Social Networking/Mitandao ya ki-Jamii...

...basi you are one in a million...kuna watu wakifika nyumbani tu, cha kwanza mke/mume anaikagua mobile phone kisha anaiweka kibindoni mwake mpaka kesho utapoenda kazini, kila sms au simu itayoingia ataisoma au kuipokea yeye kwanza.....kwenye social network ndio balaa...anataka kujua sababu, nia na madhumuni ya kupewa comment, like, au tagged!


...eeeh? ushaona mtu anakusimamia u log in skype, au msn messenger kwakuwa anajua kuna live video, kisha yeye anajibanza nyuma ya kiti? paropokwe neno tu hapo,

...akikukosa huko, ana-print chat history!

Duh...sasa Mbu...hayo ni mahusiano au ni upo kifungoni, a prisoner? I mean kuna watu wako na akili zao kabisa kwen such a relationship, if we may call it that?
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
Uamuzi wa busara sana huo. Maana unaweza ukaalikwa kwenye kikao Hongera Bar...mwenyewe ukafika huna hata wazo au nia mbaya. Ile unaketi tu unaulizwa 'we ndo Mbu?'. Kabla hata hujajibu chupa ya Balimi ishakupasukia kichwani....hahahaaa.



Hakika inauma.


oyaaaa arifu Balimi haizuwi Hongera, hizi zinapatikana kanda ya Ziwa huko...au huko kuna hongera Bar pia....manake ukigusa biya unagusa maslahi muhimu sana kwangu lol
 
oyaaaa arifu Balimi haizuwi Hongera, hizi zinapatikana kanda ya Ziwa huko...au huko kuna hongera Bar pia....manake ukigusa biya unagusa maslahi muhimu sana kwangu lol

Ooh kumbe haiuzwi lol! Basi hapo ndo ujue ikija kwenye mambo ya kilaji mi mweupe kabisa! Hongera Bar yenyewe huwa naionaga kwa mbali tu. Na ndo hiyo hiyo niijuayo mimi...ya hapo Shekilango.
 
Ooh kumbe haiuzwi lol! Basi hapo ndo ujue ikija kwenye mambo ya kilaji mi mweupe kabisa! Hongera Bar yenyewe huwa naionaga kwa mbali tu. Na ndo hiyo hiyo niijuayo mimi...ya hapo Shekilango.

Anyways kwa sababu inajulikana wewe ni Rais wa wabeba boksi, sio mbaya kutoifahamu kivile...ipo karibu na chuo cha ustawi wa jamii...kijiwe maaruf cha totoz wa ustawi pale...

sasa turudi kwen topic ya Mbu bana....

Mi kitu kimoja kimenishangaza kidogo, ni kwa nini Mbu ameamua kuweka katika upande hasi (negative) peke yake...bila kuangalia pia upande positive? Inaweza kuwa uamuzi sahihi kabisa wa kwake, lakini nadhani ingekuwa more balanced kama angeuliza pia mchango wa hizi social networks katika:
  • "kustabilise" relationships
  • Kuestablish new relationships, watu kibao wameo na kuolewa. sembuse Bf/GF
  • Kupunguza 'real time' cheating, lol (hapo inategemea definition ya cheating...a 'new' topic altogether)
Mengineyo tunaweza kuongeza...kwa hiyo si kweli moja kwa moja kuwa "na hii haikuanzia kwa Facebook pekee, Friends Reunited, myspace, WAYN, Hi5, Twitter na hata Google + mitandao yote hii kwa namna moja au nyingine imegeuka hatarishi kwa usalama wa mahusiano, mapenzi urafiki na ndoa!"

