Social Networking/Mitandao ya ki-Jamii...

Masikini.

Mi hii biashara ya watu kubadili status kila siku ndio inanichosha. Leo "in a relationship". . . baada ya muda "its complicated". . . kidogo kidogo huyo kawa "single". , who needs to know? Mpaka kila mtu ajue mkiwa na matatizo?Ndio mwanzo wa waliokua wanamvizia mtu wako kujaribu bahati.

Mi tangu nimejiunga nimeweka "married" sibadili hata nikifa, maana haileti usumbufu wala maswali na comment za ajabu ajabu.

...hahaha, wewe ni miongoni mwa wale msovua pete ya ndoa hata kama kuti lishadondoka...
nice one, ushajichongea kuweka status yako hadharani, endelea nayo tu...wengine tupo tupo kwanza,
hatuna status japo nililazimishwa niweke eti married to, ebo?!...lol


....Njemba ilikuwa tayari kumpiga chini mkewe lakini mke baada ya kuona hali ile imezua kasheshe kubwa ndani ya nyumba na hali kuzidi kutishia future ya ndoa yao siku moja akaomba kuongea na mumewe na kujitetea kwamba hakukuwa na lolote njemba ikagoma, mamsap akaanza kulia vilio vya kwikwi na kudai kwamba ndoa yao ilikuwa haina tatizo ila amefanya makosa na kama ndoa ikivunjika basi watachekwa sana na mahasidi wao. Njemba akadai hiyo ilimgusa mno na hivyo kuamua kubadilisha maamuzi yake lakini anadai alikuwa amefikia hitimisho la kuivunja ndoa...kisa njemba imejaa tele linkedIn.

...aisee kama ni sukari basi ishaingia sumu,...sawa na kufunga upepo 'Dengu Beach' pale Ocean Road na lile shombo la mwani.
 
Mapenzi nayo ni kitu cha msingi kakondoo. . . muhimu watu wasichakachue na kuharibu maana.

Sasa kama yanageuka disaster, kwanini watu wasijichimbie zaidi kwenye mambo mengine jamani?? Alafu inaonesha kama wanachokifuata ni hicho tu......maanake hizi case sasa ni too much!!!
 
  • Thanks
Reactions: Mbu

....daaahhh, pole bana....duhhhh!?




...unataka kuniambia ujanja angefanyaje hapo naye lengo lake labda ilikuwa ni cheating?

Ahsante ndugu. Maana alikuwa anacheat na mamsap wake unknowingly.
Sijui alipagawa na sura, maana niliweka picha bomba acha, na nikawa namchombeza kweli kweli. Just kupima uaminifu wake na kuthibitisha yale niliyokuwa naletewa kuhusu yeye.
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
We acha tu Lizzy, tulipokuwa tunachart wakati mwengine nilikuwa nacheka, s'times nilikuwa naumia kweli kweli. Akinikosa tu net msg ktk simu analalamikaa. Na hajui anamlalamikia mtu anamjua in and out. Na ni moja ya vitu vilivyofanya tukatengana.

...aiseee,....kukosa uaminifu ni kitu mbaya sana na hizi social networks zinatusaidia sana kubaini mapungufu ya wenza wetu,
ebana weee!? sikupi pole, nakupa hongera kunasuka.


.....Duh! Makubwa haya!!!!!

...kaka ni balaaa!....we yasikie tu hivi hivi haya...
huu ni ushuhuda tosha wa haya matufani,...sasa nisikilizie kwenye Twitter nako,...
watu wananasana si mchezo...utadhani vidole vyaop vimelaaniwa...

kwani lazima ku update status? aaarrghhh?
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Tusiende mbali. Tuanzie na hapa hapa JF!

Wangapi humu kwa ufahari na majivuno kabisa wameutangazia umma wa JF kuwa wako kwenye ndoa na kwamba wenza wao hawapo hapa JF (sijui hata wanajuaje kwa uhakika maana humu wengi tunatumia majina bandia! Jitu linaweza likawepo na hata usijue kama lipo lol), lakini humu wamepata wenza wengine ambao wanataniana (huenda kuna zaidi ya kutaniana) na kuitana kila majina ya kimahaba?

