Somalia yajiunga Uanachama wa Afrika Mashariki (EAC)

Somalia yajiunga Uanachama wa Afrika Mashariki (EAC)

Mkuu katika soma soma yangu ya Historia ya Pembe ya Afrika nimeshangazwa sana kumbe Wafalme wa Kihabeshi walitaka kuvamia Wasomali na kuwalazimisha wawe Wakristo lakini wakakutana na Morani wa Himaya ya Wageledi na wakaambulia kichapo 😂😂 na kurudi makwao aisee...hilo eneo ni korofi sana




View attachment 2824786
Morani wa Himaya ya Wageledi.

View attachment 2824791
Negus Emperor Menelik2 wa Ethiopia kumbe alipokea kichapo kutoka kwa Wageledi.
Daa umenifanya nikasome hao jamaa
Unajua wasomali ni kama mnyama Duma kumfuga au kutawala ni kazi ngumu sana
Mataifa mengi yameshindwa hata wakati wa vita vya Dunia na hata kabla

Ila Asante kwa kuniongezea elimu kwani umenipeleka mpaka Afgooye Somalia
Nimejifunza vingi ingawa nimewahi kutembea mpaka Mogadishu kwa kuongeza matembezi yangu tu

Hawa jamaa ni wapole ila hawana ujinga na huwezi kuwaonea
Hatujasahau Black Hawk Down pia jinsi mmarekani alivyoamua kukimbia
 
Daa umenifanya nikasome hao jamaa
Unajua wasomali ni kama mnyama Duma kumfuga au kutawala ni kazi ngumu sana
Mataifa mengi yameshindwa hata wakati wa vita vya Dunia na hata kabla

Ila Asante kwa kuniongezea elimu kwani umenipeleka mpaka Afgooye Somalia
Nimejifunza vingi ingawa nimewahi kutembea mpaka Mogadishu kwa kuongeza matembezi yangu tu

Hawa jamaa ni wapole ila hawana ujinga na huwezi kuwaonea
Hatujasahau Black Hawk Down pia jinsi .mmarekani alivyoamua kukimbia
Unajua pia Wareno walikiona chamoto walipovamia Barawa.

Wareno walipofanikiwa kuiteketeza Kilwa na Zanzibar wakaiteka na Mombasa lakini walipofika Barawa wakakutana na Morani wa Kisomali wakashindwa kuiteka Pwani ya Somalia iliyokuwa chini Ajuraan Sultanate.

Wakapokea kichapo na kukimbila Oman na India ambako waliziteka Ngome za Kihindi kwa urahisi.
Marka,Somalia.jpg

Mji wa Marka kwenye fukwe za Barawa kwenye Mwambao wa Bahari ya Hindi Somalia

440px-Notables_belong_to_the_Biimaal_clan.jpg

Wasomali wa makabila ya Kibarawa Marka Somalia.
 
Unajua pia Wareno walikiona chamoto walipovamia Barawa.

Wareno walipofanikiwa kuiteketeza Kilwa na Zanzibar wakaiteka na Mombasa lakini walipofika Barawa wakakutana na Morani wa Kisomali wakashindwa kuiteka Pwani ya Somalia iliyokuwa chini Ajuraan Sultanate.

Wakapokea kichapo na kukimbila Oman na India ambako waliziteka Ngome za Kihindi kwa urahisi.
Toa darasa mkuu
Hawa jamaa nawakubali sana wana umoja na mshikamano
Kwa asili wanapendana sana ila matatizo tu yametokea kugombania madaraka
Ila kwa kweli huwezi kuona msomali ombaomba duniani maana wana saidiana sana na wanachangishana sana kwa wenye matatizo
Sijui tuseme ni naturally born killers ila ukiingia anga zao
Thanks again mkuu
 
Kenya Uganda na Tanzania mmetengeneza bomu la nuklia
Why Somalia ? Hawaongei Kiswahili wakatili, wanauana kama kuku but Why?
Watolewe ASAP
Watawala msifanye kuwafurahisha wadhungu. Hii decision itawacost
 
Kenya Uganda na Tanzania mmetengeneza bomu la nuklia
Why Somalia ? Hawaongei Kiswahili wakatili, wanauana kama kuku but Why?
Watolewe ASAP
Watawala msifanye kuwafurahisha wadhungu. Hii decision itawacost
Point yako ya mwisho hii ina kitu cha msingi sana. Wazungu kuna kitu wanakitafuta hapo kupitia mwamvuri wa EAC.
 
