Smartphone brands zenye market share kubwa zaidi duniani

Smartphone brands zenye market share kubwa zaidi duniani

Kwa sasa simu yenye best UI ni samsung ikifatiwa na [emoji520]
Nilichogundua ni kwamba kuna different UI's with different tastes for different people with different mindsets.

UI ni suala la kuchagua tu, kila mtu ana taste yake, kwa tunaopenda customization tunajua UI gani inatufaa, wanaopenda simplicity wanajua ipi inawafaa na wewe umeshajua ipi inakufaa.

Ukikosea ukachagua UI ambayo sio taste yako aisee utaboeka sana na utatukana hizo simu mwanzo mwisho. Kwangu binafsi ninapenda zaidi MIUI kuliko UI zote hasa MIUI 12 kwenda juu kwa sababu ya features nyingi na customization. One UI inafuatia. iOS ukitoa mwonekano wake haijawahi kunivutia.
Hivyohivyo kwa wengine, nao wana UI zao walizozielewa
 
Nilichogundua ni kwamba kuna different UI's with different tastes for different people with different mindsets.

UI ni suala la kuchagua tu, kila mtu ana taste yake, kwa tunaopenda customization tunajua UI gani inatufaa, wanaopenda simplicity wanajua ipi inawafaa na wewe umeshajua ipi inakufaa.

Ukikosea ukachagua UI ambayo sio taste yako aisee utaboeka sana na utatukana hizo simu mwanzo mwisho. Kwangu binafsi ninapenda zaidi MIUI kuliko UI zote hasa MIUI 12 kwenda juu kwa sababu ya features nyingi na customization. One UI inafuatia. iOS ukitoa mwonekano wake haijawahi kunivutia.
Hivyohivyo kwa wengine, nao wana UI zao walizozielewa
MIUI haikanyagi hata nusu kwa one UI, kifupi haina maajabu kuna vitu vingi inakosa kama emergency mode, focus mode na apps nying inatumia za Google huku kwenye One UI apps nyingi ni za samsung wenyewe na zina features mingi mfano wa hizo apps ni Samsung music, caller, messages, files, gallery, notebook, contacts, callender nk. Hizo zote zipo unique tofauti na za Google ambazo zipo mpaka kwa tecno, ukumbuke apps za ui husika hufunguka haraka kuliko za kudowload gugo
 
MIUI haikanyagi hata nusu kwa one UI, kifupi haina maajabu kuna vitu vingi inakosa kama emergency mode, focus mode na apps nying inatumia za Google huku kwenye One UI apps nyingi ni za samsung wenyewe na zina features mingi mfano wa hizo apps ni Samsung music, caller, messages, files, gallery, notebook, contacts, callender nk. Hizo zote zipo unique tofauti na za Google ambazo zipo mpaka kwa tecno, ukumbuke apps za ui husika hufunguka haraka kuliko za kudowload gugo
MIUI Ina mambo yake wewe hujayajua au sio kipaumbele chako. Ina features nyingi sana ambazo baadhi hata One UI anazo ila pia anazo za muhimu ambazo hata One UI hana. Kuna features nyingine hapo chini nikikuelezea zinafanyaje kazi utashangaa kwa nini ulitumia Redmi siku zote na hukuwahi kuzitumia. Redmi 9 inatumia MIUI 11 na kwa mtazamo wangu naona MIUI 11 haijanikosha ila MIUI 12 kwenda juu ni useful. Features ambazo nimezikubali mpaka ikafanya niipende MIUI kuliko zote, baadhi yake ni hizi hususani Second space.
1. App Lock, "unalock app kwa Fingerprint au face ID" (more advanced than ever)
2. Horizontal/Vertical Recent Apps
3. Back tap
4. App Volume control
5. Clone Mode on camera
6. Three-finger slide screenshots
7. Second space
8. Wild Notification Alerts
9 Tons of Animated Wallpapers
10.Sound Assistant
11. Reading mode
12. Dual Apps
13. Video Toolbox
14. Floating Windows
15. Split Notification Shade
16. Themes and Always on display
17. Xiaomi Security app
18. Game Turbo
19. Side bar
20. Disabling Ads
21. Faster updates
22. Quick Ball
23. Xiaomi Miracast
24. Clean Speakers
25. Snap Mode & camera enhancement
26. Mi Health App
27. Optical Character Recognition
28. Calamity Warning, etc.
Kila moja ningeweza kuelezea zinafanyaje kazi ila ni nyingi lakini MIUI inanikosha sana aisee. Yaani taste yangu yote 100% ipo MIUI. Google dialler na messaging apps nasikia Google waliwaforce Xiaomi wazitumie kwenye simu zao za Global version ila kiuhalisia Xiaomi wana app zao wenyewe za calling na messaging ambazo ni nzuri sana ila zipo kwenye Chinese ROM. Nadhani kutakuwa na njia ya kuflash global kuwa Chinese ROM sijajua bado.
Ila mimi binafsi nimeshajua ladha yangu ipo wapi.
 
