Sometimes wanawake mtulize vichwa tufanye maendeleo!

Sometimes wanawake mtulize vichwa tufanye maendeleo!

Mkuu we acha tu.Tuombe unyago uwekwe ktk syllabus ya msingi huenda tukakiponya kizazi hiki cha .com.
Hawa tunawadekeza wenyewe kila mtu akijaribu kuwa serious na ndoa yake unafikiri haya yatatokea?
 
Mwanamke akiamua kujiongeza na kujaza store kwa hela zake ni heri ila sio wajibu wake.
Mwanaume ni wajibu wako kufanya kila kitu kwasababu wewe ndo baba na kiongozi wa familia.
Acheni kuwapa vichwa hawa wakina mama mnawadekeza mjue
 
Hawa tunawadekeza wenyewe kila mtu akijaribu kuwa serious na ndoa yake unafikiri haya yatatokea?
Kwakweli hayawezi kutokea maana ukiwa serious huwezi kulilia pesa ya mwanamke.
 
Mwanaume ndiye kichwa cha familia, hivyo anapaswa kuacha hela ya matumizi nyumbani kwa siku 1k ( laki 1 )
Teh teh teh teh
Wakuu ni utani msije kuninyonga bure....
 
Kwakweli hayawezi kutokea maana ukiwa serious huwezi kulilia pesa ya mwanamke.
Hivi pesa zenu huwa mnafanyia nn kama unashindwa kumsaidia mumeo hata kwenye miradi ya maendeleo.
 
Hivi pesa zenu huwa mnafanyia nn kama unashindwa kumsaidia mumeo hata kwenye miradi ya maendeleo.
Zina matumizi makubwa mno, we anzisha mradi nitakusaidia kusimamia.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom