Somalia kuna vocation marriage

Somalia kuna vocation marriage

Ngoja nikatembelee Somalia nami nipate ka bikira .
Sio Somalia tu unaweza kutembelea nchi yoyote ambayo imekumbwa na vita kwa mda mrefu na kuleta dhiki na njaa
Hata Congo yapo haya na tukirudi nyuma hata Vietnam war wamarekani walifanya hivyo sana na kuwaacha kina mama wakihangaika na watoto wao
 
Wasomali wanaotoka Ulaya na Marekani wakienda likizo kwao huoa wasichana bikra na baada ya likizo huwatelekeza na kurudi kwa wake zao huko watokako.
Kwani wewe kwa sasa unaishi wapi mkuu? Kama vipi na sisi tulianzishe!
 
huwa najaribu kuwa ambia mabinti bikra ni kitu cha msingi sana hatakiwi kupewa mtu ovyo
 
Na hapo ndipo mimi ninaposema Mungu hayupo, hizi zote ni habari za watu tu, angekuwepo, kusingekuwa na utata wote huu katikahabari zake.
😀 😀 😀 Mungu hayupo kwa sababu Pembe tatu haiwezi kuwa duara sio?

Basi twambie wewe kama kiumbe, muumbaji wako nani?
 
Tuanzie hapa,wanapata faida gani kutembea na wanawake bikira,iko kiimani?ni aina ya makafara?au ni ushetani tu wa wanadamu..?
 
😀 😀 😀 Mungu hayupo kwa sababu Pembe tatu haiwezi kuwa duara sio?

Basi twambie wewe kama kiumbe, muumbaji wako nani?
Swali lako lina ushamba wa ufahamu.

Wewe ni kama kipofu ambaye ameshazoea kujua vitu kwa sauti. Anahadithiwa kuhusu rangi za bendera ya taifa ya Tanzania, anaambiwa ipo bluu, hajui bluu ni nini, anauliza " hiyo bluu mlio wake ukoje?". Kwa sababu katika ulimwengu wake finyu ambao vitu havitambuliki kwa rangi, vinatambulika kwa sauti, anaona kila kitu ni lazima kiwe na sauti.
 
Swali lako lina ushamba wa ufahamu.

Wewe ni kama kipofu ambaye ameshazoea kujua vitu kwa sauti. Anahadithiwa kuhusu rangi za bendera ya taifa ya Tanzania, anaambiwa ipo bluu, hajui bluu ni nini, anauliza " hiyo bluu mlio wake ukoje?". Kwa sababu katika ulimwengu wake finyu ambao vitu havitambuliki kwa rangi, vinatambulika kwa sauti, anaona kila kitu ni lazima kiwe na sauti.

Hapa umenifanya nifurahi... na hasa hapo ulipoandika hio bluu mlio wake ukoje 😀 😀 hii ni clear reflection of you. Unaambiwa Mungu sio Creation wewe unamfananisha na Creation 😀 😀 😀

ukaendelea kujitolea mfano mwenyewe, ulimwengu wako wambao uko limited unaona na mungu yupo limited 😀

Umebuma!
 
Hapa umenifanya nifurahi... na hasa hapo ulipoandika hio bluu mlio wake ukoje 😀 😀 hii ni clear reflection of you. Unaambiwa Mungu sio Creation wewe unamfananisha na Creation 😀 😀 😀

ukaendelea kujitolea mfano mwenyewe, ulimwengu wako wambao uko limited unaona na mungu yupo limited 😀

Umebuma!

Hata analogy huna uwezo wa kuielewa.

Thibitisha Mungu yupo.

Acha longolongo.

Kusema Mungu si creation si uthibitusho kwamba yupo.

Thibitusha yupo.
 
Hata analogy huna uwezo wa kuielewa.

Thibitisha Mungu yupo.

Acha longolongo.

Kusema Mungu si creation si uthibitusho kwamba yupo.

Thibitusha yupo.
Hakuna Mungu astahiliye kuabudiwa ila Yehova pekee!!!! OVA.
 
Hata analogy huna uwezo wa kuielewa.

Thibitisha Mungu yupo.

Acha longolongo.

Kusema Mungu si creation si uthibitusho kwamba yupo.

Thibitusha yupo.

Hilo nimekujibu kitambo sana. Kuwa your existence proves that there is a creator. na nikwambia everything complex has a creator tena kwa herufi kubwa! Ukaja kufurahisha baraza, ukasema sisi sio Binaadamu, nikakuletea tafsiri ya google transaltion ya neno HUMAN, sijakuona tena. Sasa kama wewe unakataa kuwa wewe sio creation yake, twambie wewe ni kiumbe wa nani? Nani Muumbaji wako basi?
 
Hilo nimekujibu kitambo sana. Kuwa your existence proves that there is a creator. na nikwambia everything complex has a creator tena kwa herufi kubwa! Ukaja kufurahisha baraza, ukasema sisi sio Binaadamu, nikakuletea tafsiri ya google transaltion ya neno HUMAN, sijakuona tena. Sasa kama wewe unakataa kuwa wewe sio creation yake, twambie wewe ni kiumbe wa nani? Nani Muumbaji wako basi?
Kama all that is comolex has a creator, God is comolex too.

Therefore God has a creator.

But if he has a creator, he is no God.

Your own principle proves God cannot exist!
 
Kama all that is comolex has a creator, God is comolex too.

Therefore God has a creator.

But if he has a creator, he is no God.

Your own principle proves God cannot exist!

Hahahaha.... Unapofeli wewe sasa GOD is not a THING..... while Everything has a creator God doesnt have a creator because he is not a thing. Huwezi kumfananisha na pembe tatu, huwezi ku disapprove him kwa kutumia your limited mind which mpaka sasa, unashindwa to enlighten us, how the universe came from Nothing to something. Na kwanini hadi sasa, binaadamu hawezi kuibuka from nowhere wakati kuna kila element of life on earth, badala yake eti tunazaliana?
 
Hahahaha.... Unapofeli wewe sasa GOD is not a THING..... while Everything has a creator God doesnt have a creator because he is not a thing. Huwezi kumfananisha na pembe tatu, huwezi ku disapprove him kwa kutumia your limited mind which mpaka sasa, unashindwa to enlighten us, how the universe came from Nothing to something. Na kwanini hadi sasa, binaadamu hawezi kuibuka from nowhere wakati kuna kila element of life on earth, badala yake eti tunazaliana?
Hujathibitisha huyo Mungu yupo.

Umejitungia hadithi tu.

Thibitisha yupo.
 
Hujathibitisha huyo Mungu yupo.

Umejitungia hadithi tu.

Thibitisha yupo.
😀😀😀 huna hoja.... nshakujibu tayari. ila wewe hadi leo hujaprove binaadam amekuja mwenyewe na hakuwa created.

Umebakisha uj.inga tu kichwani
 
😀😀😀 huna hoja.... nshakujibu tayari. ila wewe hadi leo hujaprove binaadam amekuja mwenyewe na hakuwa created.

Umebakisha uj.inga tu kichwani

Hujathibitisha Mungu yupo.

Kwa sababu hayupo.
 
Back
Top Bottom