Meaning ?
.
Screenshot_20230228-212112~2.jpg
 
MIUI Ina mambo yake wewe hujayajua au sio kipaumbele chako. Ina features nyingi sana ambazo baadhi hata One UI anazo ila pia anazo za muhimu ambazo hata One UI hana. Kuna features nyingine hapo chini nikikuelezea zinafanyaje kazi utashangaa kwa nini ulitumia Redmi siku zote na hukuwahi kuzitumia. Redmi 9 inatumia MIUI 11 na kwa mtazamo wangu naona MIUI 11 haijanikosha ila MIUI 12 kwenda juu ni useful. Features ambazo nimezikubali mpaka ikafanya niipende MIUI kuliko zote, baadhi yake ni hizi hususani Second space.
1. App Lock, "unalock app kwa Fingerprint au face ID" (more advanced than ever)
2. Horizontal/Vertical Recent Apps
3. Back tap
4. App Volume control
5. Clone Mode on camera
6. Three-finger slide screenshots
7. Second space
8. Wild Notification Alerts
9 Tons of Animated Wallpapers
10.Sound Assistant
11. Reading mode
12. Dual Apps
13. Video Toolbox
14. Floating Windows
15. Split Notification Shade
16. Themes and Always on display
17. Xiaomi Security app
18. Game Turbo
19. Side bar
20. Disabling Ads
21. Faster updates
22. Quick Ball
23. Xiaomi Miracast
24. Clean Speakers
25. Snap Mode & camera enhancement
26. Mi Health App
27. Optical Character Recognition
28. Calamity Warning, etc.
Kila moja ningeweza kuelezea zinafanyaje kazi ila ni nyingi lakini MIUI inanikosha sana aisee. Yaani taste yangu yote 100% ipo MIUI. Google dialler na messaging apps nasikia Google waliwaforce Xiaomi wazitumie kwenye simu zao za Global version ila kiuhalisia Xiaomi wana app zao wenyewe za calling na messaging ambazo ni nzuri sana ila zipo kwenye Chinese ROM. Nadhani kutakuwa na njia ya kuflash global kuwa Chinese ROM sijajua bado.
Ila mimi binafsi nimeshajua ladha yangu ipo wapi.
Hiyo second space hufanya simu kuwa nzito balaa, yaani inakuwa slow ukiiondoa inakuwa nyepesi, nikaona hawamaanishi hawa, pia uki update MIUI unaanza kuona mauza uza mpaka uttamani kuitupa simu
 
Hiyo second space hufanya simu kuwa nzito balaa, yaani inakuwa slow ukiiondoa inakuwa nyepesi, nikaona hawamaanishi hawa, pia uki update MIUI unaanza kuona mauza uza mpaka uttamani kuitupa simu
Always factory reset your smartphone soon after the software update
Mauzauza kutokea kwenye simu baada ya software updates sio MIUI tu, karibia kila Android skin hutokea. Wengine huwatokea wengine hawapati kabisa matatizo. Ingia kwenye website za dunia huko uone watu wanavyolalamika kuhusu software updates kwenye UI tofauti tofauti. Na kuna wengine MIUI updates wanafanya na simu hai-misbehave. Kama ulikurupuka matatizo yatakukuta tu.
Kuhusu second space nadhani hiyo shida wewe ndio uliipata kwenye simu yako, wengine hatujui hiyo shida. Mambo ni smooth tu, ila kwako nashangaa kila jambo lilikuendea kinyume. Una uhakika simu yako haukuwa defective kweli?
 
