Sokoine University Of Agriculture Special Thread

Sokoine University Of Agriculture Special Thread

Huyo huyo...kuna kozi yake inaitwa environmental hydraulics, so far ndio kozi niliichukia sijui kwa nn asee hahahahaa!! Nadhani kwa sasa uko mwaka wa nne, engineering design! was my favourite course!! irrigation structures ya tarimo, ethics ya baanda daaaah!! NIKUTAKIE KILA HERI KWENYE UE Engineer!!!
Bila shaka hujakosea mkuu. Shukrani sana
 
Waambie waelewa, kulikuwa na prof. Shayo Ngowi, prof. Msumari na wengineo; ananikumbusha ' If you have an A will get an A' (in the voice of shayo ngowi ' Mzee wa kutoka jasho. Hahahaha! 2009 hiyo!
Hakuna cha Agronomist wala nini na Agriculture General atasema nini,Animal Science,Aquaculture e.t.c kuna katule,chenyambuga,mtambo na wengineo.
 
Acha ushamba wa kutambiana course cha msingi ni mshaara,pesa ndiio kila kitu niwe sijasoma we umesoma ila kama nakuzidi mshaara uniambii chochote,namaliza hvyo wakuu
Mkuu wewe ndiye ulieleta vijembe vya kutajiana ufaulu. Sasa nini kinachokufanya ufule!? Ulibeep mie nikapiga.
 
nizungumzie issue ya mifugo. Hapa nchini kuna taitizo la education arrogant kati ya animal science na veterinary. Hili ni jambo linaloturudsha nyuma sana kama Taifa na nina shindwa kuelewa ni kwanini wazee waliopo ndani ya taaluma hizi wameshindwa kuliweka sawa? Ni ukweli mtakatifu ila wengi si animal scientists wala madaktari wa mifugo watalikiri hili. Mfano duniani kote kozi za animal science na vets zinakuwa kwenye mwavuli mmoja kama Koleji, faculty au shule zinakuwa pamoja lakini Tanzania ni sawa na paka na panya. Alipo vet anahisi animal science hatakiwi kuwepo halikadhalika kwa alipo Animal science anaamini vet hatakiwi awepo. LAKINI UKWELI NI KWAMBA TAALUMA HIZI ZINATEGEMEANA SANA! na hili limechangia sana kuturudisha nyuma. Mfano wizara ya mifugo ikiwa na waziri vet/animal scientist inaonekana kama ni muda wa taaluma mojawapo ya kula nchi kwa kupewa favour huku taaluma nyingine ikibaki kijiweni. Hili tatizo linaumiza sana sekta ya mifugo hapa nchini. Mimi ni mchanga sana katika taaluma hizi lakini linaonekana wazi kabisa.
Mkuu! Mie ni Animal scientist.. Na nakubaliana na wewe kwa % nyingi mno.
Hii kitu ipo sana. Na mbaya zaidi ni kwamba hata maprofesa wanajua.
 
Bado nauliza hivii:

Ni kwanini SUA ni Chuo Kikubwa na cha heshima lakini Hatuoni mchango wake katika jamii ya watanzania?

Mbegu bora zoote zinazopandwa nchini kuanzia za nafaka, vegetables, matunda na hata insemination za breeds tofauti za wanyama zinatoka Kenya, South Africa, England na Netherlands.

Tatizo ni serikali haiwawezeshi hawa wanafunzi au?

SUA IMEWAHI KUWASAIDIA NINI WAKULIMA WA KITANZANIA?

Bado nauliza.
Wakuu habari

SUA is an institution sio kiwanda wakuu, many discovery zinafanyika, wataalamu wengi hizalishwa lakini kwasababu nchi yetu ni kisiasa, tunabaki lalamika oh Mbona tunaagiza mbegu nje! Serikali kwanza ijenge imani na wahitimu na wataalamu then iwekeze nchini.. But I know my this is a political country every day when a leader stands speaks on CCM, CHADEMA and lying eti investment on industries.. Kikubwa vyuo vikuu nchini specifically SUA, I believe when chances are being granted I believe we can make a change.
Niwasilishe wakuu
 
Wakuu habari

SUA is an institution sio kiwanda wakuu, many discovery zinafanyika, wataalamu wengi hizalishwa lakini kwasababu nchi yetu ni kisiasa, tunabaki lalamika oh Mbona tunaagiza mbegu nje! Serikali kwanza ijenge imani na wahitimu na wataalamu then iwekeze nchini.. But I know my this is a political country every day when a leader stands speaks on CCM, CHADEMA and lying eti investment on industries.. Kikubwa vyuo vikuu nchini specifically SUA, I believe when chances are being granted I believe we can make a change.
Niwasilishe wakuu
Samahani mkuu, next time tumia lugha ya nyumbani tu
 
Ilibidi nije SUA Ila sema Bios ikaninyonga
 
Wamefanyaje??

Ivi kutumia fake ID ni kigezo cha kusema uongo??

Kumbuka tuna file lako kijana, watch out...[emoji23][emoji23][emoji23]
Bwana mdogo unapojadili na kaka zako heshima kidogo

Nyie vijana wa 2010s hamuwezi kujilinganisha na sisi wa 1990s
 
Bwana mdogo unapojadili na kaka zako heshima kidogo

Nyie vijana wa 2010s hamuwezi kujilinganisha na sisi wa 1990s
Nimekuelewa mkuu!! So umezaliwa 1990 na ukamaliza chuo 2010 - 2016??

I want to remind you, we have your file!! Your fake ID doesn't guarantee your anonymity!!

Peace!
 
Mkuu! Mie ni Animal scientist.. Na nakubaliana na wewe kwa % nyingi mno.
Hii kitu ipo sana. Na mbaya zaidi ni kwamba hata maprofesa wanajua.
Maprofesa hasa wale wa enzi zile ndiyo wanao cheza mchezo huu-wanajua, wanaamini na wanahakikisha kila upande unakaa kivyake, na kupass on kwa wanafunzi wao. Hii kitu ina historia ndefu sana labda vijana wa sasa waamue otherwise na pande zote mbili zinatakiwa zijirudi.
 
Back
Top Bottom