Smartphone brands zenye market share kubwa zaidi duniani

Smartphone brands zenye market share kubwa zaidi duniani

Leo ninaleta brand za simu zenye market share kubwa zaidi duniani ili kukuruhusu kujua ni simu za kampuni gani zinauzwa au zinapendwa sana duniani . Bila kupoteza muda naanza

1. Duniani kiujumla View attachment 2531774

2. China View attachment 2531777

3. Australia View attachment 2531779

4. CanadaView attachment 2531781

5. MarekaniView attachment 2531783

6. Amerika ya KusiniView attachment 2531784

7. United Kingdom View attachment 2531785

8. India View attachment 2531786

9. AfrikaView attachment 2531787

10. UjerumaniView attachment 2531790

11. AsiaView attachment 2531791

12. UlayaView attachment 2531792
All in all nimefurahi kuona Xiaomi inauzwa sana duniani
duh samsung ni balaa kateka had marekani
 
MIUI haikanyagi hata nusu kwa one UI, kifupi haina maajabu kuna vitu vingi inakosa kama emergency mode, focus mode na apps nying inatumia za Google huku kwenye One UI apps nyingi ni za samsung wenyewe na zina features mingi mfano wa hizo apps ni Samsung music, caller, messages, files, gallery, notebook, contacts, callender nk. Hizo zote zipo unique tofauti na za Google ambazo zipo mpaka kwa tecno, ukumbuke apps za ui husika hufunguka haraka kuliko za kudowload gugo
tena kama hii one UI 5.1 ni balaa ingine ni tamu mnooo
 
Acha uongo wewe. Google Pixel zina features chache. Hiyo Back tap ni kitu cha kawaida
Katika software mbaya kuwahi kuziona ni hiyo Stock Android ya Google Pixel na mwenzake Nokia
Google Pixel haina Split Notification Shade, haina Vertical Recent Apps, haina Second Space, haina themes za kutosha, haina video toolbox, haina sound Assistant na uelewe kabisa Sound Assistant ninayoiongelea hapa. App Lock ya Xiaomi nimeipenda kwa sababu inatumia Fingerprint au face unlock, sijajua kama Google Pixel ipo na wala sikuwahi kusema haipo. Mimi nazikubali MIUI na One UI tu na hayo ni mapenzi yangu binafsi.
Yani sijawahi kuona software mbovu kama Stock Android, Mtajijua wenyewe na optimization yenu[emoji23][emoji23]
Unasema simu inakuwa slow wakati Xiaomi 13 Pro iko faster kuliko Google Pixel zote duniani [emoji38][emoji38]
hata mimi mkuu nilion google android ya hovyo mno imepooza hain makeke yan kam unatumia kitochi wameirembesha na ile color pallete kubadili rangi ya background ila hawan features kabisaaaaa
 
Brand ni Apple, Samsung na HUAWEI tu
Wewe wasema.
Lakini dunia nayo yasema tofauti [emoji23][emoji23]
Huawei ilikuwaga zamani tu, unless uwe umekariri ila hiyo sio brand ya dunia tena, kwa sasa ni brand ya China
 
Wewe wasema.
Lakini dunia nayo yasema tofauti [emoji23][emoji23]
Huawei ilikuwaga zamani tu, unless uwe umekariri ila hiyo sio brand ya dunia tena, kwa sasa ni brand ya China
Okay,
Hoja yako imelalia kwenye HUAWEI,
Kwanini unasema sio brand kubwa tena Duniani bali ni China unajua sababu... unajua why ?
Anyway hapo nimeongelea Apple,Samsung na Huawei sijajua why hoja yako imelalia hapo tu unasemaje kuhusu Apple na Samsung?
 
Okay,
Hoja yako imelalia kwenye HUAWEI,
Kwanini unasema sio brand kubwa tena Duniani bali ni China unajua sababu... unajua why ?
Anyway hapo nimeongelea Apple,Samsung na Huawei sijajua why hoja yako imelalia hapo tu unasemaje kuhusu Apple na Samsung?
Nimekubali kuhusu Apple na Samsung ndio maana hoja yangu imelalia kwenye Huawei basi.
It made me wonder[emoji38][emoji38]
 
Nimekubali kuhusu Apple na Samsung ndio maana hoja yangu imelalia kwenye Huawei basi.
It made me wonder[emoji38][emoji38]
Basi Mkuu niliwahi fanya kazi na hawa jamaa Shengzhen ,mzee nilikua sijawahi ikubali simu yeyote zaidi ya Samsung then Apple before then but after that nilibadili mtazamo Acha tu niishie hapo
 
Nilichokiobaerve ni kwamba hapa Kila mtu atatetea mawazo yake na kile anachokomiliki (it's human nature) hata hivyo the fact is Kila kimoja kina cons na pros so itategemea tu na Nini preference ya mtumiani.

Mfano tu ni kwamba Miui ndio UI yenye features nyingi kuliko zote na hii kama pros ina cons zake, ndio UI kubwa na nzito kuliko zote so inasababisha lagging ya performance kulinganisha na UI zenye features chache kama Pixel UI kwa mfano (which is different from Stock Android)

Mwisho wa siku ni hivi, use the phone with UI that suits your needs and preferences. And remember your preference might be completely different from another person and that doesn't mean kile unachokipenda wewe ndio Bora kuliko anachokipenda mwingine.

Nimeona issue ya Samsung A, yes A series ni mid and low class phones za Samsung na hii inatokana na vifaa vinavyotumika kuzitengeneza compared to M series which is a little higher na S series ambayo inatarget high end market. Makampuni mengi yanafanya hivi including Google pixel ambao pia wana A series kama mid end products na Xiaomi pia wana Redmi ambazo ni cheap phones compared to Poco na maybe 12pro and the likes.
 
Nilichokiobaerve ni kwamba hapa Kila mtu atatetea mawazo yake na kile anachokomiliki (it's human nature) hata hivyo the fact is Kila kimoja kina cons na pros so itategemea tu na Nini preference ya mtumiani.

Mfano tu ni kwamba Miui ndio UI yenye features nyingi kuliko zote na hii kama pros ina cons zake, ndio UI kubwa na nzito kuliko zote so inasababisha lagging ya performance kulinganisha na UI zenye features chache kama Pixel UI kwa mfano (which is different from Stock Android)

Mwisho wa siku ni hivi, use the phone with UI that suits your needs and preferences. And remember your preference might be completely different from another person and that doesn't mean kile unachokipenda wewe ndio Bora kuliko anachokipenda mwingine.

Nimeona issue ya Samsung A, yes A series ni mid and low class phones za Samsung na hii inatokana na vifaa vinavyotumika kuzitengeneza compared to M series which is a little higher na S series ambayo inatarget high end market. Makampuni mengi yanafanya hivi including Google pixel ambao pia wana A series kama mid end products na Xiaomi pia wana Redmi ambazo ni cheap phones compared to Poco na maybe 12pro and the likes.
Kuna wengine hizo UI zisizo na features tunaziona za kishamba sana, kama Pixel UI ni ovyo kabisa. Ingawa ulichokisema ni kweli kila mtu ana mtazamo wake ndio maana ninapenda UI zenye features nyingi kama MIUI ya Xiaomi na One UI ya Samsung. Ukitoa hizo mbili sijaona UI nyingine ya kunifaa

Kitu kingine sasahivi Xiaomi wameachia MIUI 14 ambayo ni very light na kampuni inasema ndio lightest MIUI yet. Ina feature ya kucompress apps na mafaili yote kama huyatumii kwa muda huo. Hii inasaidia kuboost RAM peformance na kukupa very smooth experience, Sasahivi MIUI 14 ni more optimized than ever.

Pia kwenye MIUI 14 bloatware bado zipo kwa sababu kuna baadhi ya watumiaji wake tunazihitaji na tunazitumia LAKINI Xiaomi anakupa uhuru wa kuzifuta bloatware zote kasoro apps nane tu. Imagine freedom ya kuondoa apps zote kasoro 8 tu za muhimu.

MIUI ina lags kwenye low end devices na hata One UI pia ina lags kwenye low end devices lakini sio kila mtu ataexperience hii kitu. Cha ajabu Nokia nazo zinatumia Pure Android lakini bado UI inalag sana tena kuliko MIUI au One UI

Kwangu mimi naona Pixel UI ni utani bhana. Simu expensive hazitakiwi kunyimwa features kwenye UI kama vile, yani ni ovyo, ovyo, ovyo kabisa[emoji706][emoji706]

Ikiwa unataka clean UI ni heri ununue Motorola, Pure Android ya Motorola ni nzuri na ina additional features kutoka kwa Motorola na bado ni smooth. Lakini Nokia na Google Pixel UI zao ni ushuzi

By the way sio kila Redmi ni cheap au midrange au ni low end. Wana flagship pia. Angalia Xiaomi Redmi K60 Pro. Pia Poco na Redmi zote ni same level. Xiaomi Black Shark ni more expensive than Poco na Redmi. Na their most expensive phones are Xiaomi Series (au Mi) huku Xiaomi.Mi Mix Alpha ndio ina bei zaidi, inauzwa TSh 6,700,000/=
Xiaomi 13 Pro ni flagship yao ya mwisho kwa sasa.
 
Kama wasingefanyiwa figisu Huawei angekuwa namba 1 duniani, atakaebisha hilo ujue hajawahi tumia device zao
Angekuwa na mauzo mengi sawa.
Lakini US ban haiwezi kuaffect ubora wa bidhaa za Huawei, zaidi imeaffect soko lake kutokana na kukosa Google na kupigwa ban USA.
Huawei bado inaendelea kutengeneza simu lakini simu zake za sasa hazifai kuwekwa kwenye competition na bigger brands. Tukiongelea devices na kuweka kando mambo ya siasa, kwa sasa Huawei hastahili sifa. Ngoja Xiaomi aendelee kuwanyoosha China
 
Back
Top Bottom