Smiling killer
JF-Expert Member
- May 1, 2018
- 1,290
- 1,126
Hao anaokunywa nao pombe ndo wanamfanya apate hela au labda kama hela unampa we we!Tumia muda wako mwingi kukaa (ku spend) na familia yako, hao unaokunywa nao pombe iko siku watakuzimia simu mxieeeew.
Unakuta lijanaume hata watoto hawalijua linatoka asubuhi linarudi saa saba usiku lipo tungi halijui hili wala lile,unafikiri huo ndio uwanaume???
Sijui yatabadilika lini haya madudee
![]()
