Soma kwa makini: Dalili zinaonesha kuwa huenda mkataba wa bandari ukasababisha vifo vya watu

Emeritus Prof.Shivji,Warioba,kadinali Pengo,Padre Kitime wapo group gani hapo?
Pesa haina ndugu wala rafiki, haina tajiri wala masikini, haina kiongozi wa dini wala muumini, haina mkubwa wala mdogo, mzee wala kijana.

Nafikiri sio mara ya kwanza kusikia watu wameuwana kwa sababu ya pesa, tena wengine baba mmoja mama mmoja. Pesa unaweza kuuwa mtu afu ukaiba pesa zake na kwenda kutoa sadaka kanisani au msikitini na viongozi wataichukua.

Kwahiyo hata na wao wakitupiwa bahasha na wazee wa bandari ni vigumu kuikataa, asikudanganye mtu.
 
Bandari yenu au bandari ya wazee wa bandari 😂😂

Maana imekuwa kama Congo watu wanafundishwa shuleni kuwa nchi yao ina utajiri wa almasi, lkn 95% ya hao wakongo hawajui hata almasi yenyewe inafananaje na ina faida gani kwao na nchi. Ni 5% tu ndo wanaijua almasi na wanafaidika nayo, huku hiyo 95% wamekalia kufundishwa tu shuleni 🤣🤣
Mm na familia yangu pamoja na ukoo wangu tunataka bandari yetu tu.
 
Serikali ya ajabu sana hii. Kama watu hawataki mkataba si wauvunje kwann wanatumia nguvu kubwa kuwalazimisha watu.
Jisemee wewe na wanaokutumia Usitusemee sisi wajanja na wenye akili tuliokataa kutumiwa.
 
bandari itapewa mwekezaji mtake msitake mlie msilie mlete udini au msilete mbwai na iwe mbwai muwekezaji atakuja tu, pigeni kelele kwa miaka mnayotaka muhimu sasa makufuli hatukanwi na chadema wamemsahau nyumbu wameelekea bandarini wooote kama vile wanavuka masai mara kuelekea kenya
 
Habari zenu wana jf wenzangu.

Wakuu baada ya kufuatilia kwa kina kile kinachoendelea katika swala hili la bandari, hususani hapa JF, nimegundua kwamba kuna uwezekano mkubwa wa siku kadhaa zijazo tukashuhudia vifo mbali mbali ndani ya makundi kadhaa nitakayoyaorodhesha hapo chini.

1. Kundi la kwanza, hili ni lile kundi la "wakwepeshaji". Kundi hili lina uwezekano wa kupoteza watu wengi kwa njia ya kujiuwa kwa sumu, kujinyonga, kuanguka ghafla au kulala na kuamka mtu akiwa amekufa kutokana na presha, sonono na stress nyingi walizonazo vichwani kwao sasa hivi.

Kundi hili kazi yake kubwa pale bandarini ilikuwa ni kuongea na wafanyabiashara wa ndani na nje ya nchi, pamoja na wateja wengine waliozoea kutumia bandari yetu kupitisha mizigo yao pale kwamba watawasaidia kuchepusha mizigo yao bila kupitia sehemu husika, alafu watawalipa gharama kidogo tu ya pesa ukilinganisha na ile ambayo anaweza kulipa katika ukaguzi wa kawaida.

2. Kundi la pili ni lile lililokuwa linapitisha mizigo au biashara zao kwa bei chee bila kulipa kodi na ushuru wa bandari.

Kundi la tatu ni la vibaka na vishoka waliokuwa wanaiba vitu mbali mbali pale bandarini na kwenda kuviuza mitaani kwa bei ya kutupa ili vitoke fasta fasta.

Sababu ya vifo vyao itatokana na mambo kadhaa ambayo nayo nitayaandika hapo chini.

1. Kwanza, kuna baadhi ya watu wameshachukua mamilioni ya mikopo kutoka bank na kwa watu binafsi, wengine wanajenga mijengo ya maana huko kwenye miji ya matajiri, wengine wamekopa magari ya kifahari nk wakitegemea kutumia njia zile zile walizo zizowea kupiga hela kiulaini na kulipa madeni yao, kumalizia mijengo yao nk.