Wewe unajidai ni mke au mume wa mtu lakini humu kuna mtu au watu unaowaita 'hun', 'honey', 'laaziz', 'sweetheart', na kadhalika. Na pengine unafanya hivyo bila ya ufahamu wa mwenza wako. Kwa nini? Hivi mwenza wako akijua unafanya hivyo atafurahia na kukaa kimya kweli? Labda huenda wapo ambao hawatatatizwa lakini pia wapo wengi ambao watakwazika!

Mimi nishasema mara kibao humu kuwa mtandao umechangia kwa kiasi kikubwa sana kuharibu mahusiano ya kimapenzi. Hapa silaumu mtandao bali natambua mchango wake. Mwenye na wenye kubeba lawama mwisho wa siku ni muhusika na wahusika. Hilo halina ubishi. Lakini pia mchango wa mtandao katika kurahisisha utovu wa uaminifu hatuwezi kuukataa.

Kwa watu wahalisia kama mimi inakatisha tamaa kabisa. Manake ukikaa na kuanza kufikiria nini ambacho mtu anaweza kufanya kwa kutumia mtandao pasipo wewe kujua unabaki unatikisa kichwa na kujishika tama.

Saa ingine unabaki kuwaza sijui urudi tu Ikungu ukatafute ambaye hajui hata kutumia mtandao. Lakini hata Ikungu vi Nokia vyenye intaneti vipo. Facebook na yenyewe ishafika, hata Tagged nayo ipo. Gademu! Huna ujanja. Huna pa kukimbilia.

Mwisho wa siku inabidi tu ukubaliane na hali halisi kuwa ukiwa kwenye mahusiano na mtu uwezekano wa wewe kutendwa ni mkubwa kuliko hata unavyodhania. Kama bado hujatendwa basi ujue kutendwa kunakuja na usije shangaa kiungo cha kutendwa kikawa ni intaneti.

Wengine wanasema kabisa wenzao hawaifahamu JF na hawatokaa wawaonyeshe/tambulishe JF kwao. Pengine ili wasikose uhuru wa hizo "innocent flirting" .
Wengine wanadai hazina ubaya ilhali hawawezi kushea na wenzi wao. Sasa hivi kutokua kwenye mahusiano kunaleta amani sana, tofauti na kuwa na mtu ambae hata kwenye hiyo acc yake ya facebook hauko kwenye list ya marafiki zake.
 
  • Thanks
Reactions: Mbu

...hahaha, wewe ni miongoni mwa wale msovua pete ya ndoa hata kama kuti lishadondoka...
nice one, ushajichongea kuweka status yako hadharani, endelea nayo tu...wengine tupo tupo kwanza,
hatuna status japo nililazimishwa niweke eti married to, ebo?!...lol




...aisee kama ni sukari basi ishaingia sumu,...sawa na kufunga upepo 'Dengu Beach' pale Ocean Road na lile shombo la mwani.

Mpaka aliyenunua aje kunidai. . . Lolzzz
Hahaha. . . hiyo ya kulazimishana nayo haijakaa sawa. Ila ukikataa lazima uulizwe "kwani unamuogopa nani" kabla ya kununiwa.

Sasa kama yanageuka disaster, kwanini watu wasijichimbie zaidi kwenye mambo mengine jamani?? Alafu inaonesha kama wanachokifuata ni hicho tu......maanake hizi case sasa ni too much!!!

Ndio maana wengine tunaangalia kama movie tu kakondoo. Kama na wewe unaweza karibu ila waliopo uwanjani watacheza tuuuuuu mpaka siku watakapokosa nguvu, so we angalia tu na kujifunza.
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
Tusiende mbali. Tuanzie na hapa hapa JF!

Wangapi humu kwa ufahari na majivuno kabisa wameutangazia umma wa JF kuwa wako kwenye ndoa na kwamba wenza wao hawapo hapa JF (sijui hata wanajuaje kwa uhakika maana humu wengi tunatumia majina bandia! Jitu linaweza likawepo na hata usijue kama lipo lol), lakini humu wamepata wenza wengine ambao wanataniana (huenda kuna zaidi ya kutaniana) na kuitana kila majina ya kimahaba?

Wewe unajidai ni mke au mume wa mtu lakini humu kuna mtu au watu unaowaita 'hun', 'honey', 'laaziz', 'sweetheart', na kadhalika. Na pengine unafanya hivyo bila ya ufahamu wa mwenza wako. Kwa nini? Hivi mwenza wako akijua unafanya hivyo atafurahia na kukaa kimya kweli? Labda huenda wapo ambao hawatatatizwa lakini pia wapo wengi ambao watakwazika!

