Soma kwa makini: Dalili zinaonesha kuwa huenda mkataba wa bandari ukasababisha vifo vya watu

Habari zenu wana jf wenzangu.

Wakuu baada ya kufuatilia kwa kina kile kinachoendelea katika swala hili la bandari, hususani hapa JF, nimegundua kwamba kuna uwezekano mkubwa wa siku kadhaa zijazo tukashuhudia vifo mbali mbali ndani ya makundi kadhaa nitakayoyaorodhesha hapo chini.

1. Kundi la kwanza, hili ni lile kundi la "wakwepeshaji". Kundi hili lina uwezekano wa kupoteza watu wengi kwa njia ya kujiuwa kwa sumu, kujinyonga, kuanguka ghafla au kulala na kuamka mtu akiwa amekufa kutokana na presha, sonono na stress nyingi walizonazo vichwani kwao sasa hivi.

Kundi hili kazi yake kubwa pale bandarini ilikuwa ni kuongea na wafanyabiashara wa ndani na nje ya nchi, pamoja na wateja wengine waliozoea kutumia bandari yetu kupitisha mizigo yao pale kwamba watawasaidia kuchepusha mizigo yao bila kupitia sehemu husika, alafu watawalipa gharama kidogo tu ya pesa ukilinganisha na ile ambayo anaweza kulipa katika ukaguzi wa kawaida.

2. Kundi la pili ni lile lililokuwa linapitisha mizigo au biashara zao kwa bei chee bila kulipa kodi na ushuru wa bandari.

Kundi la tatu ni la vibaka na vishoka waliokuwa wanaiba vitu mbali mbali pale bandarini na kwenda kuviuza mitaani kwa bei ya kutupa ili vitoke fasta fasta.

Sababu ya vifo vyao itatokana na mambo kadhaa ambayo nayo nitayaandika hapo chini.

1. Kwanza, kuna baadhi ya watu wameshachukua mamilioni ya mikopo kutoka bank na kwa watu binafsi, wengine wanajenga mijengo ya maana huko kwenye miji ya matajiri, wengine wamekopa magari ya kifahari nk wakitegemea kutumia njia zile zile walizo zizowea kupiga hela kiulaini na kulipa madeni yao, kumalizia mijengo yao nk.

Sasa hawa jamaa wa Dubai wakishaingia kazini, inamaana zile hela za dezo walizokuwa wanazipata hawataweza tena kuzipata, hivyo uwezekano wa kunyang'anywa nyumba na bank kwa kushindwa kumaliza deni ni mkubwa, na wale ambao hawana madeni watashindwa kumalizia mijengo yao nk.

2. Pili, kuna watu walipoona hili swala linaanza, na uwezekano wa wao kuendelea kufanya upumbavu wao pale banda hautakuwepo, wakajikusanya na kufanya michango kwa kila mmoja wao kutoa kiasi kadhaa cha pesa ili watafutwe watu wenye ushawishi wapewe chao waanze kuingia kazini kuwatetea wapiga ma deal hao kwa kisingizio cha uzalendo wa bandari. Na kweli tumeona jinsi watu wenye ushawishi na mambo ya siasa, dini nk wakiingia kazini kukamilisha mission.

Watu hao baada ya kumaliza kuwapa deal watu wenye ushawishi niliowataja hapo juu, wakarudi katika mitandao ya kijamii na kukamata baadhi ya wenzetu huku wakihakikisha wale wajanja ambao wana falsafa ya "mkono mtupu haulambwi" familia zao zinaenda msalani kupitia mifuko ya wanaopiganiwa wabaki na bandari, japo kuna wengine wanatumika kwa bure kutokana na akili zao kuwa ndani ya mifuko ya suruali za kina Lisu, Shivji nk.

Kuna jamaa yangu fulan ambae ni mwana JF mkongwe hapa ndani, juzi aliniambia kwamba kama na mimi nataka kuwa natumiwa vocha za bure kupitia PM, basi nibadili upepo na mimi nianze kuponda mkataba kama anavyofanya yeye.

Anasema wale jamaa wa ma deal wakipita na kuona nina thread mbili tatu za kupinga mkataba, basi wataanza na mimi kunitumia vocha ya elfu 5 hadi 10 kulingana na uzito wa thread na muitiko wake katika jamii. Huyo mwana amenitumia meseji mbili za screenshot zinazoonesha vocha mbili tofauti alizotumiwa na wazee wa bandari, ambapo moja ilikuwa ya elf 10 na nyingine ya juzi elf 15. Ila mimi nilikataa katakata kuuza utu wangu na kuyumbisha msimamo wangu sababu ya tamaa yangu.

