiba zile 150mil pale Kariakoo??
(2) Je, wangekuwa wanaua wananchi hovyo. Ndugu zetu wameuliwa sana na hawa FFU au wale askari "Tigo" ambao wote hao ni Special Units za PT.
(3) Je, wangekuwa wanakamata madawa ya kulevya alafu wanawasilisha Sukari au unga???
(4) Je, kile kitengo cha PT-Uhamiaji, ambacho kinaruhusu wasomali kila kukicha wanaingia hapa nchini free, unawasemaje?

Mkuu, mimi nakaa nyuma ya PC au kwenye simu yangu, kwa NEEMA YA MUNGU, lakini sio hao wapuuzii ambao unaamini wanatulinda... NEVER...
 
Kama hauwadharau nashukuru
mkuu. Bali kumbuka soku zote Tanzania kuna vijana,wazalendo,walio tayali
kulinda nchi yao kwa gharama zozote. Usichanganye kazi za ulinzi za
mipaka ya nchi na ulinzi wa ndani wa nchi wa wezi wa kuku mkuu!

By principle HAKUNA chombo cha ulinzi kinachoweza kusema kinafanya au kimefanya kazi yake vyema kwenye huo ulinzi, wote wanaboronga na wameboronga.
Huo ulinzi wa mipakani upo hovyo tu, sina haja ya kueleza. pia ulinzi wa ndani ndio hatari kabisa, mimi binafsi ningeshukuru kama ningezaliwa nchi nyingine, kwani hawa polisi badala ya kutulinda ndio wanachora michoro ya kutudhuri na kutupora kile kidogo tulicho ki save. Mungu awalaani.
Turudi kwenye mada. Inakupasa kutambua, ninapozungumzia SFs sio their establishment, nazungumzia operational, nazungumzia Professionalism.
Hivi wewe, inawezekana vipi huyo komandoo wako wa ngerengere aende kwenye operatios huku;
(1) Mtoto wake wa kwanza kumzaa anaanza form 1 huku hajui kuandika.
(2) Mke wake anafariki wakati wa kujifungua au
(3) mama yake anashindwa kufanyiwa operation kwa sababu umeme haupo kwenye hiyo hospital au
(4) rafiki yake ametoka kuzikwa kutokana na ajari ya ndege kama iliyotokea mwaka jana, namaanisha kurusha ndege mbovu....
 
unataka kuniambia wale TISS wanao mlinda jk sio makomandoo?sitaki kuamini hilo..nijuavyo mimi hakuna kiongozi mkuu wa taifa lolote lile hapa duniani ambae halindwi na makomandoo.

Thubutu...hawa wa bongo sijui..
 
Back
Top Bottom