Sasa hawa jamaa wa Dubai wakishaingia kazini, inamaana zile hela za dezo walizokuwa wanazipata hawataweza tena kuzipata, hivyo uwezekano wa kunyang'anywa nyumba na bank kwa kushindwa kumaliza deni ni mkubwa, na wale ambao hawana madeni watashindwa kumalizia mijengo yao nk.

2. Pili, kuna watu walipoona hili swala linaanza, na uwezekano wa wao kuendelea kufanya upumbavu wao pale banda hautakuwepo, wakajikusanya na kufanya michango kwa kila mmoja wao kutoa kiasi kadhaa cha pesa ili watafutwe watu wenye ushawishi wapewe chao waanze kuingia kazini kuwatetea wapiga ma deal hao kwa kisingizio cha uzalendo wa bandari. Na kweli tumeona jinsi watu wenye ushawishi na mambo ya siasa, dini nk wakiingia kazini kukamilisha mission.

Watu hao baada ya kumaliza kuwapa deal watu wenye ushawishi niliowataja hapo juu, wakarudi katika mitandao ya kijamii na kukamata baadhi ya wenzetu huku wakihakikisha wale wajanja ambao wana falsafa ya "mkono mtupu haulambwi" familia zao zinaenda msalani kupitia mifuko ya wanaopiganiwa wabaki na bandari, japo kuna wengine wanatumika kwa bure kutokana na akili zao kuwa ndani ya mifuko ya suruali za kina Lisu, Shivji nk.

Kuna jamaa yangu fulan ambae ni mwana JF mkongwe hapa ndani, juzi aliniambia kwamba kama na mimi nataka kuwa natumiwa vocha za bure kupitia PM, basi nibadili upepo na mimi nianze kuponda mkataba kama anavyofanya yeye.

Anasema wale jamaa wa ma deal wakipita na kuona nina thread mbili tatu za kupinga mkataba, basi wataanza na mimi kunitumia vocha ya elfu 5 hadi 10 kulingana na uzito wa thread na muitiko wake katika jamii. Huyo mwana amenitumia meseji mbili za screenshot zinazoonesha vocha mbili tofauti alizotumiwa na wazee wa bandari, ambapo moja ilikuwa ya elf 10 na nyingine ya juzi elf 15. Ila mimi nilikataa katakata kuuza utu wangu na kuyumbisha msimamo wangu sababu ya tamaa yangu.

Kwahiyo kitachowauwa hawa jamaa ni kwasababu wameshatumia mamilioni ya shilingi kutengeneza ushawishi wa kuunga unga, lkn raisi wa nchi haonekani kujali, kusikia wala kuelewa porojo zao.

Ndio kwanza anaendelea na ziara zake mbali mbali za ndani na nje ya nchi.
Huu ndio ukweli wenyewe watu wamelamba pesa kutetea mafisadi uendeshaji wa bandari usibinafsishwe ila wameshashindwa.
 
Habari zenu wana jf wenzangu.

Wakuu baada ya kufuatilia kwa kina kile kinachoendelea katika swala hili la bandari, hususani hapa JF, nimegundua kwamba kuna uwezekano mkubwa wa siku kadhaa zijazo tukashuhudia vifo mbali mbali ndani ya makundi kadhaa nitakayoyaorodhesha hapo chini.

1. Kundi la kwanza, hili ni lile kundi la "wakwepeshaji". Kundi hili lina uwezekano wa kupoteza watu wengi kwa njia ya kujiuwa kwa sumu, kujinyonga, kuanguka ghafla au kulala na kuamka mtu akiwa amekufa kutokana na presha, sonono na stress nyingi walizonazo vichwani kwao sasa hivi.

Kundi hili kazi yake kubwa pale bandarini ilikuwa ni kuongea na wafanyabiashara wa ndani na nje ya nchi, pamoja na wateja wengine waliozoea kutumia bandari yetu kupitisha mizigo yao pale kwamba watawasaidia kuchepusha mizigo yao bila kupitia sehemu husika, alafu watawalipa gharama kidogo tu ya pesa ukilinganisha na ile ambayo anaweza kulipa katika ukaguzi wa kawaida.

2. Kundi la pili ni lile lililokuwa linapitisha mizigo au biashara zao kwa bei chee bila kulipa kodi na ushuru wa bandari.

