Software Inaungana Vipi na Hardware?

Software Inaungana Vipi na Hardware?

Upo vizuri kuliko majibu yote yaliyotolewa hapa. Sasa umechapa codes vizuri. Zimekubaliana na lugha ya computer ya binary. Swali ni codes zinaveukaje kuwa 0 na 1?

Kwanza ishu inaanzia hapa. Hizi codes tayari unazichapa kwenye computer. Hivyo ni vigumu kutoa jibu software inalink vipi na hardware.

Labda tungeanzia na nini kilianza kati ya hardware na software?

Na je nikisema programmer akikosea codes ni sawa na mganga wa kienyeji kukusea masharti ya uchawi italeta sense au hauleti?
Mkuu zeni2017 kuna ishu inaitwa COMPILER huyu ndo anataACT kama mkalimani baina ya code ulizochapa wewe na computer , so ukichapa code kwa lugha yako compiler inaitafsir kwenda kwenye digital language ndo hizo logical circuits zinakuwa activated,so codes unazochapa ukifuata utaratibu zinatumika kuactivate logical ckts humi ndani, yaan codes zako zinadecide inputs na zinadicatate outputs
 
Mkuu zeni2017 kuna ishu inaitwa COMPILER huyu ndo anataACT kama mkalimani baina ya code ulizochapa wewe na computer , so ukichapa code kwa lugha yako compiler inaitafsir kwenda kwenye digital language ndo hizo logical circuits zinakuwa activated,so codes unazochapa ukifuata utaratibu zinatumika kuactivate logical ckts humi ndani, yaan codes zako zinadecide inputs na zinadicatate outputs

Compiler pia ni software mkuu.
 
Mkuu zeni2017 kuna ishu inaitwa COMPILER huyu ndo anataACT kama mkalimani baina ya code ulizochapa wewe na computer , so ukichapa code kwa lugha yako compiler inaitafsir kwenda kwenye digital language ndo hizo logical circuits zinakuwa activated,so codes unazochapa ukifuata utaratibu zinatumika kuactivate logical ckts humi ndani, yaan codes zako zinadecide inputs na zinadicatate outputs

Compiler pia ni software mkuu.
 
Hahahah uchawi kwenye computer da Kuna watu kwel wana IQ ndogo
 
Hahahahahaha hivi Ni kwl kwamba watanzia wengi bado hawaana uelewa wa kompyuta au hahah daa sasa zikija hzo Internet of Things sindo mtasema mnamwona yesu
 
Hahahahahaha hivi Ni kwl kwamba watanzia wengi bado hawaana uelewa wa kompyuta au hahah daa sasa zikija hzo Internet of Things sindo mtasema mnamwona yesu

Acha majibu ya Pwaguzi "vele siiimpo iyo" ;

Toa jibu la swali hili:

Umeme ukiwa na high volt (1) au low volt (o) unapopita kwenye kwenye njia zake maalumu (circuits) zikiwemo hizo logic gates, unawezaje kuipa computer akili ya kujua programmer ameipa amri gani au order gani?

Uchawi uko hapo kwa sababu mchawi pia anafanya vitu senseless kichizi lakini akivipatia mpangilio wake maajabu yanatokea.

By the way hizi 0 na 1 ni arbitrary. Kwenye computer yetu ya kibongobongo tutakayotengeneza tutaziita kuku na bata.

Hakuna zeros na ones ndani ya computer, kuna on (high volt) na off (low volt).
 
Wakuu naelekea kujijibu swali langu mwenyewe ni jinsi gani software na hardware zinakutana. Nikikosea nisahihisheni.

Code au program kwa lugha ya mtaani ninayoelewa mimi ni formula ya kuzima na kuwasha viswichi vya computer.

Ukiandika a viswichi vinazimwa na kuwashwa kwa mtindo huu 01000001.

Kila zero ni off, kila moja ni 1.

Contact ya hadware na software inapatikana kwenye current za umeme zinazokuja kwenye keyboard na touch screen.

Software compatibility ni kukubaliana kwa architecture ya computer na ya program iliyoandikwa.

Bingo! Mtu angenijibu hivyo ningeelewa siku nyingi.

Ila ujinga unabaki kwenye kuzima viswichi vya umeme kwa mpangilio fulani halafu computer irikodi audio na video ya Magufuli????????????!


Hamna zero na moja ndan ya kompyuta Ni switches zinazo alternate kwenye discrete Maxima positive voltage na maximum negative voltage.Hzo zero na one ni abstraction kutoka kwenye hzo discrete maximum na minimum voltage


A computer is a physical manifestation of computation.Computation meaning kwamba given a certain input perform certain well defined operations to generate output.Kila kitu unachokiona kwenye monitor na hzo program Ni abstraction.

