Katika Quran kuna aya inasema kuwa mayahudi na manasara wataingia peponi. Sasa ukiniambia kuwa ukiniletea hii aya basi nikubali kuwa myahudi au nasara itakuwa ni ujinga. kwa sababu hujui nini kimesemwa, hujui context nzima ikoje.Ikiwa kweli Allah kasema kwamba atawaziba watumioyo , machona masikio, ili wasimjue, na hawa msihangaikenao, na kisha atawahukumu kwa kutomjua, utakubalikwamba huyo Allah si Mungu ni hadithi za watu tu?
Tukubalianehilo kwanza, kabla sijaleta aya.
Nisije kuleta aya ukanibadilishia kibao hapa.
Sasa wewe lete hio aya tuianalyze.
Hivi kwa akili zako finyu, Mungu kuadhibu ndio sababu ya kuwa hayupo?
Tunasubiri hio aya tuione hapa....