Somalia yajiunga Uanachama wa Afrika Mashariki (EAC)

Somalia yajiunga Uanachama wa Afrika Mashariki (EAC)

Huyu mama anajikombaga kwa waarabu na wasomali..ushamba na ulimbukeni na kukutojikubali..yaani anawatetemekea mpaka aibu
Somalia wameanza mchakato wa kujiunga EAC tokea 2012. Ni maamuzi ya viongozi wanachama wa nchi 7 ndio wameruhusu Somalia wajiunge.
Hapa mmeshupaza shingo kumlaumu Samia.
 
EAC ilipaswa iwe TZ, KE na UG,kama kungekuwa na any additions basi RW na BU ndio waliostahili zaidi...
 
Watanzania wakijua kuwa uhuru wa nchi yao pamoja na sheria za nchi yao utakuwa chini ya hii jumuia ndipo hapo itakuwa too late.

Na tukipata raisi muelewa kama JPM atatutoa huko kwenye kundi la wasiojitambua. Yani nchi maskini zimejikusanya pamoja kwa amri ya world economic forum Claus shwab ndiyo anawaamrisha tuta toka huko ngoja tupate mwamba
Daah inaskitisha kwa kwel???
 
Sidhani mkuu
Wasomali wanauwana Mogadishu tu na hawaingilii siasa za nchi zingine
Ukimuona msomali nchi nyingine ujue ni mtafutaji huyo
Wengi wao ni hustlers
Kisiwa cha Zanzibar hakuna anaekitamani mkuu hata Oman wenyewe labda kuwekeza tena sio wa kuja bali wazawa walioenda Oman na kuishi na kupata watoto huko
Na Oman wako vizuri sana kwa sasa maana hata mafuta ni yao kwa 💯 tangu mkataba ulipoisha na wana Nationalization sasa wao tu ndio wanashika sehemu zote za kazi hawataki ujinga
Kama wewe ni foreigner na ni bank manager ukimaliza mda wako anawekwa M Oman aliesoma

Nafikiri wasomali mpaka uwavuruge kama Kenya walivyovamia Mall majeshi ya kila aina yakashindwa kuwakamata vijana wadogo ila wakaishia kuiba maji ya chupa na kuvunja safe za hela
Yaani aibu ya hivyo mkuu nao ndio walinzi wa nchi je sisi tungekuwa tofauti ?

Kwa usalama wa nchi masikini Mungu tu ndio anajua
Pumbavu wahed,yasiyokuhusu Wala huna haja ya kushughulika nayo,nyie jeshi lenyu hilo wavunja matofali Kwa vichwa lina ubora upi?
Wajua damu Ya wakenya kiasi gani yamemwaga hayo magaidi yako ya Somalia?
Wewe utakua gaidi tu siyo Bure.
Kalb hayawan.
 
Pumbavu wahed,yasiyokuhusu Wala huna haja ya kushughulika nayo,nyie jeshi lenyu hilo wavunja matofali Kwa vichwa lina ubora upi?
Wajua damu Ya wakenya kiasi gani yamemwaga hayo magaidi yako ya Somalia?
Wewe utakua gaidi tu siyo Bure.
Kalb hayawan.
😂😂😂😂😂💯%
 
Wasomali wanauana kwasababu ya Dini ni jambo la kijinga sana, inakuwaje Mwarabu anawachonganisha na wao wanakubali.
 
Wasomali wakiingia Tanzania inabidi watanzania wajiandae kisaikolojia kibiashara na hao jamaa, wasomali ni kama wana asili moja na wachaga ni jamii ya watu wafanyabiashara sana, somalia kama sio vita hiyo nchi, ni nchi ungekuta iko mbali sana
Acha watuchangamshe kidogo maana kama tumeshindwa kupeleka matunda na mboga ulaya na uarabuni basi wapeni fursa hizo wao kwani biashara ipo kwenye damu na wana ujasiri na kukubali hali yoyote ile

Wao wanafuga sana Ngamia na Kondoo na wateja wao na wanunuzi wakubwa ni Saudia na UAE
Meli zinaenda kila leo
Sasa wao hawana kilimo sana zaidi ya ndizi na ndizi zao wanapigwa bao na mataifa kama Brazil, Mexico Philippines na hata India
Acha waje tu na woga wetu ndio faida kwao
Watoto wa baba hao
Mtupe msomali porini atakuuzia kitu lazima
 
Malika-by-Afrisson.jpg
KeMusicians-Website-10.jpg

Hivi huyu Malikia wa Taarab katika Mwambao wa Afrika ya Mashariki bado yuko hai kweli?

