gilldenu
JF-Expert Member
- Mar 25, 2015
- 2,914
- 3,022
Uwe na mashine ya kukojolesha kinamama.....Hivi mpaka uitwe mwanaume unatakiwa uweje mkuu..?
Uwe na mashine ya kukojolesha kinamama.....Hivi mpaka uitwe mwanaume unatakiwa uweje mkuu..?
Uwe na mashine ya kukojolesha kina mamaHivi mpaka uitwe mwanaume unatakiwa uweje mkuu..?
Dah eti aya madeduTumia muda wako mwingi kukaa (ku spend) na familia yako, hao unaokunywa nao pombe iko siku watakuzimia simu mxieeeew.
Unakuta lijanaume hata watoto hawalijua linatoka asubuhi linarudi saa saba usiku lipo tungi halijui hili wala lile,unafikiri huo ndio uwanaume???
Sijui yatabadilika lini haya madudee
![]()
Punguza hisia, kama home asomeki huyo kwenye chama chetu tunamfuta haraka sana kwa sababu anaaibisha chama LA wana. Kwa maana nyingine huyo ni mbuziTumia muda wako mwingi kukaa (ku spend) na familia yako, hao unaokunywa nao pombe iko siku watakuzimia simu mxieeeew.
Unakuta lijanaume hata watoto hawalijua linatoka asubuhi linarudi saa saba usiku lipo tungi halijui hili wala lile,unafikiri huo ndio uwanaume???
Sijui yatabadilika lini haya madudee
![]()
Unatumia cm aina gan?Sisi wavulana tunacomment wapi au tunachanganya humu humu..?
Tulia wewe, aliotoa mahari nani na aliejibu yes i do madhabauni ni nani?Tumia muda wako mwingi kukaa (ku spend) na familia yako, hao unaokunywa nao pombe iko siku watakuzimia simu mxieeeew.
Unakuta lijanaume hata watoto hawalijua linatoka asubuhi linarudi saa saba usiku lipo tungi halijui hili wala lile,unafikiri huo ndio uwanaume???
Sijui yatabadilika lini haya madudee
![]()
Mbona kwenye hii thread sijaona mwanaume akizungumziwa kuwa na sifa kama hiyo..,Uwe na mashine ya kukojolesha kina mama
Natumia OKING mkuuUnatumia cm aina gan?
Kam nokia tochi changanya umu umu
Kwenye jukwaa la habari na hoja mchanganyiko kuna uzi maalumu wa wanywa pombe, ingependeza kama ungewafuata kule kule
Si alikutongozea bar sasa walalama nini ? Tulia sawa ikuuingiee !!!Tumia muda wako mwingi kukaa (ku spend) na familia yako, hao unaokunywa nao pombe iko siku watakuzimia simu mxieeeew.
Unakuta lijanaume hata watoto hawalijua linatoka asubuhi linarudi saa saba usiku lipo tungi halijui hili wala lile,unafikiri huo ndio uwanaume???
Sijui yatabadilika lini haya madudee
![]()