UDSM Alumni
JF-Expert Member
- Jan 25, 2015
- 2,562
- 1,393
mimi ndo nimepata hiyoForest ndio ipo poa kwenye ajira
mimi ndo nimepata hiyoForest ndio ipo poa kwenye ajira
me mwenyewe nakupenda udsm lakini sio kwa education mpe pole tuKuna ndugu yangu kachaguliwa hapa lakini kaenda Udsm Education kisa ni chuo bora tanzania..maisha haya
Ashakaza ubongo Mwanzo Mwisho hataki elewa,,,Mimi zangu dua tuume mwenyewe nakupenda udsm lakini sio kwa education mpe pole tu
Mkuu pale UDSM kuna computer science, ambao hawa wapo Conas, na Computer engineering ambao hawa wapo Coet. Hapa unasemaje?
Pia hata IT wapo college tofauti na hizo lkn wote wanadili na mambo ya computer
Umemaliza mwaka gani pale? DaktariBachelor of Veterinary Medicine
Atakuwa Classmate wako huyu MkuuNimekuelewa mkuu!! So umezaliwa 1990 na ukamaliza chuo 2010 - 2016??
I want to remind you, we have your file!! Your fake ID doesn't guarantee your anonymity!!
Peace!
Mkuu kwa sasa uelekeo wa Irrigation and water resource ukoje? Mimi ndio nimemaliza semester ya Pili naelekea ya tatu.Bsc Irrigation engineering, DEST, SUA. 2016!
mimi ndo nimepata hiyo