Huo ni mtizamo wangu. tuendeleee
 
Koku,pole sana! Nacheka sana japo inahuzunisha!
Najiimbia hapa ' don't call my number, we will socialise mu fesibuku'. Ulimuweza kweli! He wasn't that much into u aisee, hata lugha yako hakuielewa!?
Tulikuwa wachumba shostii, ndoa ilikuwa bado, ila on process.
Kwanza akaanza kujifutua, maana nilianza na mengine kwa upole tu na unyenyekevu wa high degree. Akakanusha, na akazidisha jeuri akasafiri na kusafiri. Afu akasugest ananiacha eti nina malalamiko na namsingizia sana through sms. Upande wa pili anadeka kweli kweli, eti anataka anione, aonje utamu wangu. Yeye yupo alone, na yuko conviced mimi ndo mke anaemhitaji. UPOO. Tukapanga kuonana mkoa tofauti na tulipo but hajui anapanga na mm. Tatizo likaja kwa sbb za kiafya nilikuwa bedrest na sikuruhusiwa kusafiri. Ndo nikaamua kumwaga ugali, nikimuuliza yote unadeny na hili? Stori ni ndefu shosti na kuna mengi ndani yake, i wish ndo ningekuwa nakuelezea face to face ingenoga. Facebooook!
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
Kaka dearest,
Kwanza I mrs u (yaani missing u nyingi)
Pili, vile wewe ni mwanaume na if u don't do it u won't know how far it goes; lakini internet cheating sasa imefikia post doctoral whatever. Watu wanafanya cyber sex ile mbaya. Kuwa kwenye mtandao ni kama kupambana na vibaka wa buguruni, manake unakuwa na kazi ya kufokea na kugombeza invitations za hizo mambo hadi unachoka. Ukiskia mtu anasema king' anaringa, mjeuri, ana dharau wewe jua aisifiaye mvua imemnyea. Nitapita kwenu baadae,siku njema
[*]Kupunguza 'real time' cheating, lol (hapo inategemea definition ya cheating...a 'new' topic altogether)


Huo ni mtizamo wangu. tuendeleee
 
Duh, umeongea kwa hisia.
Hadi umenitisha hata kuwa hapa jf
ukiachia mbali fb ambapo napaogopa siku zote
sijui nilog off for good?!!

Tusiende mbali. Tuanzie na hapa hapa JF!

Wangapi humu kwa ufahari na majivuno kabisa wameutangazia umma wa JF kuwa wako kwenye ndoa na kwamba wenza wao hawapo hapa JF (sijui hata wanajuaje kwa uhakika maana humu wengi tunatumia majina bandia! Jitu linaweza likawepo na hata usijue kama lipo lol), lakini humu wamepata wenza wengine ambao wanataniana (huenda kuna zaidi ya kutaniana) na kuitana kila majina ya kimahaba?

Wewe unajidai ni mke au mume wa mtu lakini humu kuna mtu au watu unaowaita 'hun', 'honey', 'laaziz', 'sweetheart', na kadhalika. Na pengine unafanya hivyo bila ya ufahamu wa mwenza wako. Kwa nini? Hivi mwenza wako akijua unafanya hivyo atafurahia na kukaa kimya kweli? Labda huenda wapo ambao hawatatatizwa lakini pia wapo wengi ambao watakwazika!

Mimi nishasema mara kibao humu kuwa mtandao umechangia kwa kiasi kikubwa sana kuharibu mahusiano ya kimapenzi. Hapa silaumu mtandao bali natambua mchango wake. Mwenye na wenye kubeba lawama mwisho wa siku ni muhusika na wahusika. Hilo halina ubishi. Lakini pia mchango wa mtandao katika kurahisisha utovu wa uaminifu hatuwezi kuukataa.

Kwa watu wahalisia kama mimi inakatisha tamaa kabisa. Manake ukikaa na kuanza kufikiria nini ambacho mtu anaweza kufanya kwa kutumia mtandao pasipo wewe kujua unabaki unatikisa kichwa na kujishika tama.

Saa ingine unabaki kuwaza sijui urudi tu Ikungu ukatafute ambaye hajui hata kutumia mtandao. Lakini hata Ikungu vi Nokia vyenye intaneti vipo. Facebook na yenyewe ishafika, hata Tagged nayo ipo. Gademu! Huna ujanja. Huna pa kukimbilia.