Somalia na Sudan ziko kwenye Arab League wakati wao sio Waarabu, Waarabu halisi waliohamia Sudan kutoka Syria na Hejaz hawazidi 5% kuhusu hao ndugu zetu waliopelekwa utumwani wanatambua kuwa wao sio Wazungu bali ni Waafrika rejea "African Americans" lakini Wasudani na Wasomali asilimia kubwa wanadai kuwa wao ni Waarabu je unalijua hilo.

Unajua Watumwa wengi walipelekwa Uarabuni kuliko Marekani lakini leo wako wapi wengi walihasiwa ili wasiwanajisi wasichana wa Kiarabu.

Huu ni wakati wa Mwafrika kuamka kutoka usingizini.
Duh!

Katika mada hii nakusoma kinoma. Kuna mengi sijawahi kuyasikia, leo nayasoma humu!
 
Kenya Uganda na Tanzania mmetengeneza bomu la nuklia
Why Somalia ? Hawaongei Kiswahili wakatili, wanauana kama kuku but Why?
Watolewe ASAP
Watawala msifanye kuwafurahisha wadhungu. Hii decision itawacost
Sijui kama madhumuni ya mwanzo ya kuwa na jumuia hii yalilenga haya mapya yanayojitokeza sasa.

Maoni yangu ni kuwa kadri ya kujipanua zaidi na kuongeza wana chama holela, hiyo ndiyo njia rahisi ya kufifisha madhumuni yaliyolengwa toka mwanzo.

Hata hivyo, haya mambo yanachanganya sana. Tunazo COMESA, SADC, na tunakazania AfCFTA; yote haya ni kama malengo ni yale yale. Sasa sijui tena kujiunga na moja na kutokuwa katika nyingine zinatunyima au kutuongezea kitu gani?

Hivi tunazo bidhaa nyingi tunazozalisha hapa na tumekosa soko la kuziuzia bidhaa hizo?

Mbona AGOA hatuuzi chochote huko?
 
Kenya Uganda na Tanzania mmetengeneza bomu la nuklia
Why Somalia ? Hawaongei Kiswahili wakatili, wanauana kama kuku but Why?
Watolewe ASAP
Watawala msifanye kuwafurahisha wadhungu. Hii decision itawacost
South Sudan hawaongei Kiswahili na wanauwana vilevile.
 
Cristovao da Gama, the son of famed Portuguese explorer, Vasco da Gama huyu Jamaa alivamia Adeli Sultanate na alitekwa na hatimae aliuwawa na Wasomali wakiongozwa Imam Ahmed Gragn karibu na Mji wa Harar.

Mfalme wa Ureno aliwaomba Wasomali wamuachie Jenerali huyo na Ureno iliahinidi kutoa Magunia ya Dhahabu kama Ransom lakini Wasomali walimkatalia Mfalme wa Ureno na kumchinja Jenerali huyo.

images.jpeg.jpg

Cristivao Da Gama alieuwawa na Imamu wa Kisomali.
 
Sijui kama madhumuni ya mwanzo ya kuwa na jumuia hii yalilenga haya mapya yanayojitokeza sasa.

Maoni yangu ni kuwa kadri ya kujipanua zaidi na kuongeza wana chama holela, hiyo ndiyo njia rahisi ya kufifisha madhumuni yaliyolengwa toka mwanzo.

Hata hivyo, haya mambo yanachanganya sana. Tunazo COMESA, SADC, na tunakazania AfCFTA; yote haya ni kama malengo ni yale yale. Sasa sijui tena kujiunga na moja na kutokuwa katika nyingine zinatunyima au kutuongezea kitu gani?

Hivi tunazo bidhaa nyingi tunazozalisha hapa na tumekosa soko la kuziuzia bidhaa hizo?

Mbona AGOA hatuuzi chochote huko?
Kimsingi, jumuia zoote africa, kwa %kubwa wazungu ndio wafadhili. Sasa wafadhiri hawa wanaangalia jumuia yenye faida kwao.
Mimi zamani sana, nilikua najiuliza, kwanini wazungu wanaizongazonga sana somalia!!

