imhotep
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 61,236
- 98,436
Unajua akina Burhan wa Sudan ni Hadendoa Cushites kama Wasomali lakini Arabization imesababisha wamepoteza hadi lugha yao ya Kikushi na sasa wanaitwa Arabs ninyi msipoangalia mtakuwa kama akina Hamdan Dagalo.Mkuu naona ni dini na kujistiri nakumbuka nilienda huko miaka ya nyuma nilikuta wanavaa hivyo ila sasa maisha yako tofauti na wanawake pia walikuwa wanavaa kama half naked ila wengi wanajistiri sasa na sio mbaya kuficha mwili kwa mwanamke
Mimi naona kujistiri ni bora kuliko kuachia nyama nje au unasemaje mkuu
Stara ni nzuri ila kanzu ni vazi tu mtu na mtu anaamua kuvaa ila wengi wanavaa suruali kuliko wavaa kanzu
Miaka 70 iliopita Hadendoa Beja Cushites walikuwa wakivaa hivi kimorani lakini leo ni Baraghashia za kiarabu WHY?
Ni saa ngapi hawa Wakushi👆 wamegeuzwa kuwa Waarabu?