wangewapeleka hawa wa vizimba na wale wamchinga karibu na maeneo yote ya soko kuu kule.ili kupafanya activeSasa kule watu hawaendi mkuu
Sasa Msando unavyomuona ana akili?Ule ni ujinga uliopitiliza.vizimba vimejengwa eneo la parking za magari.Ingekuwa akili kama wangevipeleka kule Bus stand ya Mafiga ambako akuna watu na stend imedorola
Soko kuu la kingalu la mjini morogoro kumejaa watu muda huu vizimba vya wamachinga vinaweza vikazinduliwa leo. Vimepewa majina ya mitaa ya viongozi Samia Suluhu mpango majaliwa abood mkuu wa mkoa nk pamenoga Sana walio hapa tufahamishane.