Hivi alikuwa ni Mbarawa au Mbajuni wa Kisomali?

Asha Abdow. MALIKA

Nani anamkumbuka wape wape vidonge vyao?


View: https://youtu.be/_O4iTr_6_tk?si=S2P81v4U_aPkzYDd
 
Magaidi yamekaribishwa kwenye umoja wa africa mashariki

Tutarajie ugaidi kuongezeka kwenye kanda yetu
 
Pumbavu wahed,yasiyokuhusu Wala huna haja ya kushughulika nayo,nyie jeshi lenyu hilo wavunja matofali Kwa vichwa lina ubora upi?
Wajua damu Ya wakenya kiasi gani yamemwaga hayo magaidi yako ya Somalia?
Wewe utakua gaidi tu siyo Bure.
Kalb
Pumbavu wahed,yasiyokuhusu Wala huna haja ya kushughulika nayo,nyie jeshi lenyu hilo wavunja matofali Kwa vichwa lina ubora upi?
Wajua damu Ya wakenya kiasi gani yamemwaga hayo magaidi yako ya Somalia?
Wewe utakua gaidi tu siyo Bure.
Kalb hayawan.

hayawan.

Pumbavu wahed,yasiyokuhusu Wala huna haja ya kushughulika nayo,nyie jeshi lenyu hilo wavunja matofali Kwa vichwa lina ubora upi?
Wajua damu Ya wakenya kiasi gani yamemwaga hayo magaidi yako ya Somalia?
Wewe utakua gaidi tu siyo Bure.
Kalb hayawan.
Matusi ya nini wee Dada?
Dunia nzima ilishuhudia majeshi yenu kuanzia kdf mageraza yenu mpaka polisi wa kila aina walivyoingia mall lile kuwasaka vijana na wakaishia kuiba na kuvunja maduka na kubeba hela wengine wakibeba mineral water kama mali ya baba zao

Wewe ni mwarabu koko ulievaa sura ya kikenya eti Kelb
Kiarabu unatumia ukiwa unalizwa
Haya unasema magaidi yameuwa wakenya
Nikukumbushe tu tamaa ya Rais wenu kudanganywa na kupewa hela na mabeberu ili muingie Somalia ndio maana
Tamaa mbaya sana mkakenda kuwaambukiza ukimwi na majeshi yenu
Mmeiba sana mkaa Somalia
Upumbavu wa majeshi kuvamia nchi wasioijua ndio matokeo yake
Hela za wazungu zimewafikisha wapi
Sisi hatuwezi kudanganyika kijinga kwa hela ili vijana wetu wakafe
Jakaya alikataa ujinga huo wa kuwatoa mhanga watoto wetu
Sasa wewe tukana sana ila ukweli unajulikana
Mbona wasomali hawalipui tz? Kwa sababu hatuna kiherehere kama nyie
Ukweli unajulikana ukienda kuchokaza wanaume utarudi na viroba tu
 
Ila Palestine walikaribishwa na Nyerere enzi hizo bila hiyana
Sisi hatuna maadui mkuu tuko peace sana
Mkuu katika soma soma yangu ya Historia ya Pembe ya Afrika nimeshangazwa sana kumbe Wafalme wa Kihabeshi walitaka kuvamia Wasomali na kuwalazimisha wawe Wakristo lakini wakakutana na Morani wa Himaya ya Wageledi na wakaambulia kichapo 😂😂 na kurudi makwao aisee...hilo eneo ni korofi sana




300px-Geledi_Sultan.jpg

Morani wa Himaya ya Wageledi.

menelik-ii-image-01.jpg

Negus Emperor Menelik2 wa Ethiopia kumbe alipokea kichapo kutoka kwa Wageledi.
 
Na SADC nako tumtegemee Jambazi gani wa kututoa huko au Makonda?
Hizo zote ni taasisi za wasio jitambua kazi yao ni kupokea pesa na michango kutoka kwa wanachama. Mifano ni mingi kuwa hizi taasisi au jumuia hazina maana yoyote.

Niger walifanya mapinduzi ya kumuondoa mkoloni mfaransa hapo hapo kibaraka wa wazungu na mwenyekiti wa ecowas bola tinubu akatishia kuwawekea niger vikwazo na kuwakatia umeme na kuwatishia kuwa vamia kijeshi. Upuuzi huo ndiyo kazi ya EAC kama JPM alikuwa jambazi asante Mungu . Kwani ni jambazi Robin Hood . EAC ni muungano wa pupets wanaopokea order kutoka juu ya mabwana zao
 
Back
Top Bottom