Mimi nishasema mara kibao humu kuwa mtandao umechangia kwa kiasi kikubwa sana kuharibu mahusiano ya kimapenzi. Hapa silaumu mtandao bali natambua mchango wake. Mwenye na wenye kubeba lawama mwisho wa siku ni muhusika na wahusika. Hilo halina ubishi. Lakini pia mchango wa mtandao katika kurahisisha utovu wa uaminifu hatuwezi kuukataa.

Kwa watu wahalisia kama mimi inakatisha tamaa kabisa. Manake ukikaa na kuanza kufikiria nini ambacho mtu anaweza kufanya kwa kutumia mtandao pasipo wewe kujua unabaki unatikisa kichwa na kujishika tama.

Saa ingine unabaki kuwaza sijui urudi tu Ikungu ukatafute ambaye hajui hata kutumia mtandao. Lakini hata Ikungu vi Nokia vyenye intaneti vipo. Facebook na yenyewe ishafika, hata Tagged nayo ipo. Gademu! Huna ujanja. Huna pa kukimbilia.

Mwisho wa siku inabidi tu ukubaliane na hali halisi kuwa ukiwa kwenye mahusiano na mtu uwezekano wa wewe kutendwa ni mkubwa kuliko hata unavyodhania. Kama bado hujatendwa basi ujue kutendwa kunakuja na usije shangaa kiungo cha kutendwa kikawa ni intaneti.

kweli mwanagu ila tambua kwamba "mtenda hutendwa" na matumizi ya majina bandia ni mazuri coz kinachotakiwa ni kujielewa, kujiheshimu,kujitambua na kujipanga ili gurudumu la Jf lisonge4ward.
 
Tusiende mbali. Tuanzie na hapa hapa JF!

Wangapi humu kwa ufahari na majivuno kabisa wameutangazia umma wa JF kuwa wako kwenye ndoa na kwamba wenza wao hawapo hapa JF (sijui hata wanajuaje kwa uhakika maana humu wengi tunatumia majina bandia! Jitu linaweza likawepo na hata usijue kama lipo lol), lakini humu wamepata wenza wengine ambao wanataniana (huenda kuna zaidi ya kutaniana) na kuitana kila majina ya kimahaba?

Wewe unajidai ni mke au mume wa mtu lakini humu kuna mtu au watu unaowaita 'hun', 'honey', 'laaziz', 'sweetheart', na kadhalika. Na pengine unafanya hivyo bila ya ufahamu wa mwenza wako. Kwa nini? Hivi mwenza wako akijua unafanya hivyo atafurahia na kukaa kimya kweli? Labda huenda wapo ambao hawatatatizwa lakini pia wapo wengi ambao watakwazika!

Mimi nishasema mara kibao humu kuwa mtandao umechangia kwa kiasi kikubwa sana kuharibu mahusiano ya kimapenzi. Hapa silaumu mtandao bali natambua mchango wake. Mwenye na wenye kubeba lawama mwisho wa siku ni muhusika na wahusika. Hilo halina ubishi. Lakini pia mchango wa mtandao katika kurahisisha utovu wa uaminifu hatuwezi kuukataa.

Kwa watu wahalisia kama mimi inakatisha tamaa kabisa. Manake ukikaa na kuanza kufikiria nini ambacho mtu anaweza kufanya kwa kutumia mtandao pasipo wewe kujua unabaki unatikisa kichwa na kujishika tama.

Saa ingine unabaki kuwaza sijui urudi tu Ikungu ukatafute ambaye hajui hata kutumia mtandao. Lakini hata Ikungu vi Nokia vyenye intaneti vipo. Facebook na yenyewe ishafika, hata Tagged nayo ipo. Gademu! Huna ujanja. Huna pa kukimbilia.

Mwisho wa siku inabidi tu ukubaliane na hali halisi kuwa ukiwa kwenye mahusiano na mtu uwezekano wa wewe kutendwa ni mkubwa kuliko hata unavyodhania. Kama bado hujatendwa basi ujue kutendwa kunakuja na usije shangaa kiungo cha kutendwa kikawa ni intaneti.