Kwahiyo kitachowauwa hawa jamaa ni kwasababu wameshatumia mamilioni ya shilingi kutengeneza ushawishi wa kuunga unga, lkn raisi wa nchi haonekani kujali, kusikia wala kuelewa porojo zao.

Ndio kwanza anaendelea na ziara zake mbali mbali za ndani na nje ya nchi.
Ukitulia zaidi na ukaona jinsi kundi la KIKWETE JAKAYA na wafanyabiashara wakubwa waliovaa mashati yale ya CCM na hawalipi kodi bandarini,wakati mwingine unaona ni atadhali Bandari ibinafsishwe tu ili wanaCCM Conkodi wakwepa kodi pale bandari nao waone umuhimu wa kulipa kodi kwa maendeleo ya Taifa.Lzm tuseme kwamba UFISADI,na RUSHWA ya CCM ndio unahujumu sana Bandari ile.
 
Wabinafsishe tuu mbona tulisha zoea toka enzi za Mkapa mm sioni mafanikio yoyote ya hii kampuni iliyopo kwani Paul alisha mwambiaga JK ampe bandari tuu aone kama hajabadilisha nchi, maana yake nikweli kuna urasim mkubwa sana unao endelea bandarini. Wawape hao DP tuu mbona Swissport wako zaidi ya miaka 33 na wanafanya vizuri tuu. Basi watupe hela wote tule ndio na sisi tukishashiba tutawasapport
Wazee wa bandari wana wasi wasi na ugali wao mkuu. Wameshazoea pesa za bure bandarini.
 
Uchambuzi wako umeegemea upande mmoja je hawa wanaopinga mkataba maisha yao yapoje tumemsikia rais mstaafu wa TLS akisema anatishiwa uhai wake
Geresha tu ile ili wazee wa bandari wamuongezee dau. Mkuu unakuwa kama sio wa mjini. Waswahili wanasema wajinga ndio waliwao.
 
Andiko liko bias na linaonyesha unakubaliana na huo mkataba, eti mtu ajiue kisa alikopa Hela wapi akajenge nyumba?Unafichaficha nini si unyooshe maelezo tu.

Sema tu makundi ya watakaopoteza maisha kisa sakata la Bandari ni Hawa.

1.Wabunge waliohongwa walipokua Dubai.(huko mbele I Kuna kila dalili za visasi)
2.Wanaharakati na wanasiasa wanaopinga mkataba.
3.Makundi hasimu ya waliojimilikisha hatma ya nchi ya nchi hii kuanzia Msoga gang, sukuma Gang na wengine ambao Wana maslahi na bandari.

Acha kuuma maneno wewe mtoa mada
Mkuu naona nimeshaweka wazi kwamba wanaoapinga mkataba wanahongwa vocha, basi na wewe umeamua kuwa upande wa wapingaji ili wakufuate PM.

Ongeza juhudi mkuu ili wazee wa bandari wakuone, sio waishie kuwafaidisha kina Lisu tu peke yao afu chawa muishie kupinga tu bila faida.
 
Habari zenu wana jf wenzangu.

Wakuu baada ya kufuatilia kwa kina kile kinachoendelea katika swala hili la bandari, hususani hapa JF, nimegundua kwamba kuna uwezekano mkubwa wa siku kadhaa zijazo tukashuhudia vifo mbali mbali ndani ya makundi kadhaa nitakayoyaorodhesha hapo chini.

1. Kundi la kwanza, hili ni lile kundi la "wakwepeshaji". Kundi hili lina uwezekano wa kupoteza watu wengi kwa njia ya kujiuwa kwa sumu, kujinyonga, kuanguka ghafla au kulala na kuamka mtu akiwa amekufa kutokana na presha, sonono na stress nyingi walizonazo vichwani kwao sasa hivi.

Kundi hili kazi yake kubwa pale bandarini ilikuwa ni kuongea na wafanyabiashara wa ndani na nje ya nchi, pamoja na wateja wengine waliozoea kutumia bandari yetu kupitisha mizigo yao pale kwamba watawasaidia kuchepusha mizigo yao bila kupitia sehemu husika, alafu watawalipa gharama kidogo tu ya pesa ukilinganisha na ile ambayo anaweza kulipa katika ukaguzi wa kawaida.

