Uwazitu
JF-Expert Member
- Aug 19, 2019
- 1,419
- 1,396
Unafki tu umemjaa kwenye lile chogo
Akina Mama wote waliojifungulia Tunduma na Tanzania yote kwa UJUMLA na kutozwa hiyo TOZO (Kamandoo) WARUDISHIWE PESA ZAO.
Unafki tu umemjaa kwenye lile chogo
RAIS NA AMIRI JESHI MKUU KUPIGA MAGOTI NI UPUNGUANI .....ANATAKIWA KUMPIGIA MAGOTI MUNGU TUWakazi wa Njombe kwa tamaduni yao, mtu wanae muheshimu akipiga goti anaihitaji msaada na akaomba, unatakiwa umpatie bila maswali yeyote, na watampa tuu. Usifikiri alifanya kama zuzu, wanamuona ndio mwenye uhutaji.
Sasa huyu JPM anajua usanii huu. MAELEKEZO YA MANGULA.
Lipi hiloHapo Magufuli amefanya jambo la maana sana
Thamani ya x ni kumsugua kubwa lako kama alivyoombaJPM wakati anapambana na Lowassa alipiga push-ups nyingi mara kadhaa, ulifahamu maana yake? Dhihaka kwa Lowassa kuhusu afya yake. Rhetorical language.
Wakati huu anapambana na amepigishwa magoti mara mbili akiomba kura, unajua maana yake??
Mataga Tafuta thamani ya X......
Yeye ni Raisi bado anapokea kero toka kwa wanachi akiwemo Lisu na kuzifanyia kazi
Kuna kero ingine? mwambieni Lisu aendelee kuzitoa ili Raisi aliyeko madarakani azifanyie kazi
jee unafahamu ziara anazofanya ni za kiraia kama Mwenyekiti wa CCM, ila yeye mwenyewe anaweza kuamua ni wakati gani anakua alama ya SEVOREIGNTY ya Watanzania kipindi hichi cha kampeni.RAIS NA AMIRI JESHI MKUU KUPIGA MAGOTI NI UPUNGUANI .....ANATAKIWA KUMPIGIA MAGOTI MUNGU TU
Mchakamchaka wa Lissu siyo wa kitoto, kila siku anacheza mziki wa Lissu! Amabekiza kikokotoo na kuongeza mishahara nyoko sana!! Unacheza nini?Hapo Magufuli amefanya jambo la maana sana
Kwa hiyo kwa akili matope anapokuwa hapo siyo amiri jeshi mkuu? Utopolo wa Lumumba huu!jee unafahamu ziara anazofanya ni za kiraia kama Mwenyekiti wa CCM, ila yeye mwenyewe anaweza kuamua ni wakati gani anakua alama ya SEVOREIGNTY ya Watanzania kipindi hichi cha kampeni.
Tundu lissu alipolisema hili akiwa mpanda, vijana wa UVCCM na mataga walimtukana matusi yote kuwa ni uongo hakuna wajawazito wanaolipishwa tozo. Leo kalisema mwenyekiti wao sasa utasikia watakavyotoa pongezi kwa kauli kuwa mwenyekiti anajali wanyongeRais Magufuli amesema hivi ''Najua viongozi wa Serikali mnanisikia, Wizara ya Afya mnanisikia na mimi mpaka leo bado ni Rais. Kampeni ya Mama Kamandoo ni marufuku kuanzia leo, kwa hiyo wakina mama bebeni mimba zenu vizuri tuongeze idadi ya Watanzania''
Dkt. Magufuli ameongeza kuwa ''Kuna malalamiko dhidi ya kampeni ya Mama Kamandoo kuwatoza wanawake wajawazito wanaochelewa kujiandikisha kliniki Tsh. 50,00. Hii kampeni naifuta leo, kwahiyo Mama Kamandoo aende shambani akalime Mahindi aachane na tabia ya kutoza kinamama''
NEC huwajuwi jombaa???Rushwa nyingine ya wazi inafanywa na magufuli kwenye kampeni wazi wazi kabisa NEC mnasemaje?
milopo ndio kitu gani wewe mlowezi🙂Hebu tuwe serious kidogo. Vitambulisho hivi ambavyo vinauzwa kama leso ndiyo ukachukulie milopo bank?
Anyways naona kama kawa anacheza beats za Lissu.
Ni wakina Jane lowassa tu ndio wanaomuelewaga!!!!Kampeni za Magufuli zinatia huruma..Ni 'pumba' tu mwanzo mwisho!
jee unafahamu ziara anazofanya ni za kiraia kama Mwenyekiti wa CCM, ila yeye mwenyewe anaweza kuamua ni wakati gani anakua alama ya SEVOREIGNTY ya Watanzania kipindi hichi cha kampeni.
Hapo Magufuli amefanya jambo la maana sana
Kauli za magufuli usiziaminiAkina Mama wote waliojifungulia Tunduma na Tanzania yote kwa UJUMLA na kutozwa hiyo TOZO (Kamandoo) WARUDISHIWE PESA ZAO.
Rushwa hiyo....!!Hapo Magufuli amefanya jambo la maana sana
Watakuja kumpingaHapo Magufuli amefanya jambo la maana sana
hebu mwambie mama muuza akupe unachokunywa hapoJPM wakati anapambana na Lowassa alipiga push-ups nyingi mara kadhaa, ulifahamu maana yake? Dhihaka kwa Lowassa kuhusu afya yake. Rhetorical language.
Wakati huu anapambana na amepigishwa magoti mara mbili akiomba kura, unajua maana yake??
Mataga Tafuta thamani ya X......