MamaSamia2025
JF-Expert Member
- Mar 29, 2012
- 20,699
- 42,778
Unadhani ugaidi ni kitu cha mchezo mchezo?Mbona wameshindwa kupambana na ugaidi?!
Unadhani ugaidi ni kitu cha mchezo mchezo?Mbona wameshindwa kupambana na ugaidi?!
Ndio maana tunapinga kuwakaribisha EAC. Maana kuna uwezekano ugaidi ukasambaa hadi huku kwetuUnadhani ugaidi ni kitu cha mchezo mchezo?
Ushirikiano sio wa kila kitu. Bado taratibu zilizopo zitaendeleaNdio maana tunapinga kuwakaribisha EAC. Maana kuna uwezekano ugaidi ukasambaa hadi huku kwetu
Kwanini UK waliikataa hiyo sarafu?Tukishakuwa na soko la pamoja na sarafu moja Kwa jumuia za kikanda kama EAC tutakuwa tumefika mahali pazuri,jumuia kama umoja wa ulaya Wana sarafu Yao,inayokubalika nchi zote katika jumuia,ukija hapa kwetu Kila mtu ana sarafu yake,Hali hii inadhoofisha biashara miongoni mwa nchi wanachana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Na Ethiopia ana kuja. Kitu cha Msingi ni Sisi WA Tz tujue namna ya kutumia mashirikiano haya Kwa faida yetu na sio kujiuzaKijiografia Somalia na Kongo DRC ziko Afrika ya Mashariki kweli?
Je wewe unaweza kufanya biashara huko au wengi wetu Vs watu wao kufanya biashara kwetu. wa Tz hatuna Umoja ndio maana tuna aanguka ktk vitu vingi.Tusiwe na hofu, tutapata fursa nyingi na watabadilika. Kitendo Cha kuendelea kuwatenga ndicho kinawafanya wawaze vibaya
Hofu kama hiyo iliibuka wakati Rwanda, Burundi na DRC zinajiunga lakini utaona kuwa hakuna shida yoyote
Moja ya malengo yake ni kuongeza idadi ya wanachama.Kwani malengo ya EAC ni yepi?
Kwani maamuzi ya kupokea maombi ya nchi kujiunga na EAC, yanaamliwa na Rais Samia pekee yake?Labda anataka akimaliza muhula wake akimbilie Somalia kumbuka Zanzibar Mombasa Kilwa Barawa na Mogadishu zilikuwa ni Nchi moja.
Mkuu kuna shida?Waliweka kigezo/sharti la ajabu sana, eti nchi yoyote ilipakana na mwanachama wa EAC anaruhusiwa kuomba uanachama. Nionavyo mimi ipo siku hata Ghana utakuta ni mwanachama wa EAC.
Sio kweliAfrica ili iendelee na iwe na nguvu inabid nchi zote ziungane zitumie sarafu 1,mambo yakutegemea dola yapungue kwanza
Tawala katika nchi nyingi za Community ni majanga matupu.Community yenyewe hata sioni umuhimu wake, tumeshapoteza malengo tunajiendea tu, naona wazo zuri kwa sasa na habari ya kuuza gazeti ingekuwa ni kuvunja huo muungano kila nchi ijifie kivyake, kwasasa hakuna lolote la maana zaidi ya kugawana umaskini tu
Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
Ni jambo jema, tatizo hao al shabaab hawachelewi kuigeuza k koo iwe mogadishu.
Mkutano wa Wakuu wa Nchi Wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) uliofanyika Jijini Arusha nchini Tanzania, umeridhia Nchi ya Somalia kujiunga na EAC na sasa inakuwa Mwanachama wa nane wa Jumuiya hiyo.
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki January Makamba ni miongoni mwa Viongozi waliotoa pongezi za awali kabisa kwa Somalia kuridhiwa kuwa Mwanachama mpya wa EAC ambapo ameitakia kheri Somalia katika kuielewa na kuiishi pamoja na kuitekeleza misingi ya EAC na itifaki zake katika kukuza na kuendeleza Jumuiya hiyo.
Katika hatua nyingine mkutano huo pia umemtangaza Rais wa Sudan, Salva Kiir Mayardit kuwa Mwenyekiti mpya wa Jumuiya ya Afrika Mashariki.
Itakumbukwa katika mkutano kama huo mwaka jana aliyekuwa Rais wa Kenya na Mwenyekiti wa Jumuiya hiyo wakati huo, Uhuru Kenyatta alitangaza rasmi Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) kujiunga na EAC.
Samia ndio kachagua Somalia ijiunge na EAC?Labda anataka akimaliza muhula wake akimbilie Somalia kumbuka Zanzibar Mombasa Kilwa Barawa na Mogadishu zilikuwa ni Nchi moja.
Serikali iwe makini sana! Yasije yakatokea kama yale ya West Gate NairobiUshirikiano sio wa kila kitu. Bado taratibu zilizopo zitaendelea