Atende kama alivotenda.Tumuachie Mungu 🤣🤣🤣🤣🤣🪑
Atende kama alivotenda.Tumuachie Mungu 🤣🤣🤣🤣🤣🪑
Kuna tatizo kuwa chawa? Wewe unatakaje?Utakuwa chawa
Hakuna aijuaye keshoAtende kama alivotenda.
Pumu ???!!Kwanza na hiyo pumu inayomfanya azimie hovyo unafikiri intamfikisha hadi wapi? Wakati wa Magufuli tuliwaulisa kwa afraid ipi Magufuli atatawala milele?
Obvious !Mihemko tu ya kupewa cheo, akikosa hicho cheo hatasema hayo.
Sasa mbona wanatuchanganya sasa huyu mhe. Sahivi ni rais wa awamu ya ngapi?Habari ziwafikie mapeeemaaa kuwa mtaendelea na makasiliko hadi mkome.
Kwa mujibu wa Sophy Mjema ni kuwa mama Samia ni hadi 2035.
Ndani ya chama wewe kama humtaki basi andaa panadol za kutosha.
Hiyo ni kwa mijibu wa gazeti la Nipashe likimnukuu boss Mjema.
View attachment 2777273
Basi uwe unajua katiba inasemaje sio unakulupuka tuKuna tatizo kuwa chawa? Wewe unatakaje?
Kwani Katiba inasemaje bwashee? Katiba ni biblia au Quran?Basi uwe unajua katiba inasemaje sio unakulupuka tu
Kwani Katiba inasemaje bwashee? Katiba ni biblia au Quran?
Naunga mkono hoja 👍👏Mama Sophy ni kielelezo tosha cha msemo wa wapuuzi huzeeka pia
Katiba sio msahafu japo Samia hatovunja Katiba kama ilivyo.
Katiba sio msahafu japo Samia hatovunja Katiba kama ilivyo.
Lema anamkubali wewe ni nani umponge?
View: https://twitter.com/godbless_lema/status/1711457290862121072?t=t3nXUjDQhNrG_J7humysWg&s=19
Katiba haibadilishwi na Rais ataheshimu katibaKwani si Lema! mbona uchagani wapo lema wengi otherwise mbadilishe katiba hana tofauti na Jiwe ndio maana kila kitu mnasifia na anapenda hata mvua ukinyesha hamkawii kusema mama kaleta mvua!mmekuwa majuha sana na wanafiki sana.
Daa kweli mgumu kuelewa i can't argue with youKatiba haibadilishwi na Rais ataheshimu katiba