Unaelewa kwamba sijaandikalolote kuhusu Mungu kuumba kiumbe ambacho ni mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote?
Unaelewahilo?
Unajua kusoma?
Rudia kusoma nilichoandika halafu niambie wapi nimeandika hilo.
Je unaelewa kuwa ikiwa kiumbe kina uwezo wa kutambua kila kitu tutasema kuwa Mjuzi wa yote? Unatambua kuwa ikiwa Kiumbe hicho kina uwezo wa kila kitu bila limits tutasema Mwenye Uwezo wote? Ikiwa kiumbe hicho kina uwezo wa kupenda kupitiliza baada ya kila adha anayopata tutasema kuwa ana upendo wote?
Je sio wewe ambae unataka pasiwe na maswali na kwamba kila kitu kiumbe ajue?
Sio wewe ambae unataka Dunia ambayo ina upendo pekee bila kuwepo chuki na mengineyo?
Unaelewa kwamba kuna tofauti kubwa kati ya nilichoandika mimi "asingeruhusu viumbe wake kuwa na maswali wasiyoweza kuyajibu" na ulichoandika kwamba nimeandika mimi habari za "tena vipi aumbe kiumbe ambacho nacho ni mjuzi wa yote na mwenye uwezo wote na upendo wote kama yeye" ?
Nikuulize wewe, je unaelewa kuwa, ikiwa huyo kiumbe anaweza kujibu kila swali na kwa usahihi bila kubahatisha wala kuleta theory, huyo atakuwa mjuzi wa yote? Na Mungu na yeye amesema kuwa yeye ndio Mjuzi wa yote.
Unaelewa kwamba una mapungufu ya kiuwezokatikakusoma na kujenga hoja ya kueleweka kutokana na ulichosoma?
Unaelewa kwamba huwezi kujenga hoja, sio hivo tu, pia huwezi kutetea unachokiamini.
Unaelewa nikiandika "asingeruhusu viumbe wake kuwa na maswali wasiyoweza kuyajibu" maana yake si aumbe kiumbe mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote kama yeye?
Ikiwa kiumbe anajua kila kitu na anaweza kujibu maswali yote, je huyo sio Mjuzi wa yote?
Unaelewakwamba Mungu huyo angeweza kumfichia maswali yote ambayo mtu hatakuwa na majibu yake, na kumpa majibu ya maswali yote atakayoweza kujiuliza , na katika ulimwengu huo, huyo kiumbe hahitaji kuw amjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote, anahitaji kuwa na majibu yote ya maswalianayoweza kujiuliza tu?
Akifanya ivo, si utakuja kuuliza, kwanini amfichie hayo majibu aje ampe baadae na asimpe tu hapo?
Unaona jinsi unavyokosa kusoma kwa kituo na ufahamu kunavyokufanya ufike katikahitimisho potifu?
Najishkuru sana, huwa najaribu kusoma point by point, na kujibu kila tuhuma au point ambayo nimeekewa, ila mwenzangu, hakuna mahali ambapo umejibu kitu nlichokuuliza, kikubwa kazi yako ni kuzunguka tu.
Kama unashindwa kuelewa hili jambo la mantiki ndogo tu, nitawezaje kuwa na hakika nikiandika mambo ya mantiki kubwa utaelewa?
😀 😀 😀 Ikiwa unashindwa kuelezea mtu wa mwanzo, au watu wa mwanzo wamekujaje ulimwengu, au ulimwengu umekujaje wenyewe bila Muumbaji kwa muda wa zaidi ya mwezi ukiepuka kujibu, unafikiri what can you bring on the table to scare us?
umeshundwa kutofautisha kiumbe na asiekiumbe unaweza kutwambia nini?