Always factory reset your smartphone soon after the software update
Mauzauza kutokea kwenye simu baada ya software updates sio MIUI tu, karibia kila Android skin hutokea. Wengine huwatokea wengine hawapati kabisa matatizo. Ingia kwenye website za dunia huko uone watu wanavyolalamika kuhusu software updates kwenye UI tofauti tofauti. Na kuna wengine MIUI updates wanafanya na simu hai-misbehave. Kama ulikurupuka matatizo yatakukuta tu.
Kuhusu second space nadhani hiyo shida wewe ndio uliipata kwenye simu yako, wengine hatujui hiyo shida. Mambo ni smooth tu, ila kwako nashangaa kila jambo lilikuendea kinyume. Una uhakika simu yako haukuwa defective kweli?
Simu mpyaa full box shida itoke wapi? Mbona hardware haikusimbua? Kioo kizuri, camera bomba, fast charge lisaa imejaa na betri kutwa nzima natumia bila kuchaji? Redmi kwenye hardware wapo vizuri simu zinavutia mwonekano bomba na hazichuji ila software kimeo. Chukua na hii masimu yao hayana spare, na hayauziki jamii yetu bado haijawaelewa. Cover tu nilitafuta mji mzima hamna
 
Simu mpyaa full box shida itoke wapi? Mbona hardware haikusimbua? Kioo kizuri, camera bomba, fast charge lisaa imejaa na betri kutwa nzima natumia bila kuchaji? Redmi kwenye hardware wapo vizuri simu zinavutia mwonekano bomba na hazichuji ila software kimeo. Chukua na hii masimu yao hayana spare, na hayauziki jamii yetu bado haijawaelewa. Cover tu nilitafuta mji mzima hamna
Makava yapo kama yote, connections za accessories za Xiaomi ninazo tena Bongo hapahapa nikitaka kununua nanunua na ninazipata faster tu hata makava ya Xiaomi 12S Ultra ukitaka yapo, Tena haja zako unazikamilisha China Plaza, huna haja ya kuzunguka mji mzima[emoji28][emoji28].
Pia kwa online dealers hilo suala haliwasumbui vichwa kabisa.Kwa nini uhangaike wakati makava yamejaa kibao AliExpress, tena kwa bei chee. Pengine Bongo hizo simu zipo chache ila sio kwa sasa, zinaongezeka kila kukicha. Hata dunia imezielewa Xiaomi na kufanya iwe smart phone brand kubwa ya tatu duniani, only after Samsung and Apple.
Screenshot_20230227-153320.jpg
 
