Kindeena
JF-Expert Member
- Sep 27, 2017
- 11,910
- 21,949
Yaani mada niisome miaka mitano sekondari na mmoja chuo kikuu(sheria), bado vyombo vya habari vinatangaza kila kukicha halafu leo nisijue?Kwa hiyo hapa wewe unadhani umeweka mchango muhimu sana katika kumfahamisha hayo malengo?
Haitashangaza hata kidogo endapo wewe mwenyewe hujui hata moja!
Kama mtu hujui malengo ya EAC basi hata hapa JF huwezi kuelewa iwapo utaeleweshwa.
Hata ku-goolgle huwezi?