Al Shababu ni kikundi cha Magaidi lakini kimezidiwa kiko mbioni kutoweka na Amani inarejea kwenye Taifa hilo la Wafugaji.Hawa hawa Wasomali hatari wanaofanyia watu ghilba na kuwapeleka utumwani hadi leo?!
Watumwa wa ngono wa al-Shabab - BBC News Swahili
Ni wanawake vijana na wazee, kutoka jamii ya Kikristo na Kiislamu, kutoka Mombasa na sehemu nyingine za mkoa wa pwani ya Kenya. Waliahidiwa kazi nzuri nzuri katika miji mingine na nchi nyingine, kisha wakatekwa nyara.www.bbc.com
Ningependa Ethiopia Eritrea na Djibouti nao wajiunge halafu tutengeneze Sarafu yetu moja itakuwa Bomba sana.Kikwete kwenye utawala wake ndio alieshawishi nchi nyingi kujiunga EAC, congo, zambia, malawi, somaria, nk.
Malawi pekee wakati ule ndio ilikataa kwa asiimia 100 kujiunga. Zingine hazijasema wazi juu ya kujiunga au kutojiunga.
Kwani malengo ya EAC ni yepi?
Ni aibu sana kuna Mtanzania msomi hajui malengo ya EACBig Big Question Mkuu.
Huu Muunganiko kwa sasa umekuwa ni kwa maslai ya mabeberu
Ficha ujinga wako.Huyu mama anajikombaga kwa waarabu na wasomali..ushamba na ulimbukeni na kukutojikubali..yaani anawatetemekea mpaka aibu
Tatizo watanzania ni mabingwa wa kushawishi wengine kujiunga na muungano, lakini wanasahau kuelimisha watu wao kuhusu fulsa za muungano wenyewe.Ningependa Ethiopia Eritrea na Djibouti nao wajiunge halafu tutengeneze Sarafu yetu moja itakuwa Bomba sana.
Inakuwa unatoka Kigali hadi Tigrai unapeleka magunia yako ya Maharage.
Wameshagawa tayari supu hivyo hakuna jipya.View attachment 2823498
Wanakuja kuuza Bunduki.
Hata huu Muungano wetu wa kienyeji wa Tanganyika na Zanzibar ukiangalia vizuri wafaidika wakuu ni Wazanzibari labda sisi tumeumbwa na nyota ya kusindikiza wenzetu.Tatizo watanzania ni mabingwa wa kushawishi wengine kujiunga na muungano, lakini wanasahau kuelimisha watu wao kuhusu fulsa za muungano wenyewe.
Ndio maana siku zote tunapitwa na kudidimizwa kiuchumi na nchi tunazozifundisha.
ndugu zakeHuyu mama anajikombaga kwa waarabu na wasomali..ushamba na ulimbukeni na kukutojikubali..yaani anawatetemekea mpaka aibu
Kijiografia Somalia na Kongo DRC ziko Afrika ya Mashariki kweli?
Ujinga na upumbavu tu kuingiza Somalia EAC
Hiki kilimo chetu hakina tija.tunalima kizamani mazao hata yakiwepo shambani hakuna miundomninu mizuri na rahisi kusafirisha.Hata huu Muungano wetu wa kienyeji wa Tanganyika na Zanzibar ukiangalia vizuri wafaidika wakuu ni Wazanzibari labda sisi tumeumbwa na nyota ya kusindikiza wenzetu.
Lakini kwasababu sisi ni Wakulima na tunajiunga na Nchi zenye uhaba wa Mvua na Chakula huu ndio wakati wa kupiga mzigo.
Watanzania wakijua kuwa uhuru wa nchi yao pamoja na sheria za nchi yao utakuwa chini ya hii jumuia ndipo hapo itakuwa too late.
Na tukipata raisi muelewa kama JPM atatutoa huko kwenye kundi la wasiojitambua. Yani nchi maskini zimejikusanya pamoja kwa amri ya world economic forum Claus shwab ndiyo anawaamrisha tuta toka huko ngoja tupate mwamba
Sijui wanataka kuunda AU ndogo. Waafrica ni ngumu sana kuwaelewaKwani malengo ya EAC ni yepi?
EAC ni safari ya USAfrica,?
Sijui wanataka kuunda AU ndogo. Waafrica ni ngumu sana kuwaelewa
Kuna Somalia (kwenye vita) na Somali land (kwenye amani). Hebu wanyooshe maelezo
Hii jumuiya ni debe tupu...
Mkutano wa Wakuu wa Nchi Wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) uliofanyika Jijini Arusha nchini Tanzania, umeridhia Nchi ya Somalia kujiunga na EAC na sasa inakuwa Mwanachama wa nane wa Jumuiya hiyo.
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki January Makamba ni miongoni mwa Viongozi waliotoa pongezi za awali kabisa kwa Somalia kuridhiwa kuwa Mwanachama mpya wa EAC ambapo ameitakia kheri Somalia katika kuielewa na kuiishi pamoja na kuitekeleza misingi ya EAC na itifaki zake katika kukuza na kuendeleza Jumuiya hiyo.
Katika hatua nyingine mkutano huo pia umemtangaza Rais wa Sudan, Salva Kiir Mayardit kuwa Mwenyekiti mpya wa Jumuiya ya Afrika Mashariki.
Itakumbukwa katika mkutano kama huo mwaka jana aliyekuwa Rais wa Kenya na Mwenyekiti wa Jumuiya hiyo wakati huo, Uhuru Kenyatta alitangaza rasmi Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) kujiunga na EAC.