Mwisho wa siku inabidi tu ukubaliane na hali halisi kuwa ukiwa kwenye mahusiano na mtu uwezekano wa wewe kutendwa ni mkubwa kuliko hata unavyodhania. Kama bado hujatendwa basi ujue kutendwa kunakuja na usije shangaa kiungo cha kutendwa kikawa ni intaneti.
 
Kaka dearest,
Kwanza I mrs u (yaani missing u nyingi)
Pili, vile wewe ni mwanaume na if u don't do it u won't know how far it goes; lakini internet cheating sasa imefikia post doctoral whatever. Watu wanafanya cyber sex ile mbaya. Kuwa kwenye mtandao ni kama kupambana na vibaka wa buguruni, manake unakuwa na kazi ya kufokea na kugombeza invitations za hizo mambo hadi unachoka. Ukiskia mtu anasema king' anaringa, mjeuri, ana dharau wewe jua aisifiaye mvua imemnyea. Nitapita kwenu baadae,siku njema


same here Sisy....yaani hadi basi ila am back si wajua tena mambo ya visusio yanahusu mwisho wa mwaka?

Kumbe mbona hujaniambia hao wanaokugas gasi 'niwashughulikie' au inaingia kwen 'privacy' lol!

Hapo underlined, nadhani mi ni mnovisi, na hivi leo ni jumapili, ngoja ni do ze nidiful.....ntacheki PM yako baadaye..karibuni sana home tunawasubiri!.:A S-coffee:
 
So far so good kaka, relax! Ntakaemshindwa nitamleta kwako. But u know my gun is loaded, na ile xmas gift ya boksi la risasi najua mwaka mzima niko salama. Ukizingatia kaka ya sweetie wako alinipa mafuta ya bunduki kama zawadi ya new year, watanitambua!
Can't wait, see u both then.
Kumbe mbona hujaniambia hao wanaokugas gasi 'niwashughulikie' au inaingia kwen 'privacy' lol!

Hapo underlined, nadhani mi ni mnovisi, na hivi leo ni jumapili, ngoja ni do ze nidiful.....ntacheki PM yako baadaye..karibuni sana home tunawasubiri!.:A S-coffee:
 
Hiki ndicho kipimo cha "akili" za mwanadam.Wewe ambae unajitambua kama tunavyoambia kuwa mwanadam anajitambua kuliko viumbe vingine halafu unalalamikiwa kufanya mambo kama wasiojitambua inamaana gani?Unawasiliana na mtu usiemjua au umemwona kwenye picha at the same time umeoa au umeolewa,mnaambiana mambo ya kijinga,mnapeana namba za simu,mnakutana kisha mnavuana nguo!Kwa yule ambae yuko singo sina usemi,ila wewe ambae ni "mali" ya mtu unakua ni mzima au akili yako ina walakini?
 
sasa kama tunakulana changa za mwili famili nzima itakuwaje?

Na sie wenye watoto wakubwa, ukute binti yako yuko huku, kijana wako na baba yao wote wako humu.
Tunajibiana pumba na kuambiana swit, han si laana hiyo.

Anyway, ngoja niendelee kuperuzi kwanza.

No...dont bana tutakumiss Kongosho lol
 
Duh, umeongea kwa hisia.
Hadi umenitisha hata kuwa hapa jf
ukiachia mbali fb ambapo napaogopa siku zote
sijui nilog off for good?!!

