BARD AI
JF-Expert Member
- Jul 24, 2018
- 3,376
- 8,119
DIPLOMASIA: Nchi ya Somalia imekuwa Mwanachama kamili wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) baada ya kukamilisha hatua zote zilizohitajika ili kuweza kupata ridhaa ya kujiunga na jumuiya hiyo
Sekretarieti ya EAC imechapisha taarifa inayoonesha Ujumbe wa Somalia ukikabidhiwa Hati yake ya Kuidhinishwa kutoka kwa Katibu Mkuu wa Jumuiya ikiwa ni utekelezaji wa Mkaubaliano yaliyoafikiwa Novemba 2023 na Wakuu wa nchi nyingine za EAC
Somalia inakuwa mwanachama wa nane wa EAC baada ya Burundi, Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, Kenya, Sudan Kusini, Tanzania, Rwanda na Uganda.
==============
Somalia has become a full member of the East African Community (EAC) after completing all the steps required to gain complete membership of the regional bloc.
The EAC secretariat on Monday shared on X, formerly Twitter, that Somalia had gained full membership "after depositing her Instrument of Ratification with the Secretary General" of the bloc.
The instrument of ratification is a formal document issued by a country, in which it agrees to be bound by a treaty.
Last November, the heads of state of the other EAC member states agreed to admit Somalia into the bloc.
Somalia becomes the eighth member of the EAC after Burundi, the Democratic Republic of Congo, Kenya, South Sudan, Tanzania, Rwanda and Uganda.
The move is intended to boost economic growth in the country, which is still recovering from three decades of war.