2. Kundi la pili ni lile lililokuwa linapitisha mizigo au biashara zao kwa bei chee bila kulipa kodi na ushuru wa bandari.

Kundi la tatu ni la vibaka na vishoka waliokuwa wanaiba vitu mbali mbali pale bandarini na kwenda kuviuza mitaani kwa bei ya kutupa ili vitoke fasta fasta.

Sababu ya vifo vyao itatokana na mambo kadhaa ambayo nayo nitayaandika hapo chini.

1. Kwanza, kuna baadhi ya watu wameshachukua mamilioni ya mikopo kutoka bank na kwa watu binafsi, wengine wanajenga mijengo ya maana huko kwenye miji ya matajiri, wengine wamekopa magari ya kifahari nk wakitegemea kutumia njia zile zile walizo zizowea kupiga hela kiulaini na kulipa madeni yao, kumalizia mijengo yao nk.

Sasa hawa jamaa wa Dubai wakishaingia kazini, inamaana zile hela za dezo walizokuwa wanazipata hawataweza tena kuzipata, hivyo uwezekano wa kunyang'anywa nyumba na bank kwa kushindwa kumaliza deni ni mkubwa, na wale ambao hawana madeni watashindwa kumalizia mijengo yao nk.

2. Pili, kuna watu walipoona hili swala linaanza, na uwezekano wa wao kuendelea kufanya upumbavu wao pale banda hautakuwepo, wakajikusanya na kufanya michango kwa kila mmoja wao kutoa kiasi kadhaa cha pesa ili watafutwe watu wenye ushawishi wapewe chao waanze kuingia kazini kuwatetea wapiga ma deal hao kwa kisingizio cha uzalendo wa bandari. Na kweli tumeona jinsi watu wenye ushawishi na mambo ya siasa, dini nk wakiingia kazini kukamilisha mission.

Watu hao baada ya kumaliza kuwapa deal watu wenye ushawishi niliowataja hapo juu, wakarudi katika mitandao ya kijamii na kukamata baadhi ya wenzetu huku wakihakikisha wale wajanja ambao wana falsafa ya "mkono mtupu haulambwi" familia zao zinaenda msalani kupitia mifuko ya wanaopiganiwa wabaki na bandari, japo kuna wengine wanatumika kwa bure kutokana na akili zao kuwa ndani ya mifuko ya suruali za kina Lisu, Shivji nk.

Kuna jamaa yangu fulan ambae ni mwana JF mkongwe hapa ndani, juzi aliniambia kwamba kama na mimi nataka kuwa natumiwa vocha za bure kupitia PM, basi nibadili upepo na mimi nianze kuponda mkataba kama anavyofanya yeye.

Anasema wale jamaa wa ma deal wakipita na kuona nina thread mbili tatu za kupinga mkataba, basi wataanza na mimi kunitumia vocha ya elfu 5 hadi 10 kulingana na uzito wa thread na muitiko wake katika jamii. Huyo mwana amenitumia meseji mbili za screenshot zinazoonesha vocha mbili tofauti alizotumiwa na wazee wa bandari, ambapo moja ilikuwa ya elf 10 na nyingine ya juzi elf 15. Ila mimi nilikataa katakata kuuza utu wangu na kuyumbisha msimamo wangu sababu ya tamaa yangu.

Kwahiyo kitachowauwa hawa jamaa ni kwasababu wameshatumia mamilioni ya shilingi kutengeneza ushawishi wa kuunga unga, lkn raisi wa nchi haonekani kujali, kusikia wala kuelewa porojo zao.

Ndio kwanza anaendelea na ziara zake mbali mbali za ndani na nje ya nchi.
Jikite kwenye terms za mkataba acha porojo
 
Mkuu naona nimeshaweka wazi kwamba wanaoapinga mkataba wanahongwa vocha, basi na wewe umeamua kuwa upande wa wapingaji ili wakufuate PM.

Ongeza juhudi mkuu ili wazee wa bandari wakuone, sio waishie kuwafaidisha kina Lisu tu peke yao afu chawa muishie kupinga tu bila faida.
We km unapewa hela kutetea ni wewe km wangekua na Hela kiasi cha kugawa vocha kwa kila mtu bila shaka hiyo mikopo unayodai walikopa kisa Wana uhakika wa kupiga pesa bandarini, bila shaka wangekua wanazitumia kulipa hayo madeni na sio kugawia watu.
 
Acheni kuhalalisha baadhi ya "grand assassin's" mlizozipanga .