Ndo maana huko facebook sijaingia na wala sitarajii!
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
Hizi social network,especial facebook zimevunja mahusiano ya watu wengi sana.mtu unakuta si mwaminifu,anadate zaidi ya gals watano,kila mmoja anamwita han,swty,mpenzi,shughuli watakapoanza kuandika kwa wall yake..au wengi hungojea siku ya birthday yake,ndo mbichi na mbivu zitajulikana.huyu hbd han mis u,huyu hbd mpz wkend wap,its so bad. On da other hand ni social netwok si mbaya tu,pia ni nzuri for meetin pipo,new fnds na wengine wengi mliopoteana zaman.But when it kams to relationship ni utata mtupu. then at the end of the day,as a gal or a boy unajikuta hujui nani wakua nae maishani.
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
hiki ndicho kipimo cha "akili" za mwanadam.wewe ambae unajitambua kama tunavyoambia kuwa mwanadam anajitambua kuliko viumbe vingine halafu unalalamikiwa kufanya mambo kama wasiojitambua inamaana gani?unawasiliana na mtu usiemjua au umemwona kwenye picha at the same time umeoa au umeolewa,mnaambiana mambo ya kijinga,mnapeana namba za simu,mnakutana kisha mnavuana nguo!kwa yule ambae yuko singo sina usemi,ila wewe ambae ni "mali" ya mtu unakua ni mzima au akili yako ina walakini?

hilo nalo neno.
 
facebook_carelessness.JPG


Facebook carelessness
 
Najaribu kujiuliza hivi hawa siku wakija kugundua walikua wanaflirt na waume/wake zao wenyewe nani atakua wa kwanza kumlaumu mwenzake? Nani atakua na ujasiri wa kumwambia mwenzie hajatulia? Au ndio kila mmoja atajikausha kama vile hamna kilichotokea?





Hahahaaha. . . yale yale ya "privacy muhimu". Yani mtu anakua na mambo ambayo watu wengine lukuki wanaweza kuona isipokua mpenzi wake!! Hapo ukute simu nayo haruhusu iguswe, JF yupo ila hajawahi.hata kumdokeza mwenzie. Nadhani watu wengine hawana haja ya kua kwenye mahusiano (wasio waaminifu, wasiotaka wenzi wao hata wafahamu kuna JF wakati ye anadai anafaidika nayo, wanaotaka kila kitu kibaki kuwa chake chake ) maana mwisho wa siku wanaishia kusumbuliwa na kukoseshwa raha tu na uwepo wa wenzi wao.


mie ni mmojawapo, cku nikijua 2 ngosha ndio BAK...najitoa humu kabisa, kwasababu zangu binafc, itakuwa ngumu sana kwa upande wangu aisee, mwaminifu kwako sana 2, bali hapo kwenye uelewa ndio ctaeleweka....
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
sasa kama tunakulana changa za mwili famili nzima itakuwaje?

Na sie wenye watoto wakubwa, ukute binti yako yuko huku, kijana wako na baba yao wote wako humu.
Tunajibiana pumba na kuambiana swit, han si laana hiyo.

Anyway, ngoja niendelee kuperuzi kwanza.

asante....hapo hajaperuzi huko nyuma ulikuwa unarauka kwa comments, hakosi atakayohic ulikuwa unampiga madongo yeye, tafrani linaanza, kisa social network....2tibuane na mengine but sio haya.....
 



...ukiangalia 'nje ya kabrasha'...hizi social networking nazifananisha na kukaa kijiweni, haijalishi na mtu mmoja au wengi kisha kila mmoja kwa uhuru wake anaamua kuongea lolote lile kufurahisha baraza au kupata mawazo ya wenzake...full stop!

...uhuru huo wa kujielezea utapoutumia vibaya nadhani ndio utapoku cost, iwe wewe mwenyewe au na wanaokuzunguka. Hivi sasa kila kilichohusu kuzungumzwa salooni, kwenye kikao cha pombe, kwenye msiba, hospitalini, kazini, majumbani etc unakikuta kwenye mtandao...

...hakuna mpaka kipi kilicho cha dhahiri wala cha faragha... sote tunajitia ubingwa wa uandishi wa habari,
kufumba na kufumbua mkono ukiteleza ...habari ya siri ishaenea kuanzia waliopo New Zealand mpaka Alaska.

No wonder wapenda udaku hawapati shida vyanzo vya habari.
 
Back
Top Bottom