ECPENDABLE
Member
- Feb 5, 2017
- 40
- 7
Asante mkuu animal science masalaa
Wow! TeamIWRE [emoji122][emoji122][emoji122]Bsc Irrigation engineering, DEST, SUA. 2016!
Ngoj waje wanasuaBado nauliza hivii:
Ni kwanini SUA ni Chuo Kikubwa na cha heshima lakini Hatuoni mchango wake katika jamii ya watanzania?
Mbegu bora zoote zinazopandwa nchini kuanzia za nafaka, vegetables, matunda na hata insemination za breeds tofauti za wanyama zinatoka Kenya, South Africa, England na Netherlands.
Tatizo ni serikali haiwawezeshi hawa wanafunzi au?
SUA IMEWAHI KUWASAIDIA NINI WAKULIMA WA KITANZANIA?
Bado nauliza.
Wana SUA tunawasubiri tafadhali.Bado nauliza hivii:
Ni kwanini SUA ni Chuo Kikubwa na cha heshima lakini Hatuoni mchango wake katika jamii ya watanzania?
Mbegu bora zoote zinazopandwa nchini kuanzia za nafaka, vegetables, matunda na hata insemination za breeds tofauti za wanyama zinatoka Kenya, South Africa, England na Netherlands.
Tatizo ni serikali haiwawezeshi hawa wanafunzi au?
SUA IMEWAHI KUWASAIDIA NINI WAKULIMA WA KITANZANIA?
Bado nauliza.
Mpaka sasa mmewasaidia nini wakulima au japo mkulima mmoja wa kitanzania?BSc. Animal Science 2015!
Asante mkuu animal science masalaa
Forest nasikia ni nyepes, sema ajira zake sasaWataaaalam wa SUA hiivi kati ya bachelor ya animal science na bachelor ya forest ipi iko poah ki ajira pia kiusomaji haipo complicated
Mkuu Mbegu nyingi tu zinazalishwa na wataalam wa SUA, kuna Vituo vingi vya research wanazalisha mbegu na wataalam wake wanayoka SUA.Bado nauliza hivii:
Ni kwanini SUA ni Chuo Kikubwa na cha heshima lakini Hatuoni mchango wake katika jamii ya watanzania?
Mbegu bora zoote zinazopandwa nchini kuanzia za nafaka, vegetables, matunda na hata insemination za breeds tofauti za wanyama zinatoka Kenya, South Africa, England na Netherlands.
Tatizo ni serikali haiwawezeshi hawa wanafunzi au?
SUA IMEWAHI KUWASAIDIA NINI WAKULIMA WA KITANZANIA?
Bado nauliza.
Kwenda tu Njombe na kulima miti ya mbao ni ajira tosha na inalipa mazeeForest nasikia ni nyepes, sema ajira zake sasa
Mie Binafsi serikali imeshindwa kunisaidia. Hivyo sifikiri kama naweza kuwasaidia wananchi. Sidhani kama kuna wataalamu wa aina yoyote katika taifa hili ambao wamewasaidia watanzania kwa level ile ambayo wote tunatamani iwe. Tanzania haina mipango endelevu wala Uhuru wa taasisi...kila kitu ni siasa.Mpaka sasa mmewasaidia nini wakulima au japo mkulima mmoja wa kitanzania?
Bado Nauliza hilo.
Yes mkuu!!Wow! TeamIWRE [emoji122][emoji122][emoji122]
Uyo anaitwa kahimba mkuu. Ni bonge la Ticha. # Team IWRE 2013- 2017Yes mkuu!!
Sisi ndio tulikua wanafunzi wa mwisho wa prof mulengera! Baada ya kumaliza kutufundisha ndio aka staafu!!!
Mpanduji nadhani alichukuliwa na magufuli, msalimia baanda, ludovick, terengia, prof dihenga, kuna mwingine alikua anafundisha water supply na material technology nimemsahau jina...ni bonge la ticha!!!
Mkuuu unampata SengeleUyo anaitwa kahimba mkuu. Ni bonge la Ticha. # Team IWRE 2013- 2017
Solomon Mahlangu Mazimbu Campus...mazimbu nikikumbuka freedom square sipataki kabisaa
Bado tunakomaa Mazimbu mpaka 2018
In Shaa Allah.
Huyo huyo...kuna kozi yake inaitwa environmental hydraulics, so far ndio kozi niliichukia sijui kwa nn asee hahahahaa!! Nadhani kwa sasa uko mwaka wa nne, engineering design! was my favourite course!! irrigation structures ya tarimo, ethics ya baanda daaaah!! NIKUTAKIE KILA HERI KWENYE UE Engineer!!!Uyo anaitwa kahimba mkuu. Ni bonge la Ticha. # Team IWRE 2013- 2017
Big up kwa kumaliza tena sio kumaliza tu bali kumaliza Engineering degree programme SUA, sisi tupo bado till 2020 ngoja tuendelee kupambana na kina Baanda...Yes mkuu!!
Sisi ndio tulikua wanafunzi wa mwisho wa prof mulengera! Baada ya kumaliza kutufundisha ndio aka staafu!!!
Mpanduji nadhani alichukuliwa na magufuli, msalimia baanda, ludovick, terengia, prof dihenga, kuna mwingine alikua anafundisha water supply na material technology nimemsahau jina...ni bonge la ticha!!!