Sometimes wanawake mtulize vichwa tufanye maendeleo!

Sometimes wanawake mtulize vichwa tufanye maendeleo!

Dah... Kazi ya mwanaume ni kumtunza na kumlinda mwanamke..... Kazi ya mwanamke ni kumfariji mwanaume... Maisha yanakuwa rahisi sana.... Vinginevyo labda muwe mnategeneza filamu
 
Likija suala la pesa mnatusaidia wenyewe kuihubiri 50/50 ila yakija majukumu mengine utasikia wanawake wa siku hizi hawajielewi!!!
Na nyie hamjielewi kulilia pesa za wanawake.
Wanafurahisha hawa watu. Wao kwenye pesa tu ndo wanakumbuka 50/50
 
jambo hilo haliwezekani kama ndo hivyo basi ngoja wanaume tufanye maendeleo lakini mwisho wa siku tukiachana asidai chochote nilichochuma mimi nisije nikambaka bure

hahahaha kasema nani... kwani huwa unajipikia mwenyewe??? watoto anazaa nani??? unalala mwenyewe na mto??? unajua sheria ni kwamba hata mkiachana bado una wajibu wa kumhudumia mpk atakapokufa au kuolewa tena ???? yaani utazitumia tu kwake taka usitake
 
We hebu acha balaa!! Huo ni mzigo wako. Lini tulitaka mtusaidie kubeba mimba.
Nachokiona kutoka kwenu wanawake ni ubinafsi uliopitiliza na hapa ndipo mnapofeli na kugeuza ndoa kuwa uwanja wa vita na mashindano. Unaona shida gani kumnyanyua mumeo pale anapoanguka?
Nimekuoa uwe msaidizi wangu pale naposhindwa ww unisaidie niweze ili kufunika yale mapungufu yangu pamoja tusonge mbele kutengeneza familia iliyo bora.

Ila leo hii wanawake bila hata aibu unakuta mumewe pamoja na kuihudumia familia kwa kila kitu ikafika mahala kakwama mke bila hata huruma wala haya utamsikia ni jukumu lake atajua mwenyewe na hapo uwezo wa kumsaidia anao. Sasa hiyo ni ndoa au uwanja wa mapambano?
Ifike pahala wanawake mbadilike mtaolewa na kuachika sana na wengine mtaishia kuhudhuria za wenzenu tu.
 
Wanafurahisha hawa watu. Wao kwenye pesa tu ndo wanakumbuka 50/50

Si ndio hapo sasa, likija suala la pesa yaani wako mstari wa mbele na mabango, ila yakija mengine masimango yanaanza. Wanaume siku hizi wamekuwa walalamishi hadi shetani anashangaa.
 
Nachokiona kutoka kwenu wanawake ni ubinafsi uliopitiliza na hapa ndipo mnapofeli na kugeuza ndoa kuwa uwanja wa vita na mashindano. Unaona shida gani kumnyanyua mumeo pale anapoanguka?
Nimekuoa uwe msaidizi wangu pale naposhindwa ww unisaidie niweze ili kufunika yale mapungufu yangu pamoja tusonge mbele kutengeneza familia iliyo bora.

Ila leo hii wanawake bila hata aibu unakuta mumewe pamoja na kuihudumia familia kwa kila kitu ikafika mahala kakwama mke bila hata huruma wala haya utamsikia ni jukumu lake atajua mwenyewe na hapo uwezo wa kumsaidia anao. Sasa hiyo ni ndoa au uwanja wa mapambano?
Ifike pahala wanawake mbadilike mtaolewa na kuachika sana na wengine mtaishia kuhudhuria za wenzenu tu.

Na wewe mwanaume mzima kwanini ulioa kama unajua utayashindwa majukumu yako?
 
Na wewe mwanaume mzima kwanini ulioa kama unajua utayashindwa majukumu yako?
Binti haya maisha hayana formula kuna kupanda na kushuka, huyo unayemwona yupo juu leo usishangae kesho kumkuta chini. Ndio maana kwenye ndoa kuna kiapo cha shida na raha, ila nyie wenzetu mnataka kwenye raha tu! Hilo neno kwenye shida limewashinda kabisa.

