Kurt godel
JF-Expert Member
- Jan 11, 2017
- 317
- 174
hahahahhha bro naomba nikushauri uache kusoma IT aisee maana ni aibu.Duuh yani umeshindwa hata kufungua pc na kuona kuwa ndani hamna maandishi yoyote katika mfumo wa maandishi ya karatasi bali ni cirucit na components.Ukashindwa kweli kutambuwa ya kwamba hzo components zinatumika kuwakilisha symbollically hzo herufi yani kwamba mtu akisema 1 ndani ni series ya on and off switches ?? Hahaha mungu bro ndo anafanya hvo vitu ahh hii ni aibu kwa It tanzania