...hahahahaa, bro NN mimi hunichekesha wale wanaotongozana kwa mvuto wa Avatar na ID, tena wengine hufikia mbali kweli kumbe mtu anatongozana na dume mwenzake...

...halafu jamiiforums ilivyo addictive, unaweza kuta mume umejilaza kitandani, mke yupo busy na smartphone yake anajibu pm ya mbu....sasa bahati mbaya ukute na mume sio mwelewa hapo, duuuh!....mbu ananuniwa buree maskini na thread zake...
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Wengine wanasema kabisa wenzao hawaifahamu JF na hawatokaa wawaonyeshe/tambulishe JF kwao. Pengine ili wasikose uhuru wa hizo "innocent flirting" .

Sasa hapo panakuwa patamu zaidi pale ambapo na hao wenza wao wanakuwa wamo humu JF halafu nao wanakuwa wanafikiri hao wenza wao hawamo humu. Yaani wote mpo halafu wote mnadhani mwenzio hayumo na haijui JF na hutakuja umfahamishe lol. Yaani full usanii to the nth degree.

Wengine wanadai hazina ubaya ilhali hawawezi kushea na wenzi wao. Sasa hivi kutokua kwenye mahusiano kunaleta amani sana, tofauti na kuwa na mtu ambae hata kwenye hiyo acc yake ya facebook hauko kwenye list ya marafiki zake.

Facebook, facebook, facebook! Hii Facebook hii.

Halafu kuna ile unamuomba boyfriend au girlfriend wako urafiki huko Facebook halafu haku-add lol. Unaanza kuwaza na kuwazua kulikoni...kwa nini hataki kuni-add....hataki nione nini....na maswali mengine lukuki. Ukimuuliza kwa nini hajaku-add anakupa lame excuses tu. Baada ya siku mbili unaona idadi yake ya marafiki imeongezeka kutoka 180 na kuwa 185 ilhali wewe alikuambia hakuweza kuku-add. Mweeeh!
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
Asingeongeza ongeza watu hovyo.



Hahahahaha. . . kweli wanadamu hatunazo. Kwahiyo mke ananuniwa mpenzi asiyemjua ndio anamdekea?Kaazi kweli kweli.

Pole tena mpenzi. . .
Ila hujatudokeza alisemaje alipogundua huyo alokua anamdekea ni mke wake yule yule.

Tulikuwa wachumba shostii, ndoa ilikuwa bado, ila on process.
Kwanza akaanza kujifutua, maana nilianza na mengine kwa upole tu na unyenyekevu wa high degree. Akakanusha, na akazidisha jeuri akasafiri na kusafiri. Afu akasugest ananiacha eti nina malalamiko na namsingizia sana through sms. Upande wa pili anadeka kweli kweli, eti anataka anione, aonje utamu wangu. Yeye yupo alone, na yuko conviced mimi ndo mke anaemhitaji. UPOO. Tukapanga kuonana mkoa tofauti na tulipo but hajui anapanga na mm. Tatizo likaja kwa sbb za kiafya nilikuwa bedrest na sikuruhusiwa kusafiri. Ndo nikaamua kumwaga ugali, nikimuuliza yote unadeny na hili? Stori ni ndefu shosti na kuna mengi ndani yake, i wish ndo ningekuwa nakuelezea face to face ingenoga. Facebooook!
 
Sasa kama yanageuka disaster, kwanini watu wasijichimbie zaidi kwenye mambo mengine jamani?? Alafu inaonesha kama wanachokifuata ni hicho tu......maanake hizi case sasa ni too much!!!

...na bado,...kuna mwingine kashikwa koo majuzi kulazimishwa a log in na mumewe aone kama kuna mtu online kwenye skype, sasa hii ndio nini tena jamani?....


Ahsante ndugu. Maana alikuwa anacheat na mamsap wake unknowingly.
Sijui alipagawa na sura, maana niliweka picha bomba acha, na nikawa namchombeza kweli kweli. Just kupima uaminifu wake na kuthibitisha yale niliyokuwa naletewa kuhusu yeye.

dahhh,....kwa mtazamo wangu, wengi wanaangukia kwenye ulimbo wa "fantasy world" jamani....tuwahurumie tu.
Nishajionea profile pics za celebrities lakini bado watu macho na udenda unawatoka....


