Smartphone brands zenye market share kubwa zaidi duniani

Smartphone brands zenye market share kubwa zaidi duniani

Lakini sasahivi smartphones zimefikia level ambayo flagship kutoka kampuni mbalimbali zina tofauti ndogo sana
 
Tena hakuna mtu kiazi kama MKBHD.

Nadhani kuna ajenda ya kusifia vya nyumbani pekee.

Mewhotheboss,supersaff,unboxing therapy kidogo hiwa wanajaribu kuwa real.
[emoji1][emoji1][emoji1] marques Brownlee namkubali sana huyu mwamba akili kubwa sana
 
asee ule moto achana nao kabisa na bado nimeona concept ya s24 ultra ase tutauwawa tu mwaka huu
Ile Oppo Find X6 Pro uliyokuwa unaicheka imetangazwa kuwa simu yenye kamera bora zaidi duniani kupitia page ya DXO Mark
Ingawa DXO Mark sio waaminifu Sana, Ila bado reviewers wengi wameisifia Sana kamera yake
Xiaomi 13 Ultra bado haijafanyiwa review ila tayari specifications zake zimenyamazisha watu midomo
 
Ile Oppo Find X6 Pro uliyokuwa unaicheka imetangazwa kuwa simu yenye kamera bora zaidi duniani kupitia page ya DXO Mark
Ingawa DXO Mark sio waaminifu Sana, Ila bado reviewers wengi wameisifia Sana kamera yake
Xiaomi 13 Ultra bado haijafanyiwa review ila tayari specifications zake zimenyamazisha watu midomo
unawafutilia dxo mark ase utakuwa umepotoka vbya mnoo yan wale viaz had huko ulaya wanawalalamikia kwa kila kitu sijawah kuwafautailia hat kidg nikitaka kujua ubora wa sim huwa naangalia reviewers wa youtube wafanye comparison segment moja na ingine hao dxo walishapotez credibility siku nyingi mno eti iphone 13 ina picha nzur kulik s23 ultra dah [emoji28][emoji28]
 
unawafutilia dxo mark ase utakuwa umepotoka vbya mnoo yan wale viaz had huko ulaya wanawalalamikia kwa kila kitu sijawah kuwafautailia hat kidg nikitaka kujua ubora wa sim huwa naangalia reviewers wa youtube wafanye comparison segment moja na ingine hao dxo walishapotez credibility siku nyingi mno eti iphone 13 ina picha nzur kulik s23 ultra dah [emoji28][emoji28]
Nilishaacha kufuatilia DXO Mark, nahisi Oppo wametoa pesa za kutosha kuipata nafasi hiyo, hiyo taarifa niliiona gsmarena

Lakini hata hivyo hii simu ina kamera bomba sana, Sio tu kamera ila hata overall ni simu nzuri sana.

Ni vile tu watu hawataki kukubali kuwa simu nzuri sio Samsung na Apple pekee
 
Nilishaacha kufuatilia DXO Mark, nahisi Oppo wametoa pesa za kutosha kuipata nafasi hiyo, hiyo taarifa niliiona gsmarena

Lakini hata hivyo hii simu ina kamera bomba sana, Sio tu kamera ila hata overall ni simu nzuri sana.

Ni vile tu watu hawataki kukubali kuwa simu nzuri sio Samsung na Apple pekee
find x6 pro ina kamera kali sikatai ila sio ya kuzizid iphone au samsung ni uhuni kabisa tena wawazi kabisa
 
find x6 pro ina kamera kali sikatai ila sio ya kuzizid iphone au samsung ni uhuni kabisa tena wawazi kabisa
Mimi naamini inaweza kuwa na kamera kali kuliko simu za hizo giant companies
Hii ni 2023, mambo yamebadilika sana. Kamera za simu zinafanana-fanana tu kiasi kwamba ukifanyia improvement kadhaa unawapita hata wale waliokutangulia