Kundi la tatu ni la vibaka na vishoka waliokuwa wanaiba vitu mbali mbali pale bandarini na kwenda kuviuza mitaani kwa bei ya kutupa ili vitoke fasta fasta.

Sababu ya vifo vyao itatokana na mambo kadhaa ambayo nayo nitayaandika hapo chini.

1. Kwanza, kuna baadhi ya watu wameshachukua mamilioni ya mikopo kutoka bank na kwa watu binafsi, wengine wanajenga mijengo ya maana huko kwenye miji ya matajiri, wengine wamekopa magari ya kifahari nk wakitegemea kutumia njia zile zile walizo zizowea kupiga hela kiulaini na kulipa madeni yao, kumalizia mijengo yao nk.

Sasa hawa jamaa wa Dubai wakishaingia kazini, inamaana zile hela za dezo walizokuwa wanazipata hawataweza tena kuzipata, hivyo uwezekano wa kunyang'anywa nyumba na bank kwa kushindwa kumaliza deni ni mkubwa, na wale ambao hawana madeni watashindwa kumalizia mijengo yao nk.

2. Pili, kuna watu walipoona hili swala linaanza, na uwezekano wa wao kuendelea kufanya upumbavu wao pale banda hautakuwepo, wakajikusanya na kufanya michango kwa kila mmoja wao kutoa kiasi kadhaa cha pesa ili watafutwe watu wenye ushawishi wapewe chao waanze kuingia kazini kuwatetea wapiga ma deal hao kwa kisingizio cha uzalendo wa bandari. Na kweli tumeona jinsi watu wenye ushawishi na mambo ya siasa, dini nk wakiingia kazini kukamilisha mission.

Watu hao baada ya kumaliza kuwapa deal watu wenye ushawishi niliowataja hapo juu, wakarudi katika mitandao ya kijamii na kukamata baadhi ya wenzetu huku wakihakikisha wale wajanja ambao wana falsafa ya "mkono mtupu haulambwi" familia zao zinaenda msalani kupitia mifuko ya wanaopiganiwa wabaki na bandari, japo kuna wengine wanatumika kwa bure kutokana na akili zao kuwa ndani ya mifuko ya suruali za kina Lisu, Shivji nk.

Kuna jamaa yangu fulan ambae ni mwana JF mkongwe hapa ndani, juzi aliniambia kwamba kama na mimi nataka kuwa natumiwa vocha za bure kupitia PM, basi nibadili upepo na mimi nianze kuponda mkataba kama anavyofanya yeye.

Anasema wale jamaa wa ma deal wakipita na kuona nina thread mbili tatu za kupinga mkataba, basi wataanza na mimi kunitumia vocha ya elfu 5 hadi 10 kulingana na uzito wa thread na muitiko wake katika jamii. Huyo mwana amenitumia meseji mbili za screenshot zinazoonesha vocha mbili tofauti alizotumiwa na wazee wa bandari, ambapo moja ilikuwa ya elf 10 na nyingine ya juzi elf 15. Ila mimi nilikataa katakata kuuza utu wangu na kuyumbisha msimamo wangu sababu ya tamaa yangu.

Kwahiyo kitachowauwa hawa jamaa ni kwasababu wameshatumia mamilioni ya shilingi kutengeneza ushawishi wa kuunga unga, lkn raisi wa nchi haonekani kujali, kusikia wala kuelewa porojo zao.

Ndio kwanza anaendelea na ziara zake mbali mbali za ndani na nje ya nchi.
Kwa lugha nyepesi CCM wameshindwa kuwadhiti wezi wa bandarini lakini kisewe kibali cha kuwaleta DPWORD kwa mikataba mibovu
 
Kwa lugha nyepesi CCM wameshindwa kuwadhiti wezi wa bandarini lakini kisewe kibali cha kuwaleta DPWORD kwa mikataba mibovu
Ni kama vile Chadema ilivyoshindwa kuzuia wezi wa ruzuku, hadi wanapokuwa na ishu ya kichama wanaamua kuchangisha wanachama.
 