Wengine wanasema kabisa wenzao hawaifahamu JF na hawatokaa wawaonyeshe/tambulishe JF kwao. Pengine ili wasikose uhuru wa hizo "innocent flirting" .
Wengine wanadai hazina ubaya ilhali hawawezi kushea na wenzi wao. Sasa hivi kutokua kwenye mahusiano kunaleta amani sana, tofauti na kuwa na mtu ambae hata kwenye hiyo acc yake ya facebook hauko kwenye list ya marafiki zake.

...hahahahaa,...hiyo sentensi yako ya mwisho umenichekesha sana..na kweli ndipo tulipofikia.
Mume/mke kwakuwa hayupo kwenye friends list inazua pia 'kasheshe!'
 
Sasa hapo panakuwa patamu zaidi pale ambapo na hao wenza wao wanakuwa wamo humu JF halafu nao wanakuwa wanafikiri hao wenza wao hawamo humu. Yaani wote mpo halafu wote mnadhani mwenzio hayumo na haijui JF na hutakuja umfahamishe lol. Yaani full usanii to the nth degree.
Najaribu kujiuliza hivi hawa siku wakija kugundua walikua wanaflirt na waume/wake zao wenyewe nani atakua wa kwanza kumlaumu mwenzake? Nani atakua na ujasiri wa kumwambia mwenzie hajatulia? Au ndio kila mmoja atajikausha kama vile hamna kilichotokea?



Facebook, facebook, facebook! Hii Facebook hii.


Halafu kuna ile unamuomba boyfriend au girlfriend wako urafiki huko Facebook halafu haku-add lol. Unaanza kuwaza na kuwazua kulikoni...kwa nini hataki kuni-add....hataki nione nini....na maswali mengine lukuki. Ukimuuliza kwa nini hajaku-add anakupa lame excuses tu. Baada ya siku mbili unaona idadi yake ya marafiki imeongezeka kutoka 180 na kuwa 185 ilhali wewe alikuambia hakuweza kuku-add. Mweeeh!

Hahahaaha. . . yale yale ya "privacy muhimu". Yani mtu anakua na mambo ambayo watu wengine lukuki wanaweza kuona isipokua mpenzi wake!! Hapo ukute simu nayo haruhusu iguswe, JF yupo ila hajawahi.hata kumdokeza mwenzie. Nadhani watu wengine hawana haja ya kua kwenye mahusiano (wasio waaminifu, wasiotaka wenzi wao hata wafahamu kuna JF wakati ye anadai anafaidika nayo, wanaotaka kila kitu kibaki kuwa chake chake ) maana mwisho wa siku wanaishia kusumbuliwa na kukoseshwa raha tu na uwepo wa wenzi wao.
 
  • Thanks
Reactions: Mbu


...so, kipipi ndio kusema utajifanya mwelewa hata kama unayasoma na kuyaelewa 'yanapoelekea?'
acha bana...utaweza vumilia among his friends ni pamoja na ex wake wote unaowajua?
hutopata kishawishi kuchungulia wanaambiana nini?...hahaha...nakuchokoza ufunguke leo.

Mbu namaanisha kuwa sio lazima uone wivu kwa kila neno au nukta iliyopo kwenye ujumbe, hata kama anachat na ex wake.......kuna haja gani ya mimi kulipatia maana mbili mbili kila linaloandikwa na kuanza kuhesabu kila like wanayopeana??
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
Tulikuwa wachumba shostii, ndoa ilikuwa bado, ila on process.
Kwanza akaanza kujifutua, maana nilianza na mengine kwa upole tu na unyenyekevu wa high degree. Akakanusha, na akazidisha jeuri akasafiri na kusafiri. Afu akasugest ananiacha eti nina malalamiko na namsingizia sana through sms. Upande wa pili anadeka kweli kweli, eti anataka anione, aonje utamu wangu. Yeye yupo alone, na yuko conviced mimi ndo mke anaemhitaji. UPOO. Tukapanga kuonana mkoa tofauti na tulipo but hajui anapanga na mm. Tatizo likaja kwa sbb za kiafya nilikuwa bedrest na sikuruhusiwa kusafiri. Ndo nikaamua kumwaga ugali, nikimuuliza yote unadeny na hili? Stori ni ndefu shosti na kuna mengi ndani yake, i wish ndo ningekuwa nakuelezea face to face ingenoga. Facebooook!

