Uchaguzi 2020 Songwe: Dkt. Magufuli afanya kampeni Tunduma, afuta tozo ya mama kamandoo

Wakazi wa Njombe kwa tamaduni yao, mtu wanae muheshimu akipiga goti anaihitaji msaada na akaomba, unatakiwa umpatie bila maswali yeyote, na watampa tuu. Usifikiri alifanya kama zuzu, wanamuona ndio mwenye uhutaji.

Sasa huyu JPM anajua usanii huu. MAELEKEZO YA MANGULA.
RAIS NA AMIRI JESHI MKUU KUPIGA MAGOTI NI UPUNGUANI .....ANATAKIWA KUMPIGIA MAGOTI MUNGU TU
 
JPM wakati anapambana na Lowassa alipiga push-ups nyingi mara kadhaa, ulifahamu maana yake? Dhihaka kwa Lowassa kuhusu afya yake. Rhetorical language.

Wakati huu anapambana na amepigishwa magoti mara mbili akiomba kura, unajua maana yake??

Mataga Tafuta thamani ya X......
Thamani ya x ni kumsugua kubwa lako kama alivyoomba
 
RAIS NA AMIRI JESHI MKUU KUPIGA MAGOTI NI UPUNGUANI .....ANATAKIWA KUMPIGIA MAGOTI MUNGU TU
jee unafahamu ziara anazofanya ni za kiraia kama Mwenyekiti wa CCM, ila yeye mwenyewe anaweza kuamua ni wakati gani anakua alama ya SEVOREIGNTY ya Watanzania kipindi hichi cha kampeni.
 
jee unafahamu ziara anazofanya ni za kiraia kama Mwenyekiti wa CCM, ila yeye mwenyewe anaweza kuamua ni wakati gani anakua alama ya SEVOREIGNTY ya Watanzania kipindi hichi cha kampeni.
Kwa hiyo kwa akili matope anapokuwa hapo siyo amiri jeshi mkuu? Utopolo wa Lumumba huu!
 
Rais Magufuli amesema hivi ''Najua viongozi wa Serikali mnanisikia, Wizara ya Afya mnanisikia na mimi mpaka leo bado ni Rais. Kampeni ya Mama Kamandoo ni marufuku kuanzia leo, kwa hiyo wakina mama bebeni mimba zenu vizuri tuongeze idadi ya Watanzania''

Dkt. Magufuli ameongeza kuwa ''Kuna malalamiko dhidi ya kampeni ya Mama Kamandoo kuwatoza wanawake wajawazito wanaochelewa kujiandikisha kliniki Tsh. 50,00. Hii kampeni naifuta leo, kwahiyo Mama Kamandoo aende shambani akalime Mahindi aachane na tabia ya kutoza kinamama''
Tundu lissu alipolisema hili akiwa mpanda, vijana wa UVCCM na mataga walimtukana matusi yote kuwa ni uongo hakuna wajawazito wanaolipishwa tozo. Leo kalisema mwenyekiti wao sasa utasikia watakavyotoa pongezi kwa kauli kuwa mwenyekiti anajali wanyonge
 
Hebu tuwe serious kidogo. Vitambulisho hivi ambavyo vinauzwa kama leso ndiyo ukachukulie milopo bank?
Anyways naona kama kawa anacheza beats za Lissu.
milopo ndio kitu gani wewe mlowezi🙂

Shabiki mandazi wewe eti
 
jee unafahamu ziara anazofanya ni za kiraia kama Mwenyekiti wa CCM, ila yeye mwenyewe anaweza kuamua ni wakati gani anakua alama ya SEVOREIGNTY ya Watanzania kipindi hichi cha kampeni.


HIZI SIO ZIARA KAKA NI KAMPENI ...NA SHERIA NA TARATIBU ZAKE ZIMEAINISHWA NA TUME YA TAIFA YA UCHAGUZI .........WENGINE TUMESHUHUDIA TOKA UCHAGUZI WA KWANZA WA VYAMA VINGI HADI LEO ....NA TUNAONA TOFAUTI YA KUKANYAGA SHERIA NA KUFUATA SHERIA
ALIYEKUWA WAZIRI MKUU JOSEPH SINDE WARIOBA ALIWAHI KUVULIWA UBUNGE KWAKUA TU ALIKUWA ANATOA AHADI .....NA KUTUMIA MAAGARI YA SERIKALI WAKATI WA KAMPENI
 
Unaleta matatizo ukiwa madarakani,alafu kipindi cha kampeni ndio una kuwa mtatuzi!!!!siasa bana
 
JPM wakati anapambana na Lowassa alipiga push-ups nyingi mara kadhaa, ulifahamu maana yake? Dhihaka kwa Lowassa kuhusu afya yake. Rhetorical language.

Wakati huu anapambana na amepigishwa magoti mara mbili akiomba kura, unajua maana yake??

Mataga Tafuta thamani ya X......
hebu mwambie mama muuza akupe unachokunywa hapo
 
Back
Top Bottom