Ni kama vile Chadema ilivyoshindwa kuzuia wezi wa ruzuku, hadi wanapokuwa na ishu ya kichama wanaamua kuchangisha wanachama.
Tunaishi kwenye jamii mfu ambayo haiwezi kuhoji kwa sauti inayosika na tabia ya unyumbu, ya tuliowapa dhamana (herding behavior of entrusted people), Herding behavior is an occurrence of entrusted people suspending their individual reasoning because of group objectives, (conflict of interest), or (amygdala), fear of their leaders
 
Tunaishi kwenye jamii mfu ambayo haiwezi kuhoji kwa sauti inayosika na tabia ya unyumbu, ya tuliowapa dhamana (herding behavior of entrusted people), Herding behavior is an occurrence of entrusted people suspending their individual reasoning because of group objectives, (conflict of interest), or (amygdala), fear of their leaders
Kwahiyo unashauri wanachadema waache unyumbu, waanze kujifunza kuhoji mapema zinapopelekwaga ruzuku za chama chao ili siku wakitawala nchi viongozi wao wasije wakaendeleza wizi wao serikalini?

Kama mawazo yako ni hayo basi sahau, kule watu ni kama wamerogwa tayari. Chochote kitachofanywa na kiongozi mkuu ndio hicho hicho, wew kama hutaki hama chama na utaundiwa genge la kuitwa msaliti, mnafiki nk.
 
Kwahiyo unashauri wanachadema waache unyumbu, waanze kujifunza kuhoji mapema zinapopelekwaga ruzuku za chama chao ili siku wakitawala nchi viongozi wao wasije wakaendeleza wizi wao serikalini?

Kama mawazo yako ni hayo basi sahau, kule watu ni kama wamerogwa tayari. Chochote kitachofanywa na kiongozi mkuu ndio hicho hicho, wew kama hutaki hama chama na utaundiwa genge la kuitwa msaliti, mnafiki nk.
Comments reserved
 
Habari zenu wana jf wenzangu.

Wakuu baada ya kufuatilia kwa kina kile kinachoendelea katika swala hili la bandari, hususani hapa JF, nimegundua kwamba kuna uwezekano mkubwa wa siku kadhaa zijazo tukashuhudia vifo mbali mbali ndani ya makundi kadhaa nitakayoyaorodhesha hapo chini.

1. Kundi la kwanza, hili ni lile kundi la "wakwepeshaji". Kundi hili lina uwezekano wa kupoteza watu wengi kwa njia ya kujiuwa kwa sumu, kujinyonga, kuanguka ghafla au kulala na kuamka mtu akiwa amekufa kutokana na presha, sonono na stress nyingi walizonazo vichwani kwao sasa hivi.

Kundi hili kazi yake kubwa pale bandarini ilikuwa ni kuongea na wafanyabiashara wa ndani na nje ya nchi, pamoja na wateja wengine waliozoea kutumia bandari yetu kupitisha mizigo yao pale kwamba watawasaidia kuchepusha mizigo yao bila kupitia sehemu husika, alafu watawalipa gharama kidogo tu ya pesa ukilinganisha na ile ambayo anaweza kulipa katika ukaguzi wa kawaida.

2. Kundi la pili ni lile lililokuwa linapitisha mizigo au biashara zao kwa bei chee bila kulipa kodi na ushuru wa bandari.

Kundi la tatu ni la vibaka na vishoka waliokuwa wanaiba vitu mbali mbali pale bandarini na kwenda kuviuza mitaani kwa bei ya kutupa ili vitoke fasta fasta.

Sababu ya vifo vyao itatokana na mambo kadhaa ambayo nayo nitayaandika hapo chini.

1. Kwanza, kuna baadhi ya watu wameshachukua mamilioni ya mikopo kutoka bank na kwa watu binafsi, wengine wanajenga mijengo ya maana huko kwenye miji ya matajiri, wengine wamekopa magari ya kifahari nk wakitegemea kutumia njia zile zile walizo zizowea kupiga hela kiulaini na kulipa madeni yao, kumalizia mijengo yao nk.

Sasa hawa jamaa wa Dubai wakishaingia kazini, inamaana zile hela za dezo walizokuwa wanazipata hawataweza tena kuzipata, hivyo uwezekano wa kunyang'anywa nyumba na bank kwa kushindwa kumaliza deni ni mkubwa, na wale ambao hawana madeni watashindwa kumalizia mijengo yao nk.

