zombi
JF-Expert Member
- May 6, 2008
- 1,620
- 1,344
Mtu akiandika comment fupi mtasema kibamiaWanaume naombeni comment zetu ziwe fupi fupi pamoja na mapovu pia
Mtu akiandika comment fupi mtasema kibamiaWanaume naombeni comment zetu ziwe fupi fupi pamoja na mapovu pia
Huyu angekuwa wifu wangu hata nguo za kazini ningekuwa nabadilishia barmbona umewasilisha kwa hasiera na jazba sana, pengine labda ungekuwa wazi na specific zaidi maana kwa andiko lako hilo labda imekutokea mwenyewe but all in all mwanaume harekebishwi kwa kauli kama hizo, mwanamke ana nguvu na ushawishi mkubwa sana juu ya mwanaume bali ila tatizo linakuja kwenye namna ya kuutumia ushawishi wenu, nyumbani panaweza kugeuka jehanamu kwa mwanaume au pakawa paradiso, yote yako kwenye uwezo wa mwanamke ndo maana hata maandiko yakasema mwanamke mpumbavu ataivunja ndoa yake kwa mikono/ulimi wake mwenyewe!!!
Acha visingizio mkuu..inawezekana unayosema ni kweli lakini vipi katika upande wako? Una chochote cha ziada cha kumfanya mkeo afanye yote hayo kwaajili yako? Ukute na yeye kakuchoka anaona bora liende. Kuliko kukaa bar uchelewe kurudi kisa mkeo anakera ni bora mkae chini mtafakari penzi lenu upya.Mimi najua wanaume tunahitaji kitu cha ziada cha kutufanya tuwahi kurudi home...kama ni maneno mazuri ya wife,ladha ya mapishi ya wife, harufu ya wife, kudeka kwa wife na mambo kama hayo....wanaume hatupendi kushinda bar ila tunalazimika maana home hamna kitu special kabisa.....wewe wife badala hata aniite habe chumbani hawezi ananiita baba Johnson nitawahije rudi guantanamo......
Unaweza fanya vitu vikamchanganya huyo mlevi akaanza rudi saa 10 kasoro jioni..... Mjitahidi kuongeza usaf wa nyumba,maneno na hata miili yenu yan kuna vipoda akipaka wife lazima utamani kumnusaga mda wote, pia vaa kumchanganya huyo mlevi, deka vizuri utaona atawahi tu kurudi.... Wangapi wananunuaga bia wananywea home hku wapo na wife pembeni
hahaaaa, na huyo mwanaume asipojirekebisha basi huyo ni sugu, aiseeHuo sio ushauri mkuu, hiyo ni mijutusi. Ila kama kweli kuna mwanaume wa type hiyo achukue hatua haraka

kuwaaaTumia muda wako mwingi kukaa (ku spend) na familia yako, hao unaokunywa nao pombe iko siku watakuzimia simu mxieeeew.
Unakuta lijanaume hata watoto hawalijua linatoka asubuhi linarudi saa saba usiku lipo tungi halijui hili wala lile,unafikiri huo ndio uwanaume???
Sijui yatabadilika lini haya madudee
![]()
aaaaahakuwaaa
Wacha kutreat wanaume kama "HOMOGENOUS ENTITY".Tumia muda wako mwingi kukaa (ku spend) na familia yako, hao unaokunywa nao pombe iko siku watakuzimia simu mxieeeew.
Unakuta lijanaume hata watoto hawalijua linatoka asubuhi linarudi saa saba usiku lipo tungi halijui hili wala lile,unafikiri huo ndio uwanaume???
Sijui yatabadilika lini haya madudee
![]()
Zungumza na mume wako.Tumia muda wako mwingi kukaa (ku spend) na familia yako, hao unaokunywa nao pombe iko siku watakuzimia simu mxieeeew.
Unakuta lijanaume hata watoto hawalijua linatoka asubuhi linarudi saa saba usiku lipo tungi halijui hili wala lile,unafikiri huo ndio uwanaume???
Sijui yatabadilika lini haya madudee
![]()
mkuu vipi na kuhusu kufua na kuoga???? na lile tendo takatifu litafanyika kweli maana unaweza kujikuta umeshaanzisha familia nyingine na waitress anayekuhudumia hapo!!1Huyu angekuwa wifu wangu hata nguo za kazini ningekuwa nabadilishia bar
akamshauri Mumewe Kwanzasi kwa povu hili Kritika, sabuni imekolea kwelikweli, wanaume ushauri huo kazi kwenuu
hahaa yamekua haya tena ze dudu, nadhani keshamwambia mumewe, ndyo kaja kuwaambia nyie pia.akamshauri Mumewe Kwanza
Tumia muda wako mwingi kukaa (ku spend) na familia yako, hao unaokunywa nao pombe iko siku watakuzimia simu mxieeeew.
Unakuta lijanaume hata watoto hawalijua linatoka asubuhi linarudi saa saba usiku lipo tungi halijui hili wala lile,unafikiri huo ndio uwanaume???
Sijui yatabadilika lini haya madudee
![]()
hahaaaa, na huyo mwanaume asipojirekebisha basi huyo ni sugu, aisee
aisee,hapo jibu ni BSugu Mbunge wangu ama Sugu kwa maana aliyeshindikana, hebu fafanua tafadhari Mkuu
aisee,hapo jibu ni B