Hzo instruction na data unazoziona kama Ni uchawi Ni tu kuwa wameamua ku encode data na instruction kwa kutumia hzo discrete maximum and positive voltage.Kila instruction ya software in reality Ni just switching between the two values.

Infact unaweza tumia mawe kutengeneza computer. Tena infact Kuna kitu vinaitwa molecular computing na quantum computing ambapo hamna transisitor huko.Ila kwa hi sidhan kama utaelewa maana itabidi nikupeleleke kwenye dunia ya church-turing machines ambayo sdhan kama kichwa chako kitaweza meza
 
Kuna watu wanasoma IT hawajui computer hahahah mnabebwa na vyeti
 
Hamna zero na moja ndan ya kompyuta Ni switches zinazo alternate kwenye discrete Maxima positive voltage na maximum negative voltage.Hzo zero na one ni abstraction kutoka kwenye hzo discrete maximum na minimum voltage


A computer is a physical manifestation of computation.Computation meaning kwamba given a certain input perform certain well defined operations to generate output.Kila kitu unachokiona kwenye monitor na hzo program Ni abstraction.

Hzo instruction na data unazoziona kama Ni uchawi Ni tu kuwa wameamua ku encode data na instruction kwa kutumia hzo discrete maximum and positive voltage.Kila instruction ya software in reality Ni just switching between the two values.

Infact unaweza tumia mawe kutengeneza computer. Tena infact Kuna kitu vinaitwa molecular computing na quantum computing ambapo hamna transisitor huko.Ila kwa hi sidhan kama utaelewa maana itabidi nikupeleleke kwenye dunia ya church-turing machines ambayo sdhan kama kichwa chako kitaweza meza

Si utengeneze hiyo computer ya mawe uwe mtu tajiri kuliko wote duniani!

Kwanza umechelewa umeeleza kitu ambacho nimeshakieleza. Umedesa mkuu.

Pili huna mpango. Huwezi hata kuelewa swali. Ninachosema mimi ni hiki:

Kuzima na kuwasha hivyo viswichi kwa mpangilio anauelewa architecture wa computer mpaka computer ikafanya maajabu kuna tofauti gani na mganga wa kienyeji anayepiga manyanga kwa mpangilio anaoujua yeye mpaka maajabu yakatokea.
 
Haha nimekutana na watu hawajui kutumia mouse ila wewe Ni special case naona umeshindwa kusoma hcho kipande cha pili
 
Kwa kifupi swali ni kuwasha na kuzima umeme wa computer kwa spidi kali kunaipaje computer akili ya kufanya inayoyafanya.
 
Call me dumb!

This is just magic.





Ukiniuliza mimi nitakuambia Mungu amewafungulia binadamu muongozo tu wa kufanya ili wapate computer. Lakini hata wanaozitengeneza hawajui zinafanyaje kazi.

Unaweza kuthibitisha Mungu yupo?
 
Unalo hilo. Utatuambia leo roho ya computer imekaa wapi?


Bro labda nikueleweshe vizuri
umeshajua kuwa ndani kuna maximum na minimum voltage ngoja nianzie hapo


Ckia bro katika von neumann based machines kuna kitu kinaitwa fetch-decode-execute
Instructions na data zinakuwa stored kwenye memory, processor ina zi fetch na kuzi decode kwa kutumia control unit.Ikisha decode na kujua kuwa hii ni labda xor operation then control unit inatuma data na hyo instruction kwenye ALU ambayo itatekeleza na kuleta data ambazo zitakuwa stored kwenye either register au memory locations

instruction za software nyingi unazoziona ni either Arithemtic au logic operations

.Hizo switch kuwashwa na kuzima ni kitu kinachotokana na the basic instruction ambazo cpu inazo juu ya kuzima na kuwasha switch.Infact hizo instruction za ku switch ziko manifested kwenye hardware kwa hyo kuzima na kuwasha switch ni kutokana na architecture ya walio design cirucit.The cpu has been designed and implemented in a way kwamba switch zitazima na kuwaka in a certain way

Sasa mimi sioni huo uganga unatoka wapi hapo
 
Bro labda nikueleweshe vizuri
umeshajua kuwa ndani kuna maximum na minimum voltage ngoja nianzie hapo


Ckia bro katika von neumann based machines kuna kitu kinaitwa fetch-decode-execute
Instructions na data zinakuwa stored kwenye memory, processor ina zi fetch na kuzi decode kwa kutumia control unit.Ikisha decode na kujua kuwa hii ni labda xor operation then control unit inatuma data na hyo instruction kwenye ALU ambayo itatekeleza na kuleta data ambazo zitakuwa stored kwenye either register au memory locations

instruction za software nyingi unazoziona ni either Arithemtic au logic operations

.Hizo switch kuwashwa na kuzima ni kitu kinachotokana na the basic instruction ambazo cpu inazo juu ya kuzima na kuwasha switch.Infact hizo instruction za ku switch ziko manifested kwenye hardware kwa hyo kuzima na kuwasha switch ni kutokana na architecture ya walio design cirucit.The cpu has been designed and implemented in a way kwamba switch zitazima na kuwaka in a certain way

Sasa mimi sioni huo uganga unatoka wapi hapo

Ha ha ha unatumia nguvu nyingi kujibu swali ambalo hujalielewa. Hizo process ulizozisema zote mtu akizisoma ataelewa.