2. Pili, kuna watu walipoona hili swala linaanza, na uwezekano wa wao kuendelea kufanya upumbavu wao pale banda hautakuwepo, wakajikusanya na kufanya michango kwa kila mmoja wao kutoa kiasi kadhaa cha pesa ili watafutwe watu wenye ushawishi wapewe chao waanze kuingia kazini kuwatetea wapiga ma deal hao kwa kisingizio cha uzalendo wa bandari. Na kweli tumeona jinsi watu wenye ushawishi na mambo ya siasa, dini nk wakiingia kazini kukamilisha mission.

Watu hao baada ya kumaliza kuwapa deal watu wenye ushawishi niliowataja hapo juu, wakarudi katika mitandao ya kijamii na kukamata baadhi ya wenzetu huku wakihakikisha wale wajanja ambao wana falsafa ya "mkono mtupu haulambwi" familia zao zinaenda msalani kupitia mifuko ya wanaopiganiwa wabaki na bandari, japo kuna wengine wanatumika kwa bure kutokana na akili zao kuwa ndani ya mifuko ya suruali za kina Lisu, Shivji nk.

Kuna jamaa yangu fulan ambae ni mwana JF mkongwe hapa ndani, juzi aliniambia kwamba kama na mimi nataka kuwa natumiwa vocha za bure kupitia PM, basi nibadili upepo na mimi nianze kuponda mkataba kama anavyofanya yeye.

Anasema wale jamaa wa ma deal wakipita na kuona nina thread mbili tatu za kupinga mkataba, basi wataanza na mimi kunitumia vocha ya elfu 5 hadi 10 kulingana na uzito wa thread na muitiko wake katika jamii. Huyo mwana amenitumia meseji mbili za screenshot zinazoonesha vocha mbili tofauti alizotumiwa na wazee wa bandari, ambapo moja ilikuwa ya elf 10 na nyingine ya juzi elf 15. Ila mimi nilikataa katakata kuuza utu wangu na kuyumbisha msimamo wangu sababu ya tamaa yangu.

Kwahiyo kitachowauwa hawa jamaa ni kwasababu wameshatumia mamilioni ya shilingi kutengeneza ushawishi wa kuunga unga, lkn raisi wa nchi haonekani kujali, kusikia wala kuelewa porojo zao.

Ndio kwanza anaendelea na ziara zake mbali mbali za ndani na nje ya nchi.
Kwahiyo mmeshajipanga kuua wakosoaji Kwa hivyo visingizio vyenu?
 
Kwahiyo mmeshajipanga kuua wakosoaji Kwa hivyo visingizio vyenu?
Umesoma vizuri uzi au umekimbilia tu comment kinyume na ujumbe wa uzi wenyewe, ili angalau na wewe upewe chochote na wazee wa bandari??

Kabla ya kutumwa unatakiwa ujue kwamba mambo ya kuuwa wapinzani hiyo sio style ya uongozi wa raisi Samia.
Hata hao waliokutuma hapa JF wanajua kama raisi Samia hana historia au utamaduni wa kuuwa wapinzani wake.

1. Historia yake kubwa ni kuruhusu uhuru wa kutoa maoni kwa kufuata sheria na mipaka ya uhuru huo.

2. Uhuru wa kufanya mikutano ya kisiasa kwa vyama vyote vya siasa bila kujali kama kuna watu wanautumia huo uhuru kwa malengo yao binafsi.

3. Kumlipa Lisu mamilioni yake aliyosema anadai na kumruhusu kurudi nyumbani salama.

So style ya uongozi wake inafahamika, japo kuna watu ambao wamekuwa wakitumia ujinga wa baadhi ya watanzania wenzetu kutengeneza propaganda zao. Wakiamini kuwa hilo kundi la wajinga lipo hapa kwa ajili ya kutetea propaganda zao wanazoanzisha kama hivi.

Hata wewe leo hii unaweza kukaa ndani kwako unaangalia tv afu ukajifanya kuandika kwamba unatafutwa na polisi au watu wasiojulikana. Baada ya muda utaanza kuona watu wanavyotiririka kuitukana serikali kwamba unatafuta hadi raia wa kawaida na wakati kiuhalisia wewe mwenyewe rohoni unajua kwamba hautafutwi na mtu yoyote.

Za kuambiwa changanya na zako by Dr Jakaya Kikwete.
 
Back
Top Bottom