General Mangi
JF-Expert Member
- Dec 21, 2013
- 15,316
- 23,186
- Thread starter
- #121
mliochaguliwa SUA karibuni
We mkata baro acha kudanganya watu eti umemaliza 90s......Kaza mzee 2018 siyo mbali..una Ergonomics SEM 8 inakusubiri pamoja na Engineering ethics SEM 7 wewe..We sema alikuwa kijana wakati anakusubiri kwenye AE 420Safii sana ndio head of department wetu wa kwanza since 1984-1988
Sisi wa enzi hizo tunamkumbuka alikuwa kijana mwenye kufuga afro
Tumia RESULT SLIP.Habari za muda huu wakuu......ninamsaidia mdogo wangu kufanya applications za vyuo ikiwemo SUA.
Kuna mahala wameandika kwamba natakiwa ku'upload cheti cha form 4(kipo) na cha form 6 (havijatoka bado).....
Msaada nifanyaje au ni'submit hivo hivo bila ku'upload cheti cha form 6
Natanguliza shukrani....Mbarikiwe
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwaka mpya wa masomo ni kama ilivyokuwa year 1Iv 2nd yr boom lakwanza inakuaga sh ngp?
Thnx muchMwaka mpya wa masomo ni kama ilivyokuwa year 1
Hahaha!! Mkuu naona umemuumbua kijana hapoWe mkata baro acha kudanganya watu eti umemaliza 90s......Kaza mzee 2018 siyo mbali..una Ergonomics SEM 8 inakusubiri pamoja na Engineering ethics SEM 7 wewe..We sema alikuwa kijana wakati anakusubiri kwenye AE 420
acha uvivu kijana, ingia usome website yaoIvi sua ndo mnakua wakulima au?
upo mwaka wa ngapKaribuni sana SUA wakuu, kuhusu food science and technology, niulizeni chochote nitawajibu.
Kozi gan mkuuBado tunakomaa Mazimbu mpaka 2018
In Shaa Allah.
Forest ndio ipo poa kwenye ajiraWataaaalam wa SUA hiivi kati ya bachelor ya animal science na bachelor ya forest ipi iko poah ki ajira pia kiusomaji haipo complicated
Hahahahah mh wa kutesti mitambo;-) nawaona nawaona, mnakumbuka Francis wa mambo ya maiki?