Sophia Mjema: Rais Samia ni hadi 2035

Sophia Mjema: Rais Samia ni hadi 2035

Chawa jike at best. Nani kampitisha na kashindana na nani au ni mpango wa kuiba kura hata kabla ya uchaguzi? Shame on you mjema katafute wa kukuwowa utulie chawa nkubwa we
Acha matusi zwazwa.....

Wewe mbona toka mumeo akuache mwaka wa 10 huu unakitembeza tu hapo Bugubay ?!!

Komredi Mjema ni mwenezi unataka aseme nini usimwite chawa?!!! [emoji15][emoji15]

Pathetic
 
Mipango ya mwanadamu si mipango ya Mungu. Alikuwepo mwingine Tena tuliambiwa atakuwa wa milele. Yuko wapi leo? Alikuwepo Saa bufa na kiburi kingiii pale mjengoni. Yuko wapi leo. Alikuwepo Sam Six akavuruga bunge la katiba. Yuko wapi leo? Alikuwepo Kangi aliyemlinganisha mwanadamu na Yesu. Yuko wapi leo?. Alikuwepo Bashite na Sabaya wakiwa na makeke meeengi. Wako wapi leo?
 
Ikiwa wana mkataba na Mungu basi sawa.

Halafu katika siasa si kila makofi ni ya kukushangilia, mingine huwa ni kung'ong'wa. Si ajabu kwenye hadhara anasema Samia mpaka 2035 lakini wakiwa mbali ya upeo wa halaiki wanapiga madongo.

Hata Samia mwenyewe anajua kuna hati hati za kutoboa 2025 achilia mbali 2035.
Hiyo "hatihati" unayo mkononi mwako...mwenyekiti Samia hana hiyo.....[emoji1787]
 
Habari ziwafikie mapeeemaaa kuwa mtaendelea na makasiliko hadi mkome.

Kwa mujibu wa Sophy Mjema ni kuwa mama Samia ni hadi 2035.

Ndani ya chama wewe kama humtaki basi andaa panadol za kutosha.

Hiyo ni kwa mijibu wa gazeti la Nipashe likimnukuu boss Mjema.
View attachment 2777273
Anadhani mwwnamke wa umri ule kuwa rais kwa miaka zaidi ya kumi ni mchezo, atachoka sana mwishoni
 
Mkapa alizaliwa November 12, 1938 na akastaafu mwaka 2005 akiwa na miaka 66

Kikwete alizaliwa October 7, 1950 na akastaafu mwaka 2015 akiwa na miaka 65

Magufuli alizaliwa October 29, 1959 na kama asingefariki angestaafu mwaka 2025 akiwa na miaka 65

Hivyo hata Samia aliyezaliwa January 27, 1960 angestaafu mwaka 2025 akiwa na miaka 65...zaidi ya hapo atakuwa kikongwe - atapigwa hela na wahuni mpaka basi, atachomekewa vitu kama majina ya teuzi, mikataba, nakadhalika; leo tu akiwa na nguvu kiasi mambo yanamlemea sembuse mwaka 2030 au 2035
Nyerere na Mwinyi nao walistaafu wakiwa na umri chini ya miaka 70,halafu anataka Samia astaafu akiwa na miaka 75,mimi napendekeza Samia awe Rais wa milele atake asitake.
 
Kwetu kulala nyumba za tembe ni kazi ya Rais kutujengea? Ungeuliza kwenu Kuna maji,Afya,Elimu,Barabara,kazi nk

Acha ujinga ndugu,bila chuki Samia ndio ameonesha utofauti mkubwa sana kulinganisha na watangulizi.Unataka ushahidi nikupe?
[emoji2956][emoji2956][emoji2956]
 
Hata mimi najua hivyo, sbb urais ni miaka 10, awamu hii haikuwa ya Samia, ilikuwa ya JPM, ila akachukua madaraka sbb ya kufariki kwa JPM, awamu rasmi ya Urais itaanza 2025 na hapo itaenda 10 yrs up to 2035, nadhani hakuna tatizo hapo
[emoji1787][emoji2956][emoji2956][emoji2956]
 
Back
Top Bottom