90sgeneration
JF-Expert Member
- Dec 18, 2022
- 275
- 375
Wakuu habari, nilitaka kuwasahau wana Jf wenzangu.
Nitakua nawapostia katika uzi huu vitu tofauti tofauti used tu na kwa bei sawa na bure.
Najua pia humu kuna vijana wenzangu wanaoanza maisha, kuna watu ambao uchumi wao haujakaa vizuri hivyo wangehitaji vitu kwa bei ya chini, pia kuna wale wanabana matumizi, kuna wale wanahitaji ila vya dukani bei imesimama sana, basi hapa ndio soko lenu. Takua napost unaangalia unachopenda na unapata. Asanteni wote mlionitumia vitu na wengi vishauzika tayari. Hivyo kama pia unacho unachotaka kuuza (used) njoo tukiuze boss.
Pia kama unahitaji kitu na hujaona nimekipost hapa, piga namba hiyo useme unataka nini na nitakupatia.
Piga simu au whatsapp: 0752329591.
Nitakua nawapostia katika uzi huu vitu tofauti tofauti used tu na kwa bei sawa na bure.
Najua pia humu kuna vijana wenzangu wanaoanza maisha, kuna watu ambao uchumi wao haujakaa vizuri hivyo wangehitaji vitu kwa bei ya chini, pia kuna wale wanabana matumizi, kuna wale wanahitaji ila vya dukani bei imesimama sana, basi hapa ndio soko lenu. Takua napost unaangalia unachopenda na unapata. Asanteni wote mlionitumia vitu na wengi vishauzika tayari. Hivyo kama pia unacho unachotaka kuuza (used) njoo tukiuze boss.
Pia kama unahitaji kitu na hujaona nimekipost hapa, piga namba hiyo useme unataka nini na nitakupatia.
Piga simu au whatsapp: 0752329591.