Dr Lizzy
Platinum Member
- May 25, 2009
- 31,010
- 60,472
...Halafu Lizzy umenikumbusha kitu, kuna watu kila siku wanaweka updates zao tangu wanaamka, wanachokula, wanapokwenda,
na mapicha yao ya kila siku, .....akipotea siku moja, siku ya pili anahadithia alipopotelea jana....!
...hivi tafsiri ya siri ya mambo ya ndani ni nini vile?
Mbu mi nawapa mbinu ya kukwepa "mbona X kaLIKE picha uliyopiga beach mwenyewe ila hajaLIKE ile tulopiga wote?Mbona anaomba ujibu msg yake au muende 'inbox' kama wanavyoitaga wenyewe" na nyingine kama hizo.
Ni sawa tu na yale masharti usiguse simu yangu, usipokelee mbali, usifute msg.
Mambo ya ndani yamekua sio ya ndani tena aisee. Unakuta mtu kaandika kabisa "tonight i'm getting some". . . sasa jiulize wewe kama ndio X wake, mfanyakazi mwenzake au rafiki tu inakuhusu? Watu wanaruhusu hii mitandao iwafanye vichaa.