Somo kwa wanaume

Somo kwa wanaume

B, means aliyeshindikana. Basi sawa. Mwanzoni nilidhani umemanisha Mbunge wangu bwana, huenda niangeanza maandamano
ohh, basi pole kwa neno kama lilikua tata kwako, japo kwa pale ungeweza tu kuelewa nilimaanisha sugu mbunge or sugu kushindikana?,ila its okay
 
Umenena vyema mkuu.

Huu ni ujumbe kwa wale wanaoranda na waume za watu. Dada hapo kishasema mwanamme wa kweli yule anaetulia na family yake na bila shaka mwanamke wa kweli yule anaelinda ndoa yake.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom