Software Inaungana Vipi na Hardware?

Software Inaungana Vipi na Hardware?

Nanna Hili jukwaa like limekuzidi umri, mendacity fesibuku Nathaniel huko ndio Kuna kufaa.

Toa jibu transistors xa umeme zikiwaka na kuzimwa zina uhusiano gani na kutengeza memory ya computer.
 
Hili ndo jibu mkuu umeua
Computer iko na language yake ambayo ni binary numbers 0 na 1
Huku 0 ikitafsiriwa kama low
Na 1 ikitafsiriwa kama high
Hizi number zinaitwa BITS hizo BIT zikiwa 8 kwa mpangilio wowote zinaitengeneza BYTE
hiyo LOW maanake NO VOLTAGE
na HIGH manake THERE IS VOLTAGE
unapochapa code , unaziandika kwa kufuata kanuni na taratibu ili computer iweze kuzibadili hizo code zako ambazo ni HIGH LEVEL LANGUAGE kwenda kwenye LOW LEVEL LANGUAGE ambayo ndo hiyo binary codes
Ndo maana ukikosea kuprogram computer haiwez kurespond wala kudetect chochote toka kwenye software yako

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna video niliiona youtube inaelezea vizuri Sana kuhusu swali lako!
 
Kuna forum nimekuta hili jibu linaweza badili mtazamo wako wa kufikiri.

If you think software is a different
creature in comparison with hardware,
no explanation would satisfy you.
Think software like a sequence of
electric charges. All the code that you
write would get stored as sequence of
electrical charges either on RAM or
disk. So you are NOT writing text but
the sequence of electric charges. Your
video card is drawing the stuff on the
monitor in English to help you to
understand what you are typing. In
one way, perhaps truly, whatever you
do on the computer is physical.
 
Modern computer ime envolve mno kiasi Kwamba njia pekee ya kuelewa inafanyaje kazi ni Kwa kuitengeneza Computer yenyewe from the strach

Tafuta kitabu kinaitwa Elements of Computing System :Build the modern computer from first principle

Mambo yote ya ajabu yanayofanywa na computer, kwanzia ku play Games mpaka ku lauch satelite angani, mwisho wa siku ni "Boolean operation " rahisi zinazokuwa modelled na switches tu umeme zinazo turn off or on

Kiufupi kazi inayofanywa na computer au CPU inawezwa fanya na mtoto wa shule ya msingi anayejua kujumlisha tu

Tofauti ni kwamba, Computer inafanya hii kazi kwa haraka ya KUTISHA

Hakuna uchawi
 
Back
Top Bottom