Kumbuka Oppo inatoka kwenye kampuni ya BBK Electronic, same company with Vivo, One Plus and Realme.
Hii kampuni sasahivi wameweka nia thabiti kwenye camera department mfano mzuri ingia kwenye YouTube channel unayoiamini halafu search camera comparison ya Vivo X90 Pro Plus vs Samsung Galaxy S23 Ultra uone zinavyochuana vikali, tena kuna baadhi ya picha Vivo ipo vizuri

Sasa hii Oppo Find X6 Pro ina kamera kali kuliko Vivo X90 Pro Plus kwa nini isiipite hiyo S23 Ultra kama imeweza kuipita Vivo X90 Pro Plus.
Samsung yupo vizuri kwenye zooming na hana mpinzani ila kwenye camera overall wapinzani anao, tena kutoka kwa kampuni zilizopo chini yake.
Mfano mwingine mzuri gsmarena wanasema Xiaomi 12S Ultra ilikuwa ndio simu yenye kamera bora zaidi wakati ilipotoka
 
Mimi naamini inaweza kuwa na kamera kali kuliko simu za hizo giant companies
Hii ni 2023, mambo yamebadilika sana. Kamera za simu zinafanana-fanana tu kiasi kwamba ukifanyia improvement kadhaa unawapita hata wale waliokutangulia

Kumbuka Oppo inatoka kwenye kampuni ya BBK Electronic, same company with Vivo, One Plus and Realme.
Hii kampuni sasahivi wameweka nia thabiti kwenye camera department mfano mzuri ingia kwenye YouTube channel unayoiamini halafu search camera comparison ya Vivo X90 Pro Plus vs Samsung Galaxy S23 Ultra uone zinavyochuana vikali, tena kuna baadhi ya picha Vivo ipo vizuri

Sasa hii Oppo Find X6 Pro ina kamera kali kuliko Vivo X90 Pro Plus kwa nini isiipite hiyo S23 Ultra kama imeweza kuipita Vivo X90 Pro Plus.
Samsung yupo vizuri kwenye zooming na hana mpinzani ila kwenye camera overall wapinzani anao, tena kutoka kwa kampuni zilizopo chini yake.
Mfano mwingine mzuri gsmarena wanasema Xiaomi 12S Ultra ilikuwa ndio simu yenye kamera bora zaidi wakati ilipotoka
ngoj s24 ultra ikitoka tuone
 
ngoj s24 ultra ikitoka tuone
Sasa huoni S24 Ultra ikitoka na Oppo Find X7 Pro pia itatoka[emoji28][emoji28] It's always an endless battle
Sasahivi kila kampuni inaweza kutengeneza simu nzuri, kazi kwako kuangalia ipi inakidhi mahitaji yako
 
Wabongo tunaangalia camera reviews YouTube huku resolution tumeset 480p kusave bando[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ila utofauti wake unauona[emoji28][emoji28]
 
Yaani hawa DXO Mark hawana aibu kabisa[emoji23][emoji23]
Xiaomi sijaikuta top 10, nimeikuta nafasi ya 12
Samsung sijaikuta top 10 nimeikuta nafasi ya 14. Ndio maana watu hawaiamini tena
Screenshot_2023-04-19-22-26-39-471_com.android.chrome.jpg
Screenshot_2023-04-19-22-26-50-834_com.android.chrome.jpg
Screenshot_2023-04-19-22-27-03-100_com.android.chrome.jpg
 
Hata Mimi hizi takwimu Kwa Tz nimezitilia walakini, sijui source Yao ya taarifa ni ipi Ila naamini infinix na Tecno zina market kubwa Tanzania kuliko Samsung.TCRA ndio Wana taarifa sahihi zaidi.
Hii takwimu ni ya mchongo! Eti Tanzania Samsung na apple wanauza kuliko tecno na infinix eti? Hii ni chai
 
Back
Top Bottom