MIUI Ina mambo yake wewe hujayajua au sio kipaumbele chako. Ina features nyingi sana ambazo baadhi hata One UI anazo ila pia anazo za muhimu ambazo hata One UI hana. Kuna features nyingine hapo chini nikikuelezea zinafanyaje kazi utashangaa kwa nini ulitumia Redmi siku zote na hukuwahi kuzitumia. Redmi 9 inatumia MIUI 11 na kwa mtazamo wangu naona MIUI 11 haijanikosha ila MIUI 12 kwenda juu ni useful. Features ambazo nimezikubali mpaka ikafanya niipende MIUI kuliko zote, baadhi yake ni hizi hususani Second space.
1. App Lock, "unalock app kwa Fingerprint au face ID" (more advanced than ever)
2. Horizontal/Vertical Recent Apps
3. Back tap
4. App Volume control
5. Clone Mode on camera
6. Three-finger slide screenshots
7. Second space
8. Wild Notification Alerts
9 Tons of Animated Wallpapers
10.Sound Assistant
11. Reading mode
12. Dual Apps
13. Video Toolbox
14. Floating Windows
15. Split Notification Shade
16. Themes and Always on display
17. Xiaomi Security app
18. Game Turbo
19. Side bar
20. Disabling Ads
21. Faster updates
22. Quick Ball
23. Xiaomi Miracast
24. Clean Speakers
25. Snap Mode & camera enhancement
26. Mi Health App
27. Optical Character Recognition
28. Calamity Warning, etc.
Kila moja ningeweza kuelezea zinafanyaje kazi ila ni nyingi lakini MIUI inanikosha sana aisee. Yaani taste yangu yote 100% ipo MIUI. Google dialler na messaging apps nasikia Google waliwaforce Xiaomi wazitumie kwenye simu zao za Global version ila kiuhalisia Xiaomi wana app zao wenyewe za calling na messaging ambazo ni nzuri sana ila zipo kwenye Chinese ROM. Nadhani kutakuwa na njia ya kuflash global kuwa Chinese ROM sijajua bado.
Ila mimi binafsi nimeshajua ladha yangu ipo wapi.
Nilifuta second space vipi kuna njia ya Kurejesha au ndio basi maana awali nilikua kama natumia simu mbili lakini bahati mbaya sehemu ya pili nilifuta.. Simu yangu ni redmi S10
 
Nilifuta second space vipi kuna njia ya Kurejesha au ndio basi maana awali nilikua kama natumia simu mbili lakini bahati mbaya sehemu ya pili nilifuta.. Simu yangu ni redmi S10
Sijajua kama kuna njia ya kuirudisha
 
MIUI Ina mambo yake wewe hujayajua au sio kipaumbele chako. Ina features nyingi sana ambazo baadhi hata One UI anazo ila pia anazo za muhimu ambazo hata One UI hana. Kuna features nyingine hapo chini nikikuelezea zinafanyaje kazi utashangaa kwa nini ulitumia Redmi siku zote na hukuwahi kuzitumia. Redmi 9 inatumia MIUI 11 na kwa mtazamo wangu naona MIUI 11 haijanikosha ila MIUI 12 kwenda juu ni useful. Features ambazo nimezikubali mpaka ikafanya niipende MIUI kuliko zote, baadhi yake ni hizi hususani Second space.
1. App Lock, "unalock app kwa Fingerprint au face ID" (more advanced than ever)
2. Horizontal/Vertical Recent Apps
3. Back tap
4. App Volume control
5. Clone Mode on camera
6. Three-finger slide screenshots
7. Second space
8. Wild Notification Alerts
9 Tons of Animated Wallpapers
10.Sound Assistant
11. Reading mode
12. Dual Apps
13. Video Toolbox
14. Floating Windows
15. Split Notification Shade
16. Themes and Always on display
17. Xiaomi Security app
18. Game Turbo
19. Side bar
20. Disabling Ads
21. Faster updates
22. Quick Ball
23. Xiaomi Miracast
24. Clean Speakers
25. Snap Mode & camera enhancement
26. Mi Health App
27. Optical Character Recognition
28. Calamity Warning, etc.
Kila moja ningeweza kuelezea zinafanyaje kazi ila ni nyingi lakini MIUI inanikosha sana aisee. Yaani taste yangu yote 100% ipo MIUI. Google dialler na messaging apps nasikia Google waliwaforce Xiaomi wazitumie kwenye simu zao za Global version ila kiuhalisia Xiaomi wana app zao wenyewe za calling na messaging ambazo ni nzuri sana ila zipo kwenye Chinese ROM. Nadhani kutakuwa na njia ya kuflash global kuwa Chinese ROM sijajua bado.
Ila mimi binafsi nimeshajua ladha yangu ipo wapi.
Kwa hizi features nimeamini situmii simu, natumia kifaa cha mawasiliano [emoji2][emoji2][emoji2]
 
Back
Top Bottom