KISICHOELEWEKA NI KITU GANI KINAFANYA HIZO PROCESS ZITOKEE? UMEME UNA AKILI? UMEME UKIZIMWA NA KUWASHWA UNAIPAJE MEMORY AKILI YA KUHIFADHI DATA?

Hata mjomba wako Bill Gates hawezi kujibu hilo swali. Kismati cha uchawi wa computer kilimdondokea tu.

AU NIKUULIZE HIZO SWICHI ZIMETENGENEZWA ZIWAKE NA KUZIMIKA KWA SABABU GANI? AU NDIO PISTONS ZA COMPUTER?
 
Unaweza kuthibitisha Mungu yupo?

Hii topik nyingine haihusiki hapa halafu italeta ubishi wa imani za watu. Ila tu jibu rahisi ni kuwa nimelinganisha mafunzo ya vitabu vya dini na ya shule nikagundua wanasayansi wanavyoielezea mother nature ni sawa na waislamu wanavyomuelezea Mungu.

(This is my personal opinion. Sijafundishwa na shehe wala kasisi. Si kazi akakurupuka shehe hapa kuleta ubishi wa nje ya mada iliyopo mezani)
 
Bro labda nikueleweshe vizuri
umeshajua kuwa ndani kuna maximum na minimum voltage ngoja nianzie hapo


Ckia bro katika von neumann based machines kuna kitu kinaitwa fetch-decode-execute
Instructions na data zinakuwa stored kwenye memory, processor ina zi fetch na kuzi decode kwa kutumia control unit.Ikisha decode na kujua kuwa hii ni labda xor operation then control unit inatuma data na hyo instruction kwenye ALU ambayo itatekeleza na kuleta data ambazo zitakuwa stored kwenye either register au memory locations

instruction za software nyingi unazoziona ni either Arithemtic au logic operations

.Hizo switch kuwashwa na kuzima ni kitu kinachotokana na the basic instruction ambazo cpu inazo juu ya kuzima na kuwasha switch.Infact hizo instruction za ku switch ziko manifested kwenye hardware kwa hyo kuzima na kuwasha switch ni kutokana na architecture ya walio design cirucit.The cpu has been designed and implemented in a way kwamba switch zitazima na kuwaka in a certain way

Sasa mimi sioni huo uganga unatoka wapi hapo

Elezea hii kitu hapa:

"Transistors store binary numbers when electric currents passing through them switch them on and off. Switching on a transistor stores a one; switching it off stores a zero"

Kwa kiswahili hizo transistors zinahifadhi binary numbers umeme ukipita ndani ya hizo transistors na kuziwasha au kuzizima.

SASA TRANSISTORS ZIKIWAKA NA KUZIMIKA KUNA SENSE GANI HAPO YA KUIFANYA MEMORY YA COMPUTER IHIFADHI NA KUKUMBUKA VITU KINOMA KAMA INAVYOFANYA?

Elimu ya darasani inaishia kwenye kukariri yaliyomo kwenye hiili link:

How does computer memory work?
 
Hii topik nyingine haihusiki hapa halafu italeta ubishi wa imani za watu. Ila tu jibu rahisi ni kuwa nimelinganisha mafunzo ya vitabu vya dini na ya shule nikagundua wanasayansi wanavyoielezea mother nature ni sawa na waislamu wanavyomuelezea Mungu.

(This is my personal opinion. Sijafundishwa na shehe wala kasisi. Si kazi akakurupuka shehe hapa kuleta ubishi wa nje ya mada iliyopo mezani)
Sasa kama hii ni topik nyingine haihusiki hapa, kwa nini umeitaja hapa?
 
Kwa sababu wapinzani wamekimbia. Hitimisho la mada ni hili:

71a43c373a84a269f12f4187d0b0f751.jpg


8ad5aed41d5720019baeb0cd2641b907.jpg



Ni anayechora hiyo michoro tu ndio anajua kwanini kaichora hivyo. Na hata yeye mwenyewe hajui kwanini inafanya kazi na maajabu inayoyafanya.

The only reason uchawi na waganga wa kienyeji wa kweli hakuna siku hizi ni kuwa waganga wameondoka na elimu zao wamebaki matapeli na waganga njaa.

Kwa kifupi computer imechukua nafasi ya uchawi.
 
Back
Top Bottom