Somo kwa wanaume

Somo kwa wanaume

mbona umewasilisha kwa hasiera na jazba sana, pengine labda ungekuwa wazi na specific zaidi maana kwa andiko lako hilo labda imekutokea mwenyewe but all in all mwanaume harekebishwi kwa kauli kama hizo, mwanamke ana nguvu na ushawishi mkubwa sana juu ya mwanaume bali ila tatizo linakuja kwenye namna ya kuutumia ushawishi wenu, nyumbani panaweza kugeuka jehanamu kwa mwanaume au pakawa paradiso, yote yako kwenye uwezo wa mwanamke ndo maana hata maandiko yakasema mwanamke mpumbavu ataivunja ndoa yake kwa mikono/ulimi wake mwenyewe!!!
Huyu angekuwa wifu wangu hata nguo za kazini ningekuwa nabadilishia bar
 
Mimi najua wanaume tunahitaji kitu cha ziada cha kutufanya tuwahi kurudi home...kama ni maneno mazuri ya wife,ladha ya mapishi ya wife, harufu ya wife, kudeka kwa wife na mambo kama hayo....wanaume hatupendi kushinda bar ila tunalazimika maana home hamna kitu special kabisa.....wewe wife badala hata aniite habe chumbani hawezi ananiita baba Johnson nitawahije rudi guantanamo......

Unaweza fanya vitu vikamchanganya huyo mlevi akaanza rudi saa 10 kasoro jioni..... Mjitahidi kuongeza usaf wa nyumba,maneno na hata miili yenu yan kuna vipoda akipaka wife lazima utamani kumnusaga mda wote, pia vaa kumchanganya huyo mlevi, deka vizuri utaona atawahi tu kurudi.... Wangapi wananunuaga bia wananywea home hku wapo na wife pembeni
Acha visingizio mkuu..inawezekana unayosema ni kweli lakini vipi katika upande wako? Una chochote cha ziada cha kumfanya mkeo afanye yote hayo kwaajili yako? Ukute na yeye kakuchoka anaona bora liende. Kuliko kukaa bar uchelewe kurudi kisa mkeo anakera ni bora mkae chini mtafakari penzi lenu upya.
Penzi halichochewi upande mmoja. Wengine mume akichelewa wanafurahi vibaya mno maana wanapata muda wa kupumzika, kutafakari maisha na kuwasiliana na wanaowapenda.
Unawezadhani unamkomoa kumbe mwezio hajali anaona sawa, mwisho wa siku bomu mnalolitengeneza si la kitoto.
 
Tumia muda wako mwingi kukaa (ku spend) na familia yako, hao unaokunywa nao pombe iko siku watakuzimia simu mxieeeew.
Unakuta lijanaume hata watoto hawalijua linatoka asubuhi linarudi saa saba usiku lipo tungi halijui hili wala lile,unafikiri huo ndio uwanaume???

Sijui yatabadilika lini haya madudee

kuwaaa
 
Tumia muda wako mwingi kukaa (ku spend) na familia yako, hao unaokunywa nao pombe iko siku watakuzimia simu mxieeeew.
Unakuta lijanaume hata watoto hawalijua linatoka asubuhi linarudi saa saba usiku lipo tungi halijui hili wala lile,unafikiri huo ndio uwanaume???

Sijui yatabadilika lini haya madudee

Wacha kutreat wanaume kama "HOMOGENOUS ENTITY".
 
Tumia muda wako mwingi kukaa (ku spend) na familia yako, hao unaokunywa nao pombe iko siku watakuzimia simu mxieeeew.
Unakuta lijanaume hata watoto hawalijua linatoka asubuhi linarudi saa saba usiku lipo tungi halijui hili wala lile,unafikiri huo ndio uwanaume???

Sijui yatabadilika lini haya madudee

Zungumza na mume wako.

Ukiona pombe zimemzidi ujitathimini wewe pia, nguvu yako ya ushawishi kama mke unaitumia kikamilifu? Sio uwe goigoi alaf unakuja kulialia humu
 
Huyu angekuwa wifu wangu hata nguo za kazini ningekuwa nabadilishia bar
mkuu vipi na kuhusu kufua na kuoga???? na lile tendo takatifu litafanyika kweli maana unaweza kujikuta umeshaanzisha familia nyingine na waitress anayekuhudumia hapo!!1
 
Kwa lugha uliyotumia na itokee ni mumeo sishangai kesho yake akarudi alfajiri saa kumi na moja au kumi na mbili. Msione mahusioano yanavunjika kiurahisi kauli pia zina mchango mkubwa sana. Hata mwanao huwezi kumkaripia hivi sembuse mume!
 
Tumia muda wako mwingi kukaa (ku spend) na familia yako, hao unaokunywa nao pombe iko siku watakuzimia simu mxieeeew.
Unakuta lijanaume hata watoto hawalijua linatoka asubuhi linarudi saa saba usiku lipo tungi halijui hili wala lile,unafikiri huo ndio uwanaume???

Sijui yatabadilika lini haya madudee


Jioe tu mwenyewe ujilie papuchi yako kiulainii.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom