Mother Confessor
JF-Expert Member
- Jan 7, 2016
- 18,682
- 45,597
Hahahha nzeiona babe...Eiiish
Haikuji vipi tena bae niliyogeuka si uliiona kwa stts
Hahahha nzeiona babe...Eiiish
Haikuji vipi tena bae niliyogeuka si uliiona kwa stts
Uko sawa Ligogoma, tafiti zinaonesha sisi wanaume tunakufa haraka kwa sababu ya kubeba ma-stress, sasa hivi wanaume wengi wanatafuta namna ya kuzikwepa stress hizo ili kuongeza walau siku za kuishi, maisha yenyewe magumu ukiongezewa na stress za wanawake basi inakuwa shida, wakati huo huo wanawake wana enjoy life ambayo wewe mwanaume una struggle kila sikuNi sawa haya uliyosema ila lugha uliyotumia napata picha jinsi unavyoongea na mwanaume mwenzangu!!
Tumia nguvu ya uanamke, tumia nguvu ya ushawishi, tumia nguvu ya mahaba!!
Wakati mwingine inawezekana anakereka na kitu flan hapo home, so hatoi nafasi hata kidogo na mazingira hayo!!!
mbona umewasilisha kwa hasiera na jazba sana, pengine labda ungekuwa wazi na specific zaidi maana kwa andiko lako hilo labda imekutokea mwenyewe but all in all mwanaume harekebishwi kwa kauli kama hizo, mwanamke ana nguvu na ushawishi mkubwa sana juu ya mwanaume bali ila tatizo linakuja kwenye namna ya kuutumia ushawishi wenu, nyumbani panaweza kugeuka jehanamu kwa mwanaume au pakawa paradiso, yote yako kwenye uwezo wa mwanamke ndo maana hata maandiko yakasema mwanamke mpumbavu ataivunja ndoa yake kwa mikono/ulimi wake mwenyewe!!!Tumia muda wako mwingi kukaa (ku spend) na familia yako, hao unaokunywa nao pombe iko siku watakuzimia simu mxieeeew.
Unakuta lijanaume hata watoto hawalijua linatoka asubuhi linarudi saa saba usiku lipo tungi halijui hili wala lile,unafikiri huo ndio uwanaume???
Sijui yatabadilika lini haya madudee
![]()
Tumia muda wako mwingi kukaa (ku spend) na familia yako, hao unaokunywa nao pombe iko siku watakuzimia simu mxieeeew.
Unakuta lijanaume hata watoto hawalijua linatoka asubuhi linarudi saa saba usiku lipo tungi halijui hili wala lile,unafikiri huo ndio uwanaume???
Sijui yatabadilika lini haya madudee
![]()
Woooiii😂😂😂😂
Shenzy ww
Kaa na mumeo myazungumze, usituletee stress zako wenzio leo tunarudi saa nane na lazima tukague gymkhana unaweza ukamkuta MOO anaomba liftiTumia muda wako mwingi kukaa (ku spend) na familia yako, hao unaokunywa nao pombe iko siku watakuzimia simu mxieeeew.
Unakuta lijanaume hata watoto hawalijua linatoka asubuhi linarudi saa saba usiku lipo tungi halijui hili wala lile,unafikiri huo ndio uwanaume???
Sijui yatabadilika lini haya madudee
![]()
Nyie piteni kimya kimyaSisi wavulana tunacomment wapi au tunachanganya humu humu..?
Pole sana kama vipi achana naye.Tumia muda wako mwingi kukaa (ku spend) na familia yako, hao unaokunywa nao pombe iko siku watakuzimia simu mxieeeew.
Unakuta lijanaume hata watoto hawalijua linatoka asubuhi linarudi saa saba usiku lipo tungi halijui hili wala lile,unafikiri huo ndio uwanaume???
Sijui yatabadilika lini haya madudee
![]()
Hivi mpaka uitwe mwanaume unatakiwa uweje mkuu..?Nyie piteni kimya kimya