Jibuni hoja kwa hoja. Acheni kupanga mauaji.
Mkuu kwa comment ya kichovu hivi usitegemee kutumiwa bando hata la mia 5, mana bado haujakidhi vigezo. Ongeza juhudi tu za kuponda, utakuta vocha yako tayari huko PM.
 
We km unapewa hela kutetea ni wewe km wangekua na Hela kiasi cha kugawa vocha kwa kila mtu bila shaka hiyo mikopo unayodai walikopa kisa Wana uhakika wa kupiga pesa bandarini, bila shaka wangekua wanazitumia kulipa hayo madeni na sio kugawia watu.
Wanajua wakifanikiwa kuzuia watarudisha hizi gharama kwa muda mchache.
Ongeza juhudi mkuu uwaokoe wazee wa bandari na wao watakuokoa kwenye swala la vocha.
 
Wazee wa bandari wana wasi wasi na ugali wao mkuu. Wameshazoea pesa za bure bandarini.
Manake wameshindwa kujiongeza we mtu unakula na kipofu unamshika mpaka mkono? Lakini kusema ukweli mm sijui niamini la yupi maana unataka kusema hata Pro. Shivji naye amesha lambishwa asali au yeye hakubaliani na mkataba ila ubinafsishwaji anaukubali? But all in all mm nasupport DP kwa asilimia 💯
 
Habari zenu wana jf wenzangu.

Wakuu baada ya kufuatilia kwa kina kile kinachoendelea katika swala hili la bandari, hususani hapa JF, nimegundua kwamba kuna uwezekano mkubwa wa siku kadhaa zijazo tukashuhudia vifo mbali mbali ndani ya makundi kadhaa nitakayoyaorodhesha hapo chini.

1. Kundi la kwanza, hili ni lile kundi la "wakwepeshaji". Kundi hili lina uwezekano wa kupoteza watu wengi kwa njia ya kujiuwa kwa sumu, kujinyonga, kuanguka ghafla au kulala na kuamka mtu akiwa amekufa kutokana na presha, sonono na stress nyingi walizonazo vichwani kwao sasa hivi.

Kundi hili kazi yake kubwa pale bandarini ilikuwa ni kuongea na wafanyabiashara wa ndani na nje ya nchi, pamoja na wateja wengine waliozoea kutumia bandari yetu kupitisha mizigo yao pale kwamba watawasaidia kuchepusha mizigo yao bila kupitia sehemu husika, alafu watawalipa gharama kidogo tu ya pesa ukilinganisha na ile ambayo anaweza kulipa katika ukaguzi wa kawaida.

2. Kundi la pili ni lile lililokuwa linapitisha mizigo au biashara zao kwa bei chee bila kulipa kodi na ushuru wa bandari.

Kundi la tatu ni la vibaka na vishoka waliokuwa wanaiba vitu mbali mbali pale bandarini na kwenda kuviuza mitaani kwa bei ya kutupa ili vitoke fasta fasta.

Sababu ya vifo vyao itatokana na mambo kadhaa ambayo nayo nitayaandika hapo chini.

1. Kwanza, kuna baadhi ya watu wameshachukua mamilioni ya mikopo kutoka bank na kwa watu binafsi, wengine wanajenga mijengo ya maana huko kwenye miji ya matajiri, wengine wamekopa magari ya kifahari nk wakitegemea kutumia njia zile zile walizo zizowea kupiga hela kiulaini na kulipa madeni yao, kumalizia mijengo yao nk.

Sasa hawa jamaa wa Dubai wakishaingia kazini, inamaana zile hela za dezo walizokuwa wanazipata hawataweza tena kuzipata, hivyo uwezekano wa kunyang'anywa nyumba na bank kwa kushindwa kumaliza deni ni mkubwa, na wale ambao hawana madeni watashindwa kumalizia mijengo yao nk.

2. Pili, kuna watu walipoona hili swala linaanza, na uwezekano wa wao kuendelea kufanya upumbavu wao pale banda hautakuwepo, wakajikusanya na kufanya michango kwa kila mmoja wao kutoa kiasi kadhaa cha pesa ili watafutwe watu wenye ushawishi wapewe chao waanze kuingia kazini kuwatetea wapiga ma deal hao kwa kisingizio cha uzalendo wa bandari. Na kweli tumeona jinsi watu wenye ushawishi na mambo ya siasa, dini nk wakiingia kazini kukamilisha mission.