Nikaanza kufuaatilia shuguli za kiuchumi na malighafi nikaona wana makaa ya mawe. Lakini ukiingia zaidi kumbe somalia ndio mlango wao mkuu kwa wazungu kufanya mambo yao afrika hasa ukanda huu wa pembe ya afrika ukizingatia jibuti ndio nchi yenye ngome kuu ya kijeshi ya wazungu.

Wamarekani wameishindwa somaria, sasa wameona waishawishi ili iingie kwenye jumuia hii, ili ilindwe na nchi hizi, kama kuna makundi yanapingana na wazungu, kama tulivyoona, wakenya wanawezeshwa wanaenda kutuliza mambo. Lakini lengo ni lilelile la wazungu kuufungua huu mlango ambao ni mgumu kwao.

Pembe ya afrika ni ngumu sana kwa wazungu kuichezea tangu ukoloni, hivyo wanakuja kwa mbinu za kuwavurugana wenyewe kwa wenyewe.
 
Mkuu huyu Raisi wa sasa wa Somalia Hassan Shekh Mohamud amewadhibiti Alshabaab kwa kiasi kikubwa anastahili apewe Maua yake.


View attachment 2824856
Haswa tena ajengewe na sanamu lake huyu professor maana amejitahidi sana.
Kumbuka ni mara ya pili amekuwa Rais wao na anajua mbinu zote
Pia kwenye gazeti la Times alikuwemo kati ya 100 influential people in the world
 
Mbona tunao akina Rage wakulugo.
Hebu kwanza mkuu! Hili la akina Rage halikufikirishi zaidi?

Watu wenye asili ya Somalia hapa Tanzania ni wangapi? Ukitizama wingi wao unavyo wiana na nafasi za uongozi walizoshika vinaendana kweli?

Sasa niambie wakiwa wengi kidogo katika jumuia hii yetu, hawa akina Mangungo watabaki na chochote kweli. Na hapo bado hujaangalia eneo la biashara, na maeneo mengineyo mbalimbali!
Hapana, huu siyo uoga wa kitu chochote, ni kusema tu ukweli ulivyo.
 
KCcnvk8 (1).jpg
Waingereza wenyewe wanawajua hawa Morani wa Kisomali.
 
NI JAMBO JEMA WAO KUJIUNGA NA HIYO ITATUFUNZA NA SISI KULINDA RASILIMALI ZETU MUHIMU KWA KUWA WAO HAWAPENDI VIBARAKA WA MAGHARIBI NA NDIYO HIYO VITA YAO HASWA. TUTAKUWA NA UWANJA MPANA WA BIASHARA, KUOLEANA ,MILA ,DESTURI,ULINZI NA USALAMA ,KUWA JUMUIYA YENYE NGUVU, KUSAIDIANA KWA SHIDA NA RAHA
 
Kutokana na michoro ya Mapangoni inaonyesha Wasomali walikuwa wakiabudu Ngombe kama Ankole miaka 6000 iliyopita kabla ujio wa Dini ya Kiislamu kwenye Pembe ya Afrika

Laas_Geel_cow_and_human.jpg

Michoro ya Muumìni akimuabudu Ng'ombe kama hawa wa Kitutsi na Ankole kwenye Mapango huko Somaliland.

Baada ya Dini ya Ng'ombe walivumbua Dini nyingine ambayo waliungana na Waoromo huko Ethiopia kabla ya Dini za kigeni kuigia Afrika.
 
Baada ya mabadiliko ya tabia Nchi kwenye Pembe ya Afrika Wasomali wengi waliacha kufuga Ng'ombe na kuanza kufuga Ngamia anaevumilia ukame.

Wasomali wanapenda sana Ngamia zao.
Camel-Driver.jpg
 
21898314ecfeffa58462583032cff62b.jpg

Vazi la asili la Wanawake wa Kisomali ni hili 👆Baibui Hijabu na Mavazi mengine ya Kiarabu wameanza kuvaa miaka ya 90 mwanzoni.

Ndio ujue kuwa Arabization is real Waafrika wanaacha mila zao na kudandia tamaduni za Wageni.
Women-in-jilbab.jpg
 
Back
Top Bottom