Ndio maana ndoa za vijana wengi huvunjika pindi mume anapofukuzwa kazi/kufilisika au kuyumba kiuchumi.
Badilikeni enyi wanawake.
 
Binti haya maisha hayana formula kuna kupanda na kushuka, huyo unayemwona yupo juu leo usishangae kesho kumkuta chini. Ndio maana kwenye ndoa kuna kiapo cha shida na raha, ila nyie wenzetu mnataka kwenye raha tu! Hilo neno kwenye shida limewashinda kabisa.

Ndio maana ndoa za vijana wengi huvunjika pindi mume anapofukuzwa kazi/kufilisika au kuyumba kiuchumi.
Badilikeni enyi wanawake.

Kwakweli kuna haja ya hicho kipengele kufanyiwa marekebisho. We ulipandaje hadi ushuke!! Ukishapanda baki huko huko. Ukishuka baki mwenyewe.
 
Kwakweli kuna haja ya hicho kipengele kufanyiwa marekebisho. We ulipandaje hadi ushuke!! Ukishapanda baki huko huko. Ukishuka baki mwenyewe.
Ww mbishi tu unataka ligi ila mpaka sasa nimeishaisoma saikolojia yako kwamba umeelewa somo.😛😛😛
 
Ww mbishi tu unataka ligi ila mpaka sasa nimeishaisoma saikolojia yako kwamba umeelewa somo.😛😛😛
Hilo somo siwezi kulielewa aisee!! Nimegoma.
 
Tumesikia, ila hakuna maendeleo yasiyoisha ujana unaisha na sisi tunataka kupendeza kabla hatujaufikia uzee
 
Kwakweli kuna haja ya hicho kipengele kufanyiwa marekebisho. We ulipandaje hadi ushuke!! Ukishapanda baki huko huko. Ukishuka baki mwenyewe.
Kweli marekebisho yanahitajika haiwezekani uko juu afu ukubali kushuka tena
 
Nachokiona kutoka kwenu wanawake ni ubinafsi uliopitiliza na hapa ndipo mnapofeli na kugeuza ndoa kuwa uwanja wa vita na mashindano. Unaona shida gani kumnyanyua mumeo pale anapoanguka?
Nimekuoa uwe msaidizi wangu pale naposhindwa ww unisaidie niweze ili kufunika yale mapungufu yangu pamoja tusonge mbele kutengeneza familia iliyo bora.

Ila leo hii wanawake bila hata aibu unakuta mumewe pamoja na kuihudumia familia kwa kila kitu ikafika mahala kakwama mke bila hata huruma wala haya utamsikia ni jukumu lake atajua mwenyewe na hapo uwezo wa kumsaidia anao. Sasa hiyo ni ndoa au uwanja wa mapambano?
Ifike pahala wanawake mbadilike mtaolewa na kuachika sana na wengine mtaishia kuhudhuria za wenzenu tu.
unamuacha mkeo kisa hajakusaidia???
wewe kaka,usiseme kwa sauti watu wakasikia.
 
Nachokiona kutoka kwenu wanawake ni ubinafsi uliopitiliza na hapa ndipo mnapofeli na kugeuza ndoa kuwa uwanja wa vita na mashindano. Unaona shida gani kumnyanyua mumeo pale anapoanguka?
Nimekuoa uwe msaidizi wangu pale naposhindwa ww unisaidie niweze ili kufunika yale mapungufu yangu pamoja tusonge mbele kutengeneza familia iliyo bora.

Ila leo hii wanawake bila hata aibu unakuta mumewe pamoja na kuihudumia familia kwa kila kitu ikafika mahala kakwama mke bila hata huruma wala haya utamsikia ni jukumu lake atajua mwenyewe na hapo uwezo wa kumsaidia anao. Sasa hiyo ni ndoa au uwanja wa mapambano?
Ifike pahala wanawake mbadilike mtaolewa na kuachika sana na wengine mtaishia kuhudhuria za wenzenu tu.
Mkuu we acha tu.Tuombe unyago uwekwe ktk syllabus ya msingi huenda tukakiponya kizazi hiki cha .com.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom