Smartphone brands zenye market share kubwa zaidi duniani

Smartphone brands zenye market share kubwa zaidi duniani

Samsung ni simu nzuri sana tatizo ni ukiwa nchi za ulaya na marekani utaiona Samsung kama infinix [emoji3]

Mitaani kwenye makundi ya watu pisi kali ni iPhone tu hadi unashindwa kuelewa nini tatizo?

Angalia hata viongozi wakubwa na watu maarufu wa huko duniani ni iPhone tu

Nakumbuka fainal ya Africa Egypt na Senegal,,,, Senegal walipotwaa ubingwa nilishangaa kwenye lile shangwe la wachezaji wote walikua na iPhone aiseee

Samsung,oppo,xiaomi nk wameteka soko la Asia,Africa kwa sana

Natumia Samsung pia nampango wa kuvuta pixels 8 ikitoka ila iPhone aisee ni zaidi ya simu hiii kauli utaielewa siku ukienda nchi za watu
Ntanunua iphone 12 nikishatumia miezi mitatu ntajua kwanini iphone zinashobokewa, ntaleta mrejesho
 
Ntanunua iphone 12 nikishatumia miezi mitatu ntajua kwanini iphone zinashobokewa, ntaleta mrejesho
Ila jitahidi ununue 12 Pro au Pro Max
Nimeona watu wanasema 12 plain ni ya kawaida sana hata display yake haina maajabu ukilinganisha na bei
 
Mnaoenda kwa iPhone nasikia ukiingia huko hautoki[emoji28][emoji28]
Mjichunge msije mkatumia simu ya kampuni moja maisha yenu yote[emoji16][emoji16]
 
Mnaoenda kwa iPhone nasikia ukiingia huko hautoki[emoji28][emoji28]
Mjichunge msije mkatumia simu ya kampuni moja maisha yenu yote[emoji16][emoji16
Kama inakata "kiu" hakuna shida, kuhama hama brand sio eti ndo ujanja
 
Kama inakata "kiu" hakuna shida, kuhama hama brand sio eti ndo ujanja
Basi, Mimi binafsi nilikuwa natamani niwe nahama brand kuonja ladha tofauti tofauti halafu mwishoni ndio nijaribu iPhone.
Hiyo ni personal tu, Nina tamaa ya kupata experience tofauti tofauti
 
Mnaoenda kwa iPhone nasikia ukiingia huko hautoki[emoji28][emoji28]
Mjichunge msije mkatumia simu ya kampuni moja maisha yenu yote[emoji16][emoji16]

Ili uwe na jeuri ya kutohama uwe na kipato imara,maana mambo ya kununua flagship ya iphone ya 2018 hujakutana na android ya 2020 utakuwa hujajitendea haki.

Fikiria tu s23 ultra hiyo imetoka,simu ina nguvu balaa,hujaigusa ukae tu unajifariji iphone 12pro max yako kwmaba iphone ni balaa[emoji23][emoji23],unayumba.

Ukiwa na hela unakwend tu dukani naomba 14pro max,na s23 ultra niangalie nachukua ipi maana nataka kuachana na 13pro max yangu.
 
Yani pamoja na likamera muonekano mbaya nyuma hawana 8k video recording kamera ya mbel hata 4k recording hamna na hawan dynamic amoled bado sana wajipange ase
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] Hata iPhone 14 Pro Max na Google Pixel 7 Pro haziwezi kurekodi 8K video. Maybe quality matters more than specifications.
Nasubiri review ya gsmarena [emoji28][emoji28]
 
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] Hata iPhone 14 Pro Max na Google Pixel 7 Pro haziwezi kurekodi 8K video. Maybe quality matters more than specifications.
Nasubiri review ya gsmarena [emoji28][emoji28]
Hawanishtui hao watajua wenyewe s24 ultra itakuwa inarecord 8k na camera ya mbele
 
Hawanishtui hao watajua wenyewe s24 ultra itakuwa inarecord 8k na camera ya mbele
Kama unataka simu inayorekodi video za 4K kwenye kamera ya mbele basi hata Xiaomi achana nazo[emoji28][emoji28]
Mpaka leo nimeona simu moja tu ya China inayorekodi video za 4K kwenye kamera ya mbele, "Motorola Moto X40", Nyingine sizijui
Hadi leo hakuna Xiaomi inarekodi 4K video kwenye selfie camera, hata Xiaomi 13 Pro ni 1080p.
Labda Xiaomi 13 Ultra atakuja na 4K video recording kwenye selfie camera
 
Back
Top Bottom