Dr Rutagwerera Sr
JF-Expert Member
- Dec 21, 2011
- 5,817
- 11,511
Mi naona Iphone ni for Europe standard. Maana India akina sie wapo wengi tu.India apple wameshuka Sana mauzo , sababu kubwa inadaiwa ni kuondoa update kwenye baadhi ya matoleo , watu wanaogopa unanunua simu alaf no update na sa hv wanaondoa update tena kwenye iPhone 8, XR, na X , Xiaomi wanakimbiza Sana India
Kuondoa updates ni ubepari wa kibiashara kumdidimiza mtumiaji ungaunga mwana.