Dah!!
Ila afadhali ulimsoma mapema ukampotezea , ungekua ushakua mke mara ndugu kibao wakushinikize uvumilie ungekua unalia kilio kingine.

MBU huyo wa skype nae hajatulia. Hivi kumbe ndani ya kuta nne kuna vituko hivyo?
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
Sasa hapo panakuwa patamu zaidi pale ambapo na hao wenza wao wanakuwa wamo humu JF halafu nao wanakuwa wanafikiri hao wenza wao hawamo humu. Yaani wote mpo halafu wote mnadhani mwenzio hayumo na haijui JF na hutakuja umfahamishe lol. Yaani full usanii to the nth degree.



Facebook, facebook, facebook! Hii Facebook hii.

Halafu kuna ile unamuomba boyfriend au girlfriend wako urafiki huko Facebook halafu haku-add lol. Unaanza kuwaza na kuwazua kulikoni...kwa nini hataki kuni-add....hataki nione nini....na maswali mengine lukuki. Ukimuuliza kwa nini hajaku-add anakupa lame excuses tu. Baada ya siku mbili unaona idadi yake ya marafiki imeongezeka kutoka 180 na kuwa 185 ilhali wewe alikuambia hakuweza kuku-add. Mweeeh!

Mkuu NN wewe unasema boyfriend na girlfriend, mwenzetu Kokutona mkewe alikataa kumu-add ikabidi aingie kwa gia nyingine, yaani usanii wa hali ya juu.
 
Sasa hapo panakuwa patamu zaidi pale ambapo na hao wenza wao wanakuwa wamo humu JF halafu nao wanakuwa wanafikiri hao wenza wao hawamo humu. Yaani wote mpo halafu wote mnadhani mwenzio hayumo na haijui JF na hutakuja umfahamishe lol. Yaani full usanii to the nth degree.



Facebook, facebook, facebook! Hii Facebook hii.

Halafu kuna ile unamuomba boyfriend au girlfriend wako urafiki huko Facebook halafu haku-add lol. Unaanza kuwaza na kuwazua kulikoni...kwa nini hataki kuni-add....hataki nione nini....na maswali mengine lukuki. Ukimuuliza kwa nini hajaku-add anakupa lame excuses tu. Baada ya siku mbili unaona idadi yake ya marafiki imeongezeka kutoka 180 na kuwa 185 ilhali wewe alikuambia hakuweza kuku-add. Mweeeh!

Ndo yaliyonikuta mimi, nikaamua kujitengenezea jina bandia, picha bandia. Nikaomba urafiki. Sikutaka shida ya kulumbana nae why hataki kuniadd. Na udhalimu wake ukawa hadharani.
Inaumaaa na ni ngumu kumeza i see
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
Sasa hapo panakuwa patamu zaidi pale ambapo na hao wenza wao wanakuwa wamo humu JF halafu nao wanakuwa wanafikiri hao wenza wao hawamo humu. Yaani wote mpo halafu wote mnadhani mwenzio hayumo na haijui JF na hutakuja umfahamishe lol. Yaani full usanii to the nth degree.



Facebook, facebook, facebook! Hii Facebook hii.

Halafu kuna ile unamuomba boyfriend au girlfriend wako urafiki huko Facebook halafu haku-add lol. Unaanza kuwaza na kuwazua kulikoni...kwa nini hataki kuni-add....hataki nione nini....na maswali mengine lukuki. Ukimuuliza kwa nini hajaku-add anakupa lame excuses tu. Baada ya siku mbili unaona idadi yake ya marafiki imeongezeka kutoka 180 na kuwa 185 ilhali wewe alikuambia hakuweza kuku-add. Mweeeh!

...hahahaha, huu mfano hai ulioweka jf noma....ndio maana mimi si entertain kuhudhuria vikao vya jf, nisijepigwa chupa bure kwa kosa la ku flirt na mali za watu!


...ila hiyo ya kuomba friend request mwenza wako halafu aku ignore inauma hiyo acha aisee....au ana ku add kisha baada ya siku chache unakuta kesha ku delete...hahahahaha!


Najaribu kujiuliza hivi hawa siku wakija kugundua walikua wanaflirt na waume/wake zao wenyewe nani atakua wa kwanza kumlaumu mwenzake? Nani atakua na ujasiri wa kumwambia mwenzie hajatulia? Au ndio kila mmoja atajikausha kama vile hamna kilichotokea?