Watu hao baada ya kumaliza kuwapa deal watu wenye ushawishi niliowataja hapo juu, wakarudi katika mitandao ya kijamii na kukamata baadhi ya wenzetu huku wakihakikisha wale wajanja ambao wana falsafa ya "mkono mtupu haulambwi" familia zao zinaenda msalani kupitia mifuko ya wanaopiganiwa wabaki na bandari, japo kuna wengine wanatumika kwa bure kutokana na akili zao kuwa ndani ya mifuko ya suruali za kina Lisu, Shivji nk.

Kuna jamaa yangu fulan ambae ni mwana JF mkongwe hapa ndani, juzi aliniambia kwamba kama na mimi nataka kuwa natumiwa vocha za bure kupitia PM, basi nibadili upepo na mimi nianze kuponda mkataba kama anavyofanya yeye.

Anasema wale jamaa wa ma deal wakipita na kuona nina thread mbili tatu za kupinga mkataba, basi wataanza na mimi kunitumia vocha ya elfu 5 hadi 10 kulingana na uzito wa thread na muitiko wake katika jamii. Huyo mwana amenitumia meseji mbili za screenshot zinazoonesha vocha mbili tofauti alizotumiwa na wazee wa bandari, ambapo moja ilikuwa ya elf 10 na nyingine ya juzi elf 15. Ila mimi nilikataa katakata kuuza utu wangu na kuyumbisha msimamo wangu sababu ya tamaa yangu.

Kwahiyo kitachowauwa hawa jamaa ni kwasababu wameshatumia mamilioni ya shilingi kutengeneza ushawishi wa kuunga unga, lkn raisi wa nchi haonekani kujali, kusikia wala kuelewa porojo zao.

Ndio kwanza anaendelea na ziara zake mbali mbali za ndani na nje ya nchi.
Mungu hataruhusu kwa watu wema, ila wahovu hata kama sio kesho watakufa mdomo wazi
 
Ukitulia zaidi na ukaona jinsi kundi la KIKWETE JAKAYA na wafanyabiashara wakubwa waliovaa mashati yale ya CCM na hawalipi kodi bandarini,wakati mwingine unaona ni atadhali Bandari ibinafsishwe tu ili wanaCCM Conkodi wakwepa kodi pale bandari nao waone umuhimu wa kulipa kodi kwa maendeleo ya Taifa.Lzm tuseme kwamba UFISADI,na RUSHWA ya CCM ndio unahujumu sana Bandari ile.
Ingawa unasema wasiolipa kodi ni CCM wa Kikwete, lkn wanaoonekana kuumia zaidi na ubafsishwaji ni wapinzani.

So za kuambiwa Changanya na zako.
 
Habari zenu wana jf wenzangu.

Wakuu baada ya kufuatilia kwa kina kile kinachoendelea katika swala hili la bandari, hususani hapa JF, nimegundua kwamba kuna uwezekano mkubwa wa siku kadhaa zijazo tukashuhudia vifo mbali mbali ndani ya makundi kadhaa nitakayoyaorodhesha hapo chini.

1. Kundi la kwanza, hili ni lile kundi la "wakwepeshaji". Kundi hili lina uwezekano wa kupoteza watu wengi kwa njia ya kujiuwa kwa sumu, kujinyonga, kuanguka ghafla au kulala na kuamka mtu akiwa amekufa kutokana na presha, sonono na stress nyingi walizonazo vichwani kwao sasa hivi.

Kundi hili kazi yake kubwa pale bandarini ilikuwa ni kuongea na wafanyabiashara wa ndani na nje ya nchi, pamoja na wateja wengine waliozoea kutumia bandari yetu kupitisha mizigo yao pale kwamba watawasaidia kuchepusha mizigo yao bila kupitia sehemu husika, alafu watawalipa gharama kidogo tu ya pesa ukilinganisha na ile ambayo anaweza kulipa katika ukaguzi wa kawaida.

2. Kundi la pili ni lile lililokuwa linapitisha mizigo au biashara zao kwa bei chee bila kulipa kodi na ushuru wa bandari.

Kundi la tatu ni la vibaka na vishoka waliokuwa wanaiba vitu mbali mbali pale bandarini na kwenda kuviuza mitaani kwa bei ya kutupa ili vitoke fasta fasta.

Sababu ya vifo vyao itatokana na mambo kadhaa ambayo nayo nitayaandika hapo chini.

1. Kwanza, kuna baadhi ya watu wameshachukua mamilioni ya mikopo kutoka bank na kwa watu binafsi, wengine wanajenga mijengo ya maana huko kwenye miji ya matajiri, wengine wamekopa magari ya kifahari nk wakitegemea kutumia njia zile zile walizo zizowea kupiga hela kiulaini na kulipa madeni yao, kumalizia mijengo yao nk.

Sasa hawa jamaa wa Dubai wakishaingia kazini, inamaana zile hela za dezo walizokuwa wanazipata hawataweza tena kuzipata, hivyo uwezekano wa kunyang'anywa nyumba na bank kwa kushindwa kumaliza deni ni mkubwa, na wale ambao hawana madeni watashindwa kumalizia mijengo yao nk.

2. Pili, kuna watu walipoona hili swala linaanza, na uwezekano wa wao kuendelea kufanya upumbavu wao pale banda hautakuwepo, wakajikusanya na kufanya michango kwa kila mmoja wao kutoa kiasi kadhaa cha pesa ili watafutwe watu wenye ushawishi wapewe chao waanze kuingia kazini kuwatetea wapiga ma deal hao kwa kisingizio cha uzalendo wa bandari. Na kweli tumeona jinsi watu wenye ushawishi na mambo ya siasa, dini nk wakiingia kazini kukamilisha mission.

Watu hao baada ya kumaliza kuwapa deal watu wenye ushawishi niliowataja hapo juu, wakarudi katika mitandao ya kijamii na kukamata baadhi ya wenzetu huku wakihakikisha wale wajanja ambao wana falsafa ya "mkono mtupu haulambwi" familia zao zinaenda msalani kupitia mifuko ya wanaopiganiwa wabaki na bandari, japo kuna wengine wanatumika kwa bure kutokana na akili zao kuwa ndani ya mifuko ya suruali za kina Lisu, Shivji nk.

Kuna jamaa yangu fulan ambae ni mwana JF mkongwe hapa ndani, juzi aliniambia kwamba kama na mimi nataka kuwa natumiwa vocha za bure kupitia PM, basi nibadili upepo na mimi nianze kuponda mkataba kama anavyofanya yeye.

Anasema wale jamaa wa ma deal wakipita na kuona nina thread mbili tatu za kupinga mkataba, basi wataanza na mimi kunitumia vocha ya elfu 5 hadi 10 kulingana na uzito wa thread na muitiko wake katika jamii. Huyo mwana amenitumia meseji mbili za screenshot zinazoonesha vocha mbili tofauti alizotumiwa na wazee wa bandari, ambapo moja ilikuwa ya elf 10 na nyingine ya juzi elf 15. Ila mimi nilikataa katakata kuuza utu wangu na kuyumbisha msimamo wangu sababu ya tamaa yangu.

Kwahiyo kitachowauwa hawa jamaa ni kwasababu wameshatumia mamilioni ya shilingi kutengeneza ushawishi wa kuunga unga, lkn raisi wa nchi haonekani kujali, kusikia wala kuelewa porojo zao.

Ndio kwanza anaendelea na ziara zake mbali mbali za ndani na nje ya nchi.
Pumbavu
 
Mkuu kwa comment ya kichovu hivi usitegemee kutumiwa bando hata la mia 5, mana bado haujakidhi vigezo. Ongeza juhudi tu za kuponda, utakuta vocha yako tayari huko PM.
Sijaponda wala kupinda.
Jibuni hoja kwa hoja.

Planting soft assassin's will is just a bouyant technique.

That's easier any IT can do it
 
Manake wameshindwa kujiongeza we mtu unakula na kipofu unamshika mpaka mkono? Lakini kusema ukweli mm sijui niamini la yupi maana unataka kusema hata Pro. Shivji naye amesha lambishwa asali au yeye hakubaliani na mkataba ila ubinafsishwaji anaukubali? But all in all mm nasupport DP kwa asilimia 💯
Shivji hupingana na kila kiongozi. Haijalishi swala liwe na faida au hasara kwa taifa yeye atapinga tu.

Pamoja sana mkuu.
 
Mungu hataruhusu kwa watu wema, ila wahovu hata kama sio kesho watakufa mdomo wazi
Wenzio hawamjui Mungu ndio maana kwa zaidi ya miaka 50, wao wanatafuna na kufanya anasa kupitia mabilioni ya bandari yetu. Huku mamilioni ya watanzania wanaoambiwa kuwa nchi yetu ina bandari wakishindia uji tu.
 
Back
Top Bottom