Smartphone brands zenye market share kubwa zaidi duniani

Smartphone brands zenye market share kubwa zaidi duniani

Duh nimejua kwann umejiita cha asubuh sio kosa lako na sidhan kam hat unatumiag bando lako kuangalia review uko youtube ila samahan kukwambia kwambakuna link nakutumia ya s23+ na iphone 14 pro iphone amekalishwa vzr mno kweny perfomance hapo sijaongelea kamera na kioo
Na kwenye camera ataweza kukubishia, mimi nimeshuhudia hiyo LIVE.
 
Iphone ni brand ila ni ya kawaida.


Kwenye hii video unaweza kulinganisha mwenyewe
Kwenye camera comparison, Xiaomi 13 Ultra inatoa vitu vikali kuliko iPhone 14 Pro Max. Sijui kwa nini watu wanapenda kumdharau Mchina.
Kwenye comments watu wengi wamesema Xiaomi ndio ipo vizuri. Kwenye nchi za wenzetu hakunaga unafki

Ila kwa Bongo iPhone ni kama dhahabu [emoji28][emoji28]
 


Kwenye hii video unaweza kulinganisha mwenyewe
Kwenye camera comparison, Xiaomi 13 Ultra inatoa vitu vikali kuliko iPhone 14 Pro Max. Sijui kwa nini watu wanapenda kumdharau Mchina.
Kwenye comments watu wengi wamesema Xiaomi ndio ipo vizuri. Kwenye nchi za wenzetu hakunaga unafki

Ila kwa Bongo iPhone ni kama dhahabu [emoji28][emoji28]
Na ndo maana refurb zake wanauza pesa ndefu. Mimi niliwahi kuitumia Iphone 8 kipindi imetoka, sikukaa nayo hata wiki, nikaachana nayo.
 
Shot on Google Pixel 7 Pro
IMG_20230420_095931.jpg


Shot on Oppo Find X6 Pro
IMG_20230420_100453.jpg


Source: gsmarena image samples
 
unasikia xiaomi uko india kaporomoka zaid kimauzo nafas ya pili inashikiliwa na oppo sabb ya one plus samsung nafas ya kwanza
Ndio kwanza quarter one of the year
Kuporomoka kimauzo kwenye nchi fulani, ni kitu ambacho karibia kila kampuni lazima ipitie
Wakati Xiaomi amepitwa kimauzo muhula wa kwanza nchini India lakini bado anaendelea kukua globally
Hizi takwimu za India. Xiaomi Indian version zinakuwa na hardware issues nyingi sana tofauti na ilivyo kwa Global version au Chinese version ambazo zipo poa, Nadhani Xiaomi Indian version waache kuzitengeneza, watumie tu Global version hata kwa India kuliko kuwatengenezea Wahindi simu zenye hardware issues
IMG_20230420_181442.jpg


PIA SOKO LA SMARTPHONES NCHINI INDIA LIMESHUKA KIUJUMLA. MWAKA HUU WAHINDI WAMEAGIZA SIMU CHACHE SANA UKILINGANISHA NA MIAKA MINGINE
 
Ndio kwanza quarter one of the year
Kuporomoka kimauzo kwenye nchi fulani, ni kitu ambacho karibia kila kampuni lazima ipitie
Wakati Xiaomi amepitwa kimauzo muhula wa kwanza nchini India lakini bado anaendelea kukua globally
Hizi takwimu za India. Xiaomi Indian version zinakuwa na hardware issues nyingi sana tofauti na ilivyo kwa Global version au Chinese version ambazo zipo poa, Nadhani Xiaomi Indian version waache kuzitengeneza, watumie tu Global version hata kwa India kuliko kuwatengenezea Wahindi simu zenye hardware issues
View attachment 2594252

PIA SOKO LA SMARTPHONES NCHINI INDIA LIMESHUKA KIUJUMLA. MWAKA HUU WAHINDI WAMEAGIZA SIMU CHACHE SANA UKILINGANISHA NA MIAKA MINGINE
hata samsung wana manufacturer india pia sasa sijui kwann hiz xiaomi za india zina changamoto
 
hata samsung wana manufacturer india pia sasa sijui kwann hiz xiaomi za india zina changamoto
Hata mimi ninashangaa.
Ukiwa unanunua simu za Xiaomi moja ya rules ni kwamba usinunue Indian version
 
Back
Top Bottom