Hahahaaha. . . yale yale ya "privacy muhimu". Yani mtu anakua na mambo ambayo watu wengine lukuki wanaweza kuona isipokua mpenzi wake!! Hapo ukute simu nayo haruhusu iguswe, JF yupo ila hajawahi.hata kumdokeza mwenzie. Nadhani watu wengine hawana haja ya kua kwenye mahusiano (wasio waaminifu, wasiotaka wenzi wao hata wafahamu kuna JF wakati ye anadai anafaidika nayo, wanaotaka kila kitu kibaki kuwa chake chake ) maana mwisho wa siku wanaishia kusumbuliwa na kukoseshwa raha tu na uwepo wa wenzi wao.

...umeona ee? basi hii ndio hali iliyofikia kwenye hii mitandao ya kijamii na athari zake...
mtu ana share kila kitu na ulimwengu mzima, ila mwenza wake hapewi access, aisee inauma kweli!


Hata ukijifanya kujisahaulisha, sumthing at the back of your mind kitakuwa kinakuwasha utafute by any means ujue anaficha nini...ngumu kupuuzia aisee
.
 

...aiseee,....kukosa uaminifu ni kitu mbaya sana na hizi social networks zinatusaidia sana kubaini mapungufu ya wenza wetu,
ebana weee!? sikupi pole, nakupa hongera kunasuka.




...kaka ni balaaa!....we yasikie tu hivi hivi haya...
huu ni ushuhuda tosha wa haya matufani,...sasa nisikilizie kwenye Twitter nako,...
watu wananasana si mchezo...utadhani vidole vyaop vimelaaniwa...

kwani lazima ku update status? aaarrghhh?

Ndo hivyo mkuu.
I loved him, then he take the advantage.
Ila huwa najiulizaga kuanzisha mahusiano na mtu usiyemjua na huna uhakika km kweli mtaweza onana. Eti ukampenda kabisa afu na kupropose juu inawezekanaje? Tena mtandaoni. Kweli tunatumia technologia vibaya mno!
 
  • Thanks
Reactions: Mbu

...umeona ee? basi hii ndio hali iliyofikia kwenye hii mitandao ya kijamii na athari zake...
mtu ana share kila kitu na ulimwengu mzima, ila mwenza wake hapewi access, aisee inauma kweli!


Hata ukijifanya kujisahaulisha, sumthing at the back of your mind kitakuwa kinakuwasha utafute by any means ujue anaficha nini...ngumu kupuuzia aisee
.

Ndo wale wanaojifanya wao wanajua kuwaomba wenzao urafiki na kuandika kwenye status "married to, in a relationship with" wajifunze kusoma alama za nyakati. Kama mwenzako ana mambo ambayo haoni tabu kushea na ulimwengu isipokua wewe basi jua umepatikana. Kama bado hamjafungana pingu huo ni wakati wa kukimbia, kama mmefungana ni wakati wakuwekana sawa. Hamna haja ya kulazimishana/kuombana vitu vidogo vidogo ambavyo vilitakiwa vitoke kwa hiari.
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
Mbu namaanisha kuwa sio lazima uone wivu kwa kila neno au nukta iliyopo kwenye ujumbe, hata kama anachat na ex wake.......kuna haja gani ya mimi kulipatia maana mbili mbili kila linaloandikwa na kuanza kuhesabu kila like wanayopeana??

...basi you are one in a million...kuna watu wakifika nyumbani tu, cha kwanza mke/mume anaikagua mobile phone kisha anaiweka kibindoni mwake mpaka kesho utapoenda kazini, kila sms au simu itayoingia ataisoma au kuipokea yeye kwanza.....kwenye social network ndio balaa...anataka kujua sababu, nia na madhumuni ya kupewa comment, like, au tagged!

Dah!!
Ila afadhali ulimsoma mapema ukampotezea , ungekua ushakua mke mara ndugu kibao wakushinikize uvumilie ungekua unalia kilio kingine.

MBU huyo wa skype nae hajatulia. Hivi kumbe ndani ya kuta nne kuna vituko hivyo?

...eeeh? ushaona mtu anakusimamia u log in skype, au msn messenger kwakuwa anajua kuna live video, kisha yeye anajibanza nyuma ya kiti? paropokwe neno tu hapo,

...akikukosa huko, ana